Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Baada ya ku graduate nimerudi zangu bomani,katika harakati za kusaka ndogondogo nikafungua ka movie library cha kiwaki tu pale, series zilizo tafsiriwa +miziki na single movie.
Wakati nategatega pale kuna msista mmoja pisi kali akawa mteja angu zikaivana sana,kuzoeana.

Dogo langu alikua std4 kukawa na kikao shule ikabidi nikamuwakilishe Mazaa maana hakuwa fresh na mzee hajuagi hata majengo ya shule tunazosomaga zaidi ya majina tu. Kufika kwenye kikao ndo namuona yule msister amekaa pale mbele kumbe ni ticha bana, kikao kikaisha pale tukasalimiana nikamtambulisha dogo nikachukua na namba zake.

Tukawa tunawasiliana, ndo akaanza kutaka kunijua vizur nlikuaga wapi maana amehamia pale kitaa 2 years na hajawahi niona nikavimba nlikua zangu napambania degree yangu akashangaa kinoma maana uhuni mwingi sifananii kabisa na mtu alosoma (mlofika Arusha 360 kule mnaelewa culture).

KULA TUNDA ;kuna siku kanicheki jmosi anaumwa+stress yuko mpweke kama naeza nimpelekee movie angalau asukume muda. pc yangu nikaeka kwene begi nikamuacha mkali wangu ofisini, nikanunua matunda ka ya 3000 nikaibuka nikamkuta kanywea nikatoa pc nikamwambia leo angalia kitu cha tofauti

nikamwekea ma love story ya kutosha nikampa na matunda pale akashukuru akasema afadhali maana hajala tangu asubuh. nikamwambia ngoja nikupikie mgonjwa, nikapika tukala tumemalza akaenda oga karud na kanga tumekaa kwene sofa moja naona mtu kapandisha miguu kaniekea mapajani. (Mtoto wa kiha dark skin hana hata upele).

Nikaona asilete ujinga.. movie linasonga nikaanza mpapasa kwa miguu kunakuna unyayo naona ananiangalia kama yupo kwene kitanzi, shikashika magoti-mapaja-K hii apa.,..nkaskia tu KUKU WAKO MANATI YA NINI . Nikawa mpole sasa maana nlikua na ugwadu ...taratibu romance nikaka kwene kiti kama nguzo ya TANESCO ikiangua nyumba miguu ipo chini mtoto akakalia shokapu kaanza nesanesa (nkajiuliza hivi huyu ni yule mgonjwa kweli au ) geuzana geuzana pale mara chini mara kwa kiti nikapiga kimoko
Show ikahamia chumbani nimekuja toka pale saa 3 mwepesiii..

JE MAHUSIANO YALIDUMU;baada ya kula tunda ndo tulianza mahusiano by that time nilikua 24 years yeye alikua 32 nikifunga ofisi saa 3 ;30 ntaenda nakuta msosi tunakula wote nakaa had saa 6 night au 7 ndo narudi home mda mwingine nalala huko...Maza akaja jua kambi mpya nlopata alikua anamaindi kinoma maana anasema yule ni mkubwa sana nikakaza kichwa,dem nae tukaenda kwao nako mzee wake nae mtu wa matabaka.

Tulidumu for 2years tukapata mtoto mmoja..broo akanishtua muongozo wa job nikasepa zangu uchugani tukaja shindwa kuendelea sababu za kifamilia nlimuelewesha na move on akanielewa ..tunawasilina vizuri sanaaaa.
Daaah ameshakua single mother tayari. Na akiolewa still utakua unammega kisela. Halafu aje mtu anishauri nioe single mother...!
 
Hizi unexpected sex zinatokea sana kigamboni hasa siku za weekend pale amabapo wadada wanakuja beach alaf wakat wa kuondoka hela hawana au wanaachwa na magari walio kuja nayo watu wanajiopolea sana huku kigamboni tunawaita mdondo au utumbo na vijana wanasema utumbo hautupwi
 
Daaah ameshakua single mother tayari. Na akiolewa still utakua unammega kisela. Halafu aje mtu anishauri nioe single mother...!
Mkuu inategemeana aliyekua naye mwanzo waliachanaje..sisi ni sababu za kifamilia na tuna mawasiliano mazuri mno na mtoto ana tu bond. Atakaye muoa lazma ashtuke japo kuolewa yule ni ngumu sana
 
Sasa bwana siku moja nilikuwa na mishe yangu mkoa
Sasa nina jamaa yangu ni dereva wa semi...(huyu by then alikuwa best tu) katika story tu akaniambia naka eeh me naenda mkoa flan siku flan...nkakumbuka kwamba na mimi nina safari ya huko. Nkamwambia tutasepa wote aniache kwenye ile wilaya ambayo nilikuwa naenda. Siku moja kabla ya safari akanipigia kunijulisha kwamba nijiandae na tukutane sehemu flani muda flani.
Sasa bwana safari ikaanza ....kutoka dar to mkoa husika. Tukafika kituo flani tulala mikuku kama yote na baada ya hapo safari ikaendelea.
Tulipofika nusu ya safari tukafika mahali barabara ilikuwa inatengenezwa kwa hiyo magari yote yakawa yamesimama na kusababisha foleni ndeeefuuu. Hapo me nilikuwa nimelala kwenye kigodoro.... Basi yeye na utingo wake akashuka kwenda kuchek kuna nini ...kumbe kuna gari ilikuwa imedondoka ikaziba barabara so ndo walokuwa wanajitabidi kuitoa. Hapo ni mida kama ya saa 9 hivi au 10 kasoro alfajiri.
Yeye akarudi haraka haraka akaja nilipolala akasema hebu sogea tulale bwana. Heeeeh akaanza na harakati zake...
Me nkawa nshalegea lege nkajiachia cha fasta. Ile anakojoa tu na gari zikaruhusiwa maana ile gari iliyoziba barabara ilishatolewa kati ya barabara.
Utingo alipoingia jamaa alijikausha kau utadhani sio yeye...
Safari ikaendelea kama hakuna lililotokea...
Me nilipofika nkashuka kituo changu wao wakamalizia safari.
Ninamuonea aibu hadi leo.
Ni mimi naka kama naka katika ubora wangu.
Ambiere wewe ni muongo.
 
Mwanamke akisimulia kimasihara hata hatumii maneno meeengi, ni kidogo tu lakini msisismko uko palepale. Wakija wavuta bangi sasa, maneno mia, moshi debe,
Mwanamke akisimulia kimasihara hata hatumii maneno meeengi, ni kidogo tu lakini msisismko uko . Wakija wavuta bangi sasa, maneno mia, moshi debe, stori kiduchu.
Hivi jamii mnachukuliaje wavuta bangi ?
 
Hizi unexpected sex zinatokea sana kigamboni hasa siku za weekend pale amabapo wadada wanakuja beach alaf wakat wa kuondoka hela hawana au wanaachwa na magari walio kuja nayo watu wanajiopolea sana huku kigamboni tunawaita mdondo au utumbo na vijana wanasema utumbo hautupwi
Beach gani hiyo mzeya na mie nije niokote loose ball hizo
 
Hapana sio suala la kukara viuno kuna manka mmoja alikuwa mweupe shape kama lotee ila jamanii yeye anataka Style mojaa tuu kifo cha mendee na hapo miguu hanyanyuii kajilazaa kama kazimiaaa... mwenyewe anakwambia hivyo ndo anasikia rahaaa Nkajua hapa hakuna kituuu
kama gogo
 
Mkuu inategemeana aliyekua naye mwanzo waliachanaje..sisi ni sababu za kifamilia na tuna mawasiliano mazuri mno na mtoto ana tu bond. Atakaye muoa lazma ashtuke japo kuolewa yule ni ngumu sana
Wee utakuwa unaendelea kumgegeda single mama/ bby mama
 
Back
Top Bottom