Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Bora isitokee kuliko itokee halafu ibane mapaja!

Kipindi fulani nilikuwa Moshi kikazi nikabanwa na ukame nikaanza msako. Karibu na kazini kulikuwa na mawakala wa mpesa wazuriiii matoto mawili ya kichaga kwenye duka moja. Nikapambana nikapata namba ya Pisi A,nikamkomalia akaja mpaka hotel. Nikaweka mitego ya kula kimasihara akachomoa ananiambia nimtongoze kwanza 🤣🤣🤣

Nikamwambia sawa basi naanza kukutongoza...nikampa mistari bado akakataa kuliwa, anasema umenitongoza inabidi unipe muda nikufikirie. Pumbaaaavu. Akaja hotel kama mara 2 hivi zote akanikazia,habati mbaya mimi huwa ziwezi ku force mwanamke. Tukapiga stori akasepa.

Kesho yake ilikuwa J2 yule pisi A haendi job ila pisi B nikamkuta Mpesa. Nikamtania tania pale,nikampa business card. Aiseee huyu alikuwa na moto,tukachat sana mwisho akaniambia nimtoe out.🤣🤣. Nikamwambia mji una baridi saba uje hotel kwangu tujifungie room unywe ule unachotaka. Nikamtajia hotel na room namba na kila kitu.

Saa 12 Pisi B ikanisihi nisiiangushe imeshajiandaa. Daaa mwanangu ilipofika saa 1 nasikia mlango unagongwa,nikajua Pisi B ndani ya nyumba. Kufungua nakutana na Pisi A inaingia bila kukaribishwa...Kichwa kikawaka moto 🤣🤣🤣🤣. Nikaanza kuichana mbona umekuja bila taarifa.eti ooh hapa ni kwa mpenzi wangu sio lazima nitoe taarifa. Daaah nikajisemea hili toto puuuzi kweli kwanza mbususu linanibania.

Kidogo tu Pisi B inapiga simu ipo reception inasema mhudumu kamzuia awasiliane kwanza na mimi( mhudumu aliona aniokoe maana alishtukia nitagonganisha magari 🤣🤣🤣)

Nikaiacha Pisi A pale room ikichezea simu,nikatoka nje kupambana. Nikaitoa Pisi B nje kwenye viti niipange. Ikaanza kunikoromea twende tukaongelee ndani,halafu kwa nini sijampa taarifa mhuduma kama anakuja. Hapo wakuu jasho linanitoka balaa.
Nikamtanganya mama yangu mdogo ana Corona yupo ICU kwa hiyo inabidi niende benki niwatumie pesa ndo maana siko sawa.

Huku Pisi A kule anapiga simu kujua kama nimemkimbia. Hakuwa na jinsi maana nilikuwa nimemfungia. Sasa huku Pisi B akang'ania nimuache room nitamkuta.

Nikiwa naamini kabisa hawa watoto wamepanga mchezo waniaibishe,nikamuacha pale nje nikaamua kusepa mitaani na boda kama naelekea ATM

Kumbe huku nyuma Pisi B alipoona mhuduma amekuwa busy akaenda room kwangu kagonga ili kujionea kama nina demu mle au nina shida kweli. Alivyogonga mwenzie ndani akaitika akinua ni mimi "Wewe umesahau kama umeondoka na fungua". Pisi B ikawa imehisi ile sauti ni ya mwenzie ikabidi imsemeshe hawakuelewana vizuri ikabidi impige simu yake,ikasikia simu inaita chumbani 🤣🤣🤣🤣

Basi ikawa imeishiwa pozi itaamua kusepa tu. Mhudumu aliponipa taarifa ameondoka nikarudi najisikia aibu balaa,daah hivi mimi ndo nishakuwa malaya hivi mpaka nagonganisha mademu 😌😌😌😌

Kwa hiyo nikabidi nimchane ukweli Pisi A kwamba yeye na kunibania ndio kasababisha yote hayo. Mimi nilikuwa na ukame uliofika hatua mbaya sasa yeye hakuwa tayari kunisaidia.

Ikanilaumu sana na kuniona malaya,ikanitaka nifute namba yake na nisimtafute tena. Nikamwambia isiwe taabu,chukua simu futa kila kitu chako humu. Ikawa End of Story na Pisi A.

Alipoondoka tu nikampigia Pisi B,ikasema haiko mbali imeamua kulewa kupunguza mawazo kwa jinsi nilivyonfanyia. Nikamkuta pale nikamuomba msamaha na kumpa ukweli woote.

Ikaniambia achana na yule mtoto mdogo,twende ukanitie mpaka asubuhi mpaka ukinai mwenyewe 😋😋😋😋😋
Achana na yule mtoto mdogo 😂😂😂😂😂 i heard her sound
 
Toka nimeanza kupelekea watu moto, ni zaidi ya miaka 20.
Nikiwa free nakuja huku kupumzika, vipi kuna goma mtaani kwenu nilifate
Ulichojibu ni nje ya swali langu. Lakini, kupitia hili jibu lako....nishajuwa kwanini unapost_post tu. Asante
 
Mkuu tupatie mrejesho ulifanikiwa kumchakata mara ya pili huyo shemeji yako mtoto wa Kiganda ? Kama jibu ni ndiyo hiyo inatosha fanya urudi TZ huyo rafiki yako Mganda asije akujua maana hao jamaa hawana msamaha wakikujua unamchukulia mke kama ana bastola anaitumia bila kusita muda wowote.
 
IMG_5998.jpg

Nilete huu mtori au cha kushushia hamna? international women’s day hoyee!
 
Mkuu tupatie mrejesho ulifanikiwa kumchakata mara ya pili huyo shemeji yako mtoto wa Kiganda ? Kama jibu ni ndiyo hiyo inatosha fanya urudi TZ huyo rafiki yako Mganda asije akujua maana hao jamaa hawana msamaha wakikujua unamchukulia mke kama ana bastola anaitumia bila kusita muda wowote.
Mkuu bado namfyonza makalio huyu mtoto wa kiganda.

Nimeongeza muda hadi mwisho wa mwezi..

Mtoto si wa kuharakisha kurudi bongo mkuu..

Nimejilaumu Sana hadi sasa bado sijamtoa maji ya mbunye.

Kila nikijitahidi kupiga katerero naishia kumwagia ndani.

Ngoja mkuu kwnz hadi nigunduwe kitu kwnza.

Kama nimepata mtoto kwa mtelezo kwann nisijilie mbunye kiaini?

Wacha niendelee Kula burudani mkuu..
Mtoto mtamu Sana halafu lainiii.
 
Siku kadhaa za nyuma niliibiwa kiasi fulani cha pesa kikubwa tu, baada ya kuzitafuta bila mafanikio ikabidi nifikirie kwenda kwa mganga nione kama anaweza kunisaidia!

Basi bwana hayawi hayawi yakawa hatimaye,
Mara paap nikampata jamaa mmoja yeye anamfahamu mganga na akanihaidi kunipeleka. Tukakubaliana fresh, siku ya Jumatatu nikampitia jamaa mida kama ya saa nne asubuhi tukaanza safari kuelekea kwa mtaalamu.

Tukaenda nje ya jiji la Mwanza kuelekea Sengerema. Tukaenda mpaka tukafika eneo husika.

Kwa mganga tulikuta ni nyumba kubwa tu nzuri, inavutia na ina geti. Tukafungua geti tukachoma ndani.

Kuingia ndani tukamkuata mtoto mdogo tu wa kike nahisi alikuwa ni mtoto wa mtaalamu japo sikupata uhakika. Tukapiga hodi huku tukiwa ndani ya geti akatukaribisha tuingie sebuleni lakini aliyetukaribisha alikuwa ni mwanamke na sauti ilitokea chumbani.

Basi kama kawa tukaingia sebuleni tukaanza kumsubiri.

Mara paaap! akatoka ndani mwanamke mzuri nilimkadilia umri ni wastani wa 35 - 38. Yule mwanamke alikuwa mzuri body kali amepanda juu kinoma.

Alikuwa amevaa kitenge tu jamani ndani hamna kitu, halafu juu amevyaa kitambaa cheusi yaani kimefunika matiti tu na kimezunguka hadi mgongoni.

Tuakaanza kuongea nae pale, akaniambia niingie kwenye chumba kingine.

Kile chumba nilichoingia kilikuwa kitupu kabisa kuna mkeka tu pamoja na stuli ndogo na baadhi ya makorokoro yake

Tukaingia chumbani mimi nikakaa kwenye mkeka yeye akakaa kwenye stuli.

La haula alivyokaa kwenye stuli akawa ameshikilia ile khanga ameichomeka katikati ya mapaja yaani mapaja yote unayaangalia kifua chote.

Daaah! Mwanaume akili yote ikafyatuka mwili ukasisimka mzuka ukapanda.

Yeye amekomaa kuchanganya vidawa vyake mimi mshipa umeshanisimama sielewi chochote.

Basi akatengeneza vitu vyake akamaliza akanipa dawa nikamuachia hela pale; nilitaka nimguse paja kidogo nikaona ngoja nitulie kwanza, nikajitutumua nikamuomba namba za simu naye hakusita akanipa.

Sasa basi usiku uleule wa Jumatatu nikampigia kwakweli nilimueleza kila kitu kuwa kwake nimezimika sijiwezi tena. Nikaona response yake, akawa anahisi masihara mara oooh acha utani. Nikasema yeeeees hapa hapa!

Sasa jana nimemuibukia kwake majira ya saa tisa mchana. Nimekaakaa pale story mbili tatu, nikamsogelea karibu. Aisee kimasihara tu mganga jana nimemla mzigo!

Jioni kama saa moja kasoro nikapanda zangu feri nikarudi mjini.

Sasa usiku akaanza mazoea na vimeseji vya ajabu.

Leo pia asubuhi kanitumia sms kuniuliza nimelalaje. Yaani hapa najiandaa leo nikalaleko kabisa. Mganga ni mtamu jamani!

Ngoja nipige kazi fasta jioni niwahi feri niendako leo nalalako kabisa, nataka nimkomeshe
Kalalekoo,wasuuu
 
Back
Top Bottom