Aahh wapi, tunasaidiana kuzipunguza..

Ukiwa na minyege kila saa unakuwa na hasira,yaani hata ukienda haja ndogo unaona kama vile mkojo unavyopita unakutekenya, kila saa unajishika shika..mambo hayaendi..Sasa chakufia nini..

Ukipata wa kukojoza vizuri hata mara chache kwa mwezi,its okay.Ili mradi nibaki mwepesi
Kweli kabisa aisee ...
 
kuna mhala nlikuwa nmepanga baada ya kuwa nmepata kazi mkoa X.. nlikuwa na Jirani yangu binti ka 24 yrs ivi.. nilmkuta pale ndo alikuwa mwenyeji kidogo hivyo organization za maji na umeme alikuwa anafanya yeye... japo alikuwa chakula tamu.. ila heshima ya ujirani mwema ilkuwa imetaradadi afu pia ckuwa nmetaka leta mazoea kuepuka kujizibia rizki niktaka piga matukio yangu au njia yangu kuu iktokea imetia maguu..
kwakuwa ilkuwa ni kibarua kipya na probation period ya miez 3 nilijikta kbsaaaa kutengeneza performance nzuri ili kujihakikishia kibarua so miezi miwili ya mwanzo nlikuwa nipo very busy.. ckuwahi piga tukio lolote kwenye makazi yangu mapya
kuelekea mwezi wa tatu kipururu kikawa kimekolea bhana.
nikaja nikakutana na pisi moja ya kichaga.. binti tu makamo.. anafanya kazi tigo... jirani na office pia alikuwa anauza boksa na vest socks so huwa anaptsha office zetu za Jirani.. ikabidi niwe nmeiomba mzigo..nikachangia na office ila ikabidi nimwambie aniletee kbsaaaa kwangu,
Mtoto hakuwa na hiyana jpil mida ya saa kumi na mbili akatia maguu
story kidogo, akanipa mzigo wangu, nikafanya ukarmu wa kawaida wa kinywaji na msosi, mtoto akataka St Ann nikamletea mi nikawa nakula makali.. huko tunafyatua mchemsho,
Mambo yalivyokolea nikaona nianze kujilipa sasa.. kamata mtoto wa kichaga.. piga touch za kumuelekeza mtu kibla.. na mvua inaanikiza bhas mambo mazuri hali ya hewa inaruhusu nikaanza kamatana nae bhana
ngoma imekolea umeme umekata afu nshafika kwenye a point of no return...
huyu mchaga bhana.. alikuwa na makelele mob.. yaani hta mhogo haujamkolea vizuri lakini kelele zake aseeee..
Alintan off sana..nikachukua simu yngu nikawasha lakini wapi,
aseeeee usiombe t@mba manzi anayeongea wakati wa tendo,na vilio juu kadri dozi inavyozidi ndo yowe inazidi maana sio kelele zile,
sasa kwa mazingira yangu yale alikuwa anantan off sana..
kias kwamba nikawa nachelewa kufika safari, second round ndo alilia hadi akawa anakoroma sa mi na genye zangu za kutosha ikabidi nikubali fedheha na aibu na nikamkunja kisawasawa..
Jirani alikuwepo na dirsha langu na lake yapo sambamba ko muathirika mkubwa wa noise pollution alikuwa yeye, na toka siku hiyo.. nikanotice a different akawa ananionea aibu, hawez niangalia usoni na nikiwa nae karbu hachangamki kama zamani, nikajiongeza tu kiume, sikutongoza wala nini, nilimuita ndani cku isiyo na jina.. nikafanya yangu na ckupata upinzani, alikuwa anarusha maji ka bomba, ila zile kelele zilisababisha ujirani mwema uingie dosari aliwe kimasihara...
Hongera sana chief kwa kupata demu anayejihusisha na Kilimo cha umwagiliaji (squirtin)..
Bonge moja La burudani 😋😋😋
 
Mtanisamehe kwa ntakaowakera kwa hili tukio.

Kuna pisi moja imenizidi miaka 4-5 ka sijakosea, “imeolewa” ila ni mke wa nyumbani. Tulijuana mahali tunapojiongeza kielimu si unajua masomo ya jioni yale elimu haina mwisho aisee naielewaga sana ila Sijawai mwambia ila kwa jinsi namkodolea ziwa lake na kalio alilojaliwa itakua alisha notice aisee ni pisi kali na maisha kwao ni mazuri kutokana na vitu anavaa na jinsi alivyo Japo ni mke wa nyumbani, aisee ni nyeupeee haina kidoti wala chunusi au upele kwa ngozi yake. Sasa mimi sio mtu wa lomoni nyingi hata tukijumuika pamoja na wanazengo Sina story mob mimi na vyupa vyangu na Lay low,maybe Ndio kitu kilimvutia japo sina uhakika, mabeberu wengine tunaojiongeza elimu sehemu moja cjui kama wameiacha maana kila mtu analenga target, mara nyingi mtoto anapenda company yangu tunaongea mawili matatu na story zinaishia hapo tunaenda majumbani kwetu.

Sasa picha linaanza hapa kuna siku za usoni nlimuhoji anajiskiaje kukaa tu home na huku anaongeza elimu haoni anapoteza mda bure atafte ajira akanijibu shemeji ana wivu hata kwenda dukani anakatazwa na mambo kama hayo mi nkamshauri aongee nae maisha ya sasaivi si ka zamani ajishkize achangie kitu mezani nkamfungulia ile portal ya ajira za serikali Japo ilisumbua mno lakin ndani ya siku mbili 3 kwa support yangu na msaada nliopata kwa wataalam “Bila ya yeye kujua” nkafanikiwa kumfungulia iyo account. Alishukuru sana na la haula akawa selected for an interview mkoa X kulikua na interview jumatatu wiki hili linaloisha kesho alifurai na kunishukuru sana huku tuki facetime napimia tu urembo wa mtoto huyu.

Uzuri alikua ananichana kila plan yake, so nkajua anasafari kwenda huko jmosi ili jpili ajiandae na interview kisha j3 hiyo hiyo arudi na ndege mkoa anaoishi. Ndipo mbinu za kivita zikanijia akilini huyu huko huko Ndio kwa Kula kimasihara. Basi kwa kua wengine kazi zetu hazitubani hata nyumbani unaweza zifanya nkajinadi kumwambia ntakua mkoa huo kwa kikao wiki ilo ilo la interview yake so tutawasiliana.

Yes kweli alienda huko jmosi alinipigia simu mno siku iyo kwa bahati mbaya jmosi nlikua na familia Kwaio sikuweza kusafiri ikabidi nimpige chenga sana kua kwa siku iyo nipo nje kidogo ya mkoa huo aliepo yeye ila kesho yake ntajitahidi tuonane mtoto ni mzungu akanielewa na kuni wish all the best basi siku iyo status naona mtoto anatupia picha tu yupo maeneo anakula bata na wenzie sijui hata kajuana nao kivipi huko. Basi mimi kesho yake nikakata ticket ya Basi la asubui sana ili niwai kufika huko, kweli nkafika salama mchana tukaonana mahali mida ya jioni tukawa tunasaidiana maswali ya interview, hatumii kilevi hapo ndipo nli float ila nkawa mpole ulipofika mda jioni sa 12 hivi alipigiwa simu na mwamba facetime za kufa mtu jamaa hakika analinda mali yake ila nkasema bora kukataliwa kuliko niache huu mzigo hivi hivi. Basi alipokata tu simu ilikua around sa 12 inaelekea sa moja nkaagiza msosi watuletee mtoto alikua kafikia hotel haipo mbali na hapo tulipokuepo mie mpaka mda huo sijaweka order chumba ila kuna mwamba wangu mmoja yupo so nkajua sitokosa pa kulala mission ikifeli, alikua ananiambia anataman tukae mda zaidi ila anatakiwa amcheki jamaa mda akirudi hotel kulala, Basi mim nkaagiza kvant mda tunasubiria msosi yeye kaagiza bavaria. Nkakata glass zangu mbili 3 damu ikawa inaelekea kusini chap, pipe imeanza kuwasha indicator kua “am ready when you are” ndipo nkaanza mchombeza mtoto wa kike story za mchombezo zilikolea to the extent tukawa tunachekeana sana iliotekenya hisia ni pale nlipo mwambia kua mimi akinipa mzigo nakula fresh tu na hakuna maafa yanatokea so long as yeye yupo comfortable kunipa alicheka sana, msosi ukaja mida ya sa moja ivi, tukawa tunabunya nkamsogelea Karibu wakati wa kula shika sana upaja ila kila nkikaribia kwa bibi alikua ananishika mkono gently na kuuridisha kwenye goti langu lilikomaa kama kokoto. Aisee hapo nauli yangu ikaanza kuniuma kua nimekuja bure na nitaondoka bure .

Basi tukamaliza msosi kidogo nkaweka uso wa kazi ndipo akasema huyu Ndio chapakila naemjua huyu wa leo ni kwa sababu kalewa, nkamwambia wala Nipo normal kabisa ila kwa kua Leo Nipo alone na yeye na katika jiji ambalo Hakuna hatujuae nimeona niwe open na kujiachia kwake what happens in Vegas …. Akamalizia huku akitabasamu sana mimi nkamsogelea nkala mate akanikatisha kua tupo public kwa sauti ya chini nkamnong’oneza kua Basi twende sehemu private akasema next time not now nkasema huyu sio wa kuacha alibisha sana na kuomba nimuelewe Mimi hapo tayari akili imeshaset kumla. Basi akiwa anajiuliza ilikua inaenda sa mbili hivi nikamuita muhudumu nkamnong’oneza anipe room chap. Kweli akaja pale akaniambia kipo nilipie nkamwambia we nipe funguo ntakulipa mtoto akiingia akasema payment first nkamtoa chake hapo pisi ipo busy na simu c bure ilikua ina chat na mwamba. Basi jamaa akanipa card imeandikwa room no nkasema saf sana basi nkamshika mkono mrembo nkanyanyuka nae nlipofungua room tu akaniita ile kinyonge nkamuambia plz hukai sana I promise tutacheza kama Pele utu uzima dawa alipovuka tu ule mlango nkatabasamu like Johnny bravo nkasema si ndo mambo haya, nka funga mlango nkachomeka card taa zikawaka nkamtizama mtoto kakaa kwenye pembe ya kitanda kaegemesha sura kwenye ganja za mikono sijui Ndio aibu au anapiga hesabu style ipi anipe , nkainama nkamshika mikono nkamuuliza upo tayari, aliniangalia na kutabasamu tu aah basi ndugu wanainchi wa jimbo la kimasihara nlikula lita pole pole chojoa nguo zangu zote nkabaki pumbu wazi na vuzi langu la ki bob marley huwa na desturi sipigi vigeregere demu Kama hajaenda kujiweka sawa bafuni Ila huyu nlipiga vigeregere bila tatizo huku juu kabaki na shat lake na bra chin yupo uchi nkachomeka mashine nkajilia viwili vyangu japo style moja tu ya kifo cha mende sikutumia ndom ma doctor wa JF msinipangie kipengele kwa kuuza mechi hata nyie msingemvalia soksi ka anao basi ajali kazini,
Mida ya sa tatu mtoto akasepa japo hakuwa mchangamfu kama pale tulipo onana jioni, mi nlilala hapo hapo nikipiga kifua pisi kali aisee wanazengo. Narudia pisi Kaaaaaaaliiiii.

Kesho yake j3 kaenda interview fresh kamaliza ndipo akajibu sms yangu ya all the best nkamuuliza wats next akanjibu kimeumana na mwamba kam mind simu apokei kamwambia arudi chap home aachane na interview nkamwomba sana msamaha. Nkaomba aje tuonane before she leaves akacheka kua anajua wat will happen nkamwambia si lazima ila akitaka fresh. Mda ulipita alikua kimya nkajua kashapaa mim nkawa tayar natafta zigo la kulala nalo siku hilo j4 nirudi zangu home, jioni jioni nashangaa simu yake inaita kupokea ananiambia Mbna Nipo offline nkamuambia nlkua kikaoni wakati siku nzima nlikua naangalia tv tu na kuweka mambo kadhaa sawa ya kazini nashangaa naambiwa fungua mlango nli pigwa na shoti maana tayari Kuna pisi nliiset ije ikabidi tu niikatae iyo pisi Japo alimind sijui ishajiandaa mara story kibao nkaikataa, mtoto akaja nkamuambia vp nkajua umesepa akaniambia no yupo au tayar nna zigo lingine ndani huku akijidai ana search search nkamuambia ukimaliza ku search vua nguo nkupe haki yako jana sikukutendea haki aisee nli burudika sana kuamkia international women’s day nlikula na kulala nayo hapo, ana maaavi balaa ila kwa mparange haendi hata ukiwa na nauli ya million,kesho yake nikapanda bus asubuhi yeye alidamkia hapo sijui ka Ali rudi alipofikia mana nae pia aliondoka na ndege ya siku iyo kurudi kwao alipofika home alini faceTime kiainina tukaagana. Nkarudi zangu home maisha yanasonga Japo saivi kila mda FaceTime ila haiumizi story za kujengana sio kupasuana.
Nawakilisha mtori wangu huu… wana eeh tusiwe wkaali na walinzi kupitiliza kwa wake zetu hata iweje ka anataka kuliwa ataliwa tu, subiri nimtafte mama junior asije vunjwa mgongo Uko aliko vijana wa siku hizi wapuuzi na wa ovyo wana kunja pisi utadhan Viwete usikute rikiboy ananimegea huko mida hii .
Vipi angekupa kwa mpalange ungekuwa????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom