Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ahah
Hawa wake tuliooa walianza ivi ivi mara kaacha bangili, mara hereni mara chupi mwisho mazimaaaa kafika ukija sasa kumuuliza kabila unakuta ni lile ambalo kwenu walikuambia sio la kuoa na wewe ndo ushafika
ahahaahahaha
 
Kina show na demu wangu jiloekulaga kimasihara ila ameolewa zake huko dar

But this December atakuja mkoa niliopo show za kibabe sana
Anakujaga na mafuta yake ya nazi kwa ajili ya massage na kuchezea asshole inakuwaga bonge la show

Wakubwa mkiskia mtu amefia guest mkoani msimu huu wa sikukuu mjue ni mm kv -london
Mkuu tulivuka salam??
 
Hii ni masikhara moja ya hovyo sana.

Around mwezi wa 10 2022 kuna vifaa nilikua navitafuta, mjini nkakosa. Nkaelekezwa Mikocheni, ile njia ya kutoka Mwenge kupita Cocacola unakunja kama unaenda Clouds. Siku isiyo na jina nkaenda.

Nmepanda gari hadi Mwenge halafu nkapanda bajaji pale Mwenge zinaenda Clouds. Wakati napanda nlikua peke yangu, baada ya kama dakika 2 ikaja pisi moja matata sana, nyeupe hivi, slim ila ina shape moja poa sana, ila ni fupi fupi age around 20-23. Na kwa alivovaa nkajua huyu mwanafunzi wa Tumaini University tu. Najuaga pisi za hivi zinakuaga na dharau sana so nkakausha na yeye akakausha. Zikapita kama dakika 5 hamna abiria aliengozeka, nkaona nimsemeshe tu. Nkampa hi akajibu fresh, nkamuambia kuna vifaa naenda kuvitafuta nimeelekezwa Mikocheni ila mimi sio mwenyeji, kama yeye ni mwenyeji anielekeze. Akasema nae hakujui huko mbele vzuri coz yeye anashuka tu chuoni kwao hapo Tumaini so mbele zaidi haendagi. Nkaendelea kumuuliza kuhusu chuo chao na mambo anayosoma akawa anajibu tu fresh, akaniambia anasoma mwaka wa 2 kozi fulani.

Nkawaza nkaona hapa nkizubaa abiria wengine wakija ntashindwa kuomba namba. Ikabidi niombe muda huo huo, nkampa simu akaandika namba yake. Nkaisave af nkamtumia text. Kwenye text nkaandika jana langu halafu mstari wa chini yake nkaandika 'You are so beautiful'. Akaangalia ile text kwenye simu yake halafu akaniangalia usoni akasema Asante huku anaisave namba yangu. Nkasmile tu ikaisha. Tukaendeleza story za kizushi mpaka watu wakaongezeka tukafika wanne bajaji ikasepa na yeye alivofika kituo chake pale chuoni akashuka na nauli kajilipia mwenyewe. Ile siku ikaisha.

Nlipata picha kuwa yule manzi kama anakazwa na watu wa nje ya chuo basi watakua ni watu wanaomgharamia sana, na mimi hayo mambo sifanyi kabisa, so nkaona pale possibility ni ndogo, labda niwe tayari kutoboka mfukoni. Ilipita kama wiki sijamtafuta lakini status zake naziona.

Kuna siku nlimpigia nkaongea nae kizushi tu ikaisha. Ikawa nkiona status yake nzuri nacomment tunachat kizushi namuomba tuonane anasema akiwa free ataniambia najibu sawa inaisha.

Hali iyo imeenda mpaka mwezi wa 11 mwishoni hivi siku kama jumanne au jumatano mchana nipo ofsni, nkaona amepost status anaimba imba. Nkaona nkijibu status ni ushenzi, nkarudi kwenye chats nkatafuta chat yake nkamtext akajibu nkamuuliza yuko wapi akasema yupo room kwake maeneo ya makumbusho ametoka chuo muda si mrefu, nkamuuliza kama atarudi tena chuo akasema hapana. Nkamuambia nataka nionane nae. Akajibu nataka nionane nae ili iweje, mara zote namuambia nataka nimuone halafu sisemi nataka nimuone kwanini ndo maana siku zote anapotezea, so anataka nimuambie nataka nimuone kwa ajili gani ndo ajiandae aje.

Mjuba nkawaza nianze na mambo ya outing sijui dinner, nkaona napoteza muda tu halafu manzi mwenyewe sio kuwa nimepania sana au ndo nime fall. Nkaona nijilipue tu halafu vyovyote itakavokua fresh tu. Nkamjibu ' Nataka Nkutombe'. Akajibu 'mmmh'. Nkamjibu 'Ndio, upo very sexy'. Akantia blue tick *****. Nkajua nshamkosa huyu, nkarudisha simu mezani nkaendelea na kazi za watu.

Baada ya kama nusu saa akajibu kwa kuuliza ntampa shilingi ngapi.

Nkawa disappointed jumla. Huwa sinunui sex, naona kama nafeli as a man, halafu pia mpaka mwanamke amefikia kuuza mbususu manake kwake ina thamani ndogo sana. Nkaona nikaushe tu, lkn nkikumbuka alivyo mzuri na zile status ikabidi nijibu tu, nkamuuliza anataka bei gani, akajibu laki, nkamuambia laki sina, nna 50k tu na atakuja kwa nauli yake, kurudi ndo ntamlipia bolt. Hakujibu. Nkaendelea na kazi. Baada ya kama lisaa, hapo ishafika saa 10, akantext nimtumie location na nimwambie apande magari ya wapi. Nkamuelekeza halafu nkamuambia avae kigauni tu. Akajibu poa.

Nkafanya mpango wa ku clock out ofisini nkaenda home nkaandaa kinga kabisa coz najua hii mali ya umma hii.

Kweli by saa 12 hivi na nusu akawa amefika nkamfata kituoni, pisi moja imependeza hatari, kavaa kogauni chepesi cha maua maua, vile vinakua vipana sana so kafunga na mkanda kiunoni.

Hata story sikua nae sana,nlijua ntapiga kimoja tu cha tamaa asepe coz mimi kwa ndomu siwezagi kwenda zaidi ya bao moja. Lakini kwa alivomsafi na mwili wake ulivyo hasa akiwa uchi, nkaishia kupiga bao 3 na ndomu zote zikatumika. Akasepa life likaendelea.

Akawa na kawaida ya kunicheki na text za baby baby nkawa nakausha tu coz najua mali ya umma ile.

Kuna manzi mmoja bonge bonge hivi nlikuaga namkaza toka yupo chuo, now ana kakazi kake lakini mara moja moja ananletea mbususu niichakate, ana mtu wake lakini hyo ni juu yake yeye na bwana ake. Siku hyo jumamosi nipo off nlikua na appointment nae aniletee mbususu. Tatizo lake ana magharama kibao, anataka bajaji boda hapandi af bado akija anakua na shida zake kibao, mpaka aondoke nakua nmetoboka 80k mpaka laki. Nshaongea nae fresh tumekubaliana mida ya mchana anakuja, nkaona ile pisi ingine ya Tumaini imepost status hivi ya kawaida tu. Tamaa zikanijaa. Nkaanza kuwaza kuwa wote hawa wakija natoboka tu bora huyu wa Tumaini ashaniweka wazi anachotaka na sio gharama kubwa na ni mkali mara dufu ya huyu kibonge.
Nkamuendea hewani story story nkamuambia aje nimemmiss akasema sawa. Gharama ile ile. Nkajibu poa af nkamuambia apite phamarcy aje na vipimo viwili vya ngoma, sitaki kumkaza kwa ndomu tena. Akajibu sawa. Ikabidi nimpigie yule bonge nimuambia nmeitwa kazini so haitawezekana kuonana. Akajibu poa ntamjulisha nkiwa muda siku ingine.

Around saa 6 ile pisi ya Tumaini ikawa imefika, imevaa kigauni kama cha siku ile ya kwanza ila rangi tofauti, ashajua napenda nini.
Tukapima tumesubiri majibu yako fresh. Akaanza kuvua nguo nkamuambia tulia kwanza. Nkampeleka baa ya karibu nkaagiza ugali makange ya mbuzi na soda tu. Tumekaa pale muda mrefu sana tunasubiri, nmapigisha story za kishenzi tu nimtie nyege, baada ya kula nkarudi nae home nkamuambia akaoge kwanza. Alivorudi ndo tumeanza show, show ya kibabe sana. Saa 2 hivi usiku nkarudi nae bar pale tukanywa bia mpaka saa 4 tukacheki ile game ya robo fainali ya France na England nkarudi nae home. Nkapiga kimoja kingine kirefu tukalala. Asubuhi nikapiga kimoja ndo akasepa. Nlivompa hela yake akakataa, akasema nimuitie bolt tu. Na jinsi sipendi ku complicate mambo nkajibu sawa nkarequest ikamfata nkalipa kabisa akasepa.
Utaratibu ukaendelea ule ule, anantext msg za salamu ananiita baby baby sijui mpenzi napotezea zingine najibu lakini shobo sina coz simchukulii serious kabisa pamoja na utamu wake.
Jumamosi ya juzi hapa tarehe 7 january nipo home na washkaji wawili mida ya asubuhi tunapiga fifa22 hatuna pa kwenda bado mapema sana kwenda bar nkaona ananipigia nkapotezea baada ya kama nusu saa kapiga tena nkapokea. Akaanza kulalamika namkaushia nkajitetea pale akasema kanimiss anataka aje kama nipo. Nkamjibu nipo ila nmefulia sina hata buku. Akasema atakuja nisijali. Nkamjibu poa. Nkawaambia washkaji wakasema aje tu.
Kweli mida ya saa 7 hivi akawa amefika, amevaa suruali na ki top tu. Tumekaa pale kama lisaa hivi na jamaa tunapiga story huku tunacheza fifa baadae wakaaga nkatoka nao kwenda kumchukulia chips. Nmerudi namkuta ashaoga kabisa yupo uchi kitandani chumbani kajifunika shuka tu.
Nkaingia kazini tumepiga show ya kibabe mpaka jioni. Baada ya show ndo akaanza kufunguka kuwa yeye hajiuzi, kipindi kile tu nlikutana nae muda mbaya kwake. Anasema alikua ametoka kuachana na kajamaa kake kalikua kanamkaza tu mapenzi hamna, na mtu wake kabla ya hapo nae ilikua hivyo hivyo, wajuba wanatumia nguvu kubwa kumpata.ila.lengo linakua ni kula mbususu tu, mapenzi hamna na zile stress ndo akajibu vile, so anataka nisimuone malaya na kama nipo tayari awe manzi wangu rasmi. Nkamjibu poa tu usjali kafurahi furahi pale akalala jumapili kaondoka asubuhi.
Now kila saa anantafuta, kashantumia mapicha yake kibao, tokea za secondary huko. Nawaza kumuacha lakini sioni umuhimu wake kwa sasa, ngoja niendelee kupiga piga tuone.
 
Ipo ivii

Kuna wale Wanawake wa Uswaz wanatabia ya KuombaOmba hela ndogo ndogo hata kwa mtu wasiyemjua. Yawezakuwa ni Tabia au mwingine ana Shida kweli.

Wiki iliyopita usiku muda wa Saa 2 kuelekea saa 3 ilinikuta niko maeneo ya Tandale uswahilini swahilini.

Mara nashangaa nasimamishwa na Dada mmoja kwa Sura ni mzuri sana Kavaa Dera chura Yumoo ana anaonekana kwa Wazi kbsa pia siyo mwembamba sana wala siyo mnene; Rangi yake maji ya kunde.

Kaka mambo vp, samahani Naomba Nisaidie Elfu 2 nikanunue Kiepe. Ndo kitu cha kwanza kuniambia hicho. Niliinua macho kumuangalia kwani Muda huo nilikuwa ninatembea huku nachat kupitia kitochi changu.

Nikamwangalia kwa sekunde kadhaa nikijishauri nimpe hiyo hela au vp. Pia nikapeleka Fikra kweny Wallet yangu ilivyo nikakumbuka hakuna elf 2 bali kuna sk elf 1 ilikuwa moja na kwnzia elfu 5 na kumi.

Nikajikuta nimemjibu sina hela ndogo hapo. Mara Ghafla wazo la Kishetani likanijia pale nilipojibu lile jibu. Nikajikuta nimemwambia ila nina elf 5 yako hapa ila na mm nina shida kama utanisaidia Ntaikupa Yote!

Akaniambia una Shida gani? Nikamwambia Nina Nyege na nilipokuona tu nimeona ww pekee kwa muda huu ndo unaweza kunisaidia.

Kwanza alipatwa na mshangao akaniambia sijakusikia vzr au nikamwambia ivyo ivyo ulivyosikia. Nahitaki kukut**mba. Kama upo tyr utanikuta palee nikanyooshea Kidgo kweny Baa flani Iko maeneo ya Mbele kwa maelezo kweny Bango ni Baa na Gest. Nikamuacha ameduaa palee mm huyoo nikalelekea hadi kweny Ilee baa sikujisumbua kuangalia Nyuma kama atakuja au vp!

Nikawahi chap mapokezi nikakuta kijana nikamuuliza bei ya chumba akaniambia elf 10 nikamwambia short time vp akaniambia elf 10 hiyo hiyo. Nikamwambia Nakupa elf 7 ndani ya lisaa nakupa chumba chako, sikumpa Muda wa kufikiria nikamwambia nakuja nachukua mtu hapo Nje.

Ile natoka Upande wa Gest namuona yule Bidada naye ndo anaingia Upande wa Bar. Watu wengi walikuwa wameelekeza akili yao kuangalia Michuano ya Mapinduzi cup, ivyo aliniona kwa wepesi akaja nilipo Nikashika mkono Mpka mapokezi nikapewa Funguo nikamwingiza Chumbani nikatoka kwenda kumpa kijana wa Mapokezi hela yake. Akanirudishia Chenji

Baada ya kurudi chumbani haina haja ya kuelezea sana yaliyokuwemo humo. Ila muhimu ni kwamba huwa natembea Na Condom kwenye Wallet ivyo sikuuza Mechi
HIi siyo kimasihara
 
Gari... mtego noma sana.

Jana jioni natoka Mpiji kwenye msiba wa jamaa yetu mmoja hivi. Njiani naona binti shombe shombe kavaa na ushungi kabisa kapendeza safi. Pale alikuwa anasubiri usafiri. Mbele yangu kama mita 15 kulikuwa na Bajaj ikaenda pale kumchukua.

Baada ya kuona kinachoendelea pale dem akijiandaa kupanda Bajaj nikapiga honi huku naanza ku overtake na dem akaniangalia nikampa signal ya kuja. Dem akaacha kupanda Bajaj na mie baada ya ku overtake nikasimama pembeni mtoto akaja.

Nikamuuliza unaenda wapi akasema Mbezi basi nikamwambia twende.
Wakati tukienda mdogomdogo huku tunafahamiana ndio nikajua ni kutoka visiwani. Baada ya story kadhaa nilimuuliza swali (nalipenda sana hili swali huwa ni starting gear) mume wako hajambo? Akasema sijaelewa, basi nikamuuliza mchumba wako je? Akasema sijachumbiwa...ohh nikamuuliza mshikaji wako je akasema sina.

Nikamwambia basi unahasira (nyge) sana inabidi tuzipunguze. Basi pale nikahamisha mkono kwenye paja huku napapasa huku naendesha slowly. Mpaka nafika Mbezi mtoto hoi na akakubali nikafanye yangu.
Hatukwenda maana nilijifanya nimepokea simu ya dharura ambayo lazima nikaifanyie kazi.

Basi nikamuomba tufanye kesho (leo) akakubali kwa moyo safi. Baadae vi sms vikaanza kama kawaida vya mahaba.
 
Gari... mtego noma sana.

Jana jioni natoka Mpiji kwenye msiba wa jamaa yetu mmoja hivi. Njiani naona binti shombe shombe kavaa na ushungi kabisa kapendeza safi. Pale alikuwa anasubiri usafiri. Mbele yangu kama mita 15 kulikuwa na Bajaj ikaenda pale kumchukua. Baada ya kuona kinachoendelea pale dem akijiandaa kupanda Bajaj nikapiga honi huku naanza ku overtake na dem akaniangalia nikampa signal ya kuja. Dem akaacha kupanda Bajaj na mie baada ya ku overtake nikasimama pembeni mtoto akaja.
Nikamuuliza unaenda wapi akasema Mbezi basi nikamwambia twende.
Wakati tukienda mdogomdogo huku tunafahamiana ndio nikajua ni kutoka visiwani. Baada ya story kadhaa nilimuuliza swali (nalipenda sana hili swali huwa ni starting gear) mume wako hajambo? Akasema sijaelewa, basi nikamuuliza mchumba wako je? Akasema sijachumbiwa...ohh nikamuuliza mshikaji wako je akasema sina. Nikamwambia basi unahasira (nyge) sana inabidi tuzipunguze. Basi pale nikahamisha mkono kwenye paja huku napapasa huku naendesha slowly. Mpaka nafika Mbezi mtoto hoi na akakubali nikafanye yangu.
Hatukwenda maana nilijifanya nimepokea simu ya dharura ambayo lazima nikaifanyie kazi. Basi nikamuomba tufanye kesho (leo) akakubali kwa moyo safi. Baadae vi sms vikaanza kama kawaida vya mahaba.
Malaya huyo
 
Gari... mtego noma sana.

Jana jioni natoka Mpiji kwenye msiba wa jamaa yetu mmoja hivi. Njiani naona binti shombe shombe kavaa na ushungi kabisa kapendeza safi. Pale alikuwa anasubiri usafiri. Mbele yangu kama mita 15 kulikuwa na Bajaj ikaenda pale kumchukua. Baada ya kuona kinachoendelea pale dem akijiandaa kupanda Bajaj nikapiga honi huku naanza ku overtake na dem akaniangalia nikampa signal ya kuja. Dem akaacha kupanda Bajaj na mie baada ya ku overtake nikasimama pembeni mtoto akaja.
Nikamuuliza unaenda wapi akasema Mbezi basi nikamwambia twende.
Wakati tukienda mdogomdogo huku tunafahamiana ndio nikajua ni kutoka visiwani. Baada ya story kadhaa nilimuuliza swali (nalipenda sana hili swali huwa ni starting gear) mume wako hajambo? Akasema sijaelewa, basi nikamuuliza mchumba wako je? Akasema sijachumbiwa...ohh nikamuuliza mshikaji wako je akasema sina. Nikamwambia basi unahasira (nyge) sana inabidi tuzipunguze. Basi pale nikahamisha mkono kwenye paja huku napapasa huku naendesha slowly. Mpaka nafika Mbezi mtoto hoi na akakubali nikafanye yangu.
Hatukwenda maana nilijifanya nimepokea simu ya dharura ambayo lazima nikaifanyie kazi. Basi nikamuomba tufanye kesho (leo) akakubali kwa moyo safi. Baadae vi sms vikaanza kama kawaida vya mahaba.
"When the deal is so good think twice" alisikika mzungu mmoja
 
Oyaaa leo ndo nimeamini kuna uchawii aiseee...!! Nilipata jimama sasa sijui mumewe kaweka tegooo nyieee mashinee inasimamaaa nikitakaa kuwekaaa INALALA chap yani unaona kabisaa hiyo inalalaa

Mamaee daah uchawi upooo sio poaaa alafu yeye ndo kakomaa kuniambia bhasi kuna mtu kanilogaaa aisee hili zigoo nimekubalii kutoka kapaa ilaa ndo nimeamini tanga hatari sana. Nimeliwa hela ya lodge buree daah wakuu sijui nikipata pisi nyingine itasimama au ndo nimelogwaa jumlaaa.
 
Back
Top Bottom