Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 24,863
- 26,997
Umekuwa ukinunua vitobo tu🤨Ata baiskeri sina mkuu
Umekuwa ukinunua vitobo tu🤨Ata baiskeri sina mkuu
Ooho tayari ushanasa, kwa hio wewe umeandika maneno kidogo kwenye huu uzi?Wenye maneno mengi huwa Hamna kitu
Asante mkuu, nitawasalimiaUnajua ngoja niwe mkimya haya wasalimie wanao aisee kazi iendelee
We gari lake la nini sasa? 😂Unajua ngoja niwe mkimya haya wasalimie wanao aisee kazi iendelee
Mi nina maneno nimetumia dakika tano tu mkuuOoho tayari ushanasa, kwa hio wewe umeandika maneno kidogo kwenye huu uzi?
😃😃😃 Sinajua tu kuwa analog Wala sijawahi muonaga nawe shida ndio unayo hiyo kufuatilia watuWe gari lake la nini sasa? 😂
Anajua maisha ni kuwa na gari tu mkuuWe gari lake la nini sasa?![]()
Yaan una maneno alafu umetumia dakika 5, na unasema wenye maneno hamna kitu, kazi unayo endelea tu mkuuMi nina maneno nimetumia dakika tano tu mkuu
Sasa dakika tano ni nyingi mkuu?Yaan una maneno alafu umetumia dakika 5, na unasema wenye maneno hamna kitu, kazi unayo endelea tu mkuu
Sijajua tuulize wahusika Unique Flower dakika 5 zinakutosha?Sasa dakika tano ni nyingi mkuu?
Hata 1Sijajua tuulize wahusika Unique Flower dakika 5 zinakutosha?
Kwani mi nimefanya uzinzi mkuu?Kwahio unataka kuwa mzinzi mkuu wa taifa au? Jiheshimu kijana
Sio wewe mkuu, yule jamaa ana pesa hana maneno mengintakupitishia hela yako ya kuku jioni... halafu tuongee vzuri kiume