Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Mi sijawahi liwa kimasihara. Nilitaka anile kiukweli, maana nilimzimia kumoyo siku nyingi tuu.
Tunashindwaga kusema[emoji23][emoji23][emoji23] hii sio kimasihara boyfriendwang alikuwa ananiogopa mno alaf kumbe mm nilikuwa namzimia balaa baada ya muda siku aliniomba niende kwake aisee nilijiandaa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]huwa tunatakaga bhna
 
Tunashindwaga kusema[emoji23][emoji23][emoji23] hii sio kimasihara boyfriendwang alikuwa ananiogopa mno alaf kumbe mm nilikuwa namzimia balaa baada ya muda siku aliniomba niende kwake aisee nilijiandaa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]huwa tunatakaga bhna
Yani acha kabisa, wajikoki tayari Kwa mashambulizi. Yani Mimi kama sijakupenda, ata utumie mbinu gani ya kunila kimasikhara hutaweza.
Kama ikitokea tumeachana basi ni Mungu tu amependa tusifanikiwe kuitengeneza njia pamoja.
 
Yani acha kabisa, wajikoki tayari Kwa mashambulizi. Yani Mimi kama sijakupenda, ata utumie mbinu gani ya kunila kimasikhara hutaweza.
Kama ikitokea tumeachana basi ni Mungu tu amependa tusifanikiwe kuitengeneza njia pamoja.
Kweli kabisa dear
 
Kuna namna mtu unakutana nae first time lkn kamoyo kanadunda mwingine call tu unaanza kuhangaika lakn mwingine Yan hakushtui kumuhitaji kimapenz
Mara ya 1 kamoyo kanapekecha,,, watamani hata asiondoke [emoji13]. Lakini nenda kwa yule usiyemuelewa Sasa. Watamani hata simu asipige, unakaa wasonya tuu[emoji1787]
 
mzabzab vp hiyo connection umeinyaka!
20220612_171110.jpg
 
Yani acha kabisa, wajikoki tayari Kwa mashambulizi. Yani Mimi kama sijakupenda, ata utumie mbinu gani ya kunila kimasikhara hutaweza.
Kama ikitokea tumeachana basi ni Mungu tu amependa tusifanikiwe kuitengeneza njia pamoja.
Ni kweli kabisa Ni lazima umuelewe mtu kwanza...
 
Tunashindwaga kusema[emoji23][emoji23][emoji23] hii sio kimasihara boyfriendwang alikuwa ananiogopa mno alaf kumbe mm nilikuwa namzimia balaa baada ya muda siku aliniomba niende kwake aisee nilijiandaa kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]huwa tunatakaga bhna
Haya Mambo Ni two way traffic.
 
Sio milioni 1 ni million 10
Africans are good for sex, luxury and Music nothing more nothing less.
Mpaka wazungu huwa wanatuogopa kuwa tuna minguvu ya kula funds na tunaenda round nyingi. Na ndio mana mzungu mwenye unyanyapaa na blacks huwa haupendi uwe na mazoea na mwanae wa kike Mana wenyewe Wana kamsemo kao once you go black you never come back
 
Back
Top Bottom