kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
natamani na wewe nikupige chapmweupe tu ukimkazia unapiga
natamani na wewe nikupige chapmweupe tu ukimkazia unapiga
Ndio lipi ilo au embe ngongoTunda manyoya boss@cabo,E]
natamani na wewe nikupige chap
Vipi ulifanikiwa kupata pesa zako za uwakala na laini nyingine?Hatimae nimeshawishika kuleta yangu,
mwaka jana mwezi kama wa (iv) hivi kuna binti mmoja nilitokea kumpenda sana, nilimjua baada ya kuwa anapita asubuhi akielekea shule, kwa kuwa kipindi hicho nilikuwa na tabia ya kudamka kila asubuhi kuwahi job naye kwa kuwa njia ile ndio ilikuwa ni ya lazima yeye kupita basi akawa anapita kila siku.
Basi bwana kutokana na kuanza harakati za kumpata nikawa na wakati mgumu sana maana hakuwa na simu wala hakuwa na ratiba maalumu ya kuonana na mimi kutokana na kuwa ni mwanafunzi wa form (ii), sasa basi ikabidi nimtumie bidada flani hivi aliekuwa kanizoea sana kwa kipindi hicho maana alikuwa ana kuja kunichangia miamala ya kutoa ama kutuma pesa ktk kijiofisi changu, jina lake Mariam.. nikawa namtuma hadi kwa yule binti kisha yule binti akawa anakuja kuonana na mimi, sasa baada ya mda yule binti niliekuwa namfukuzia tukashindana maana alikuwa anatumia vitu vyangu kibao tu ila papuchi kutoa hataki (huenda kutokana na udogo/utoto wake wa under 18).
Baada ya kuachana nae yule binti nilisononeka sana maana kuachana kwetu nilikuja kugundua kuwa kila nilichokuwa namfanyia ilikuwa ni kama daraja la wengine kumpata kisha kummega(nilimnunulia simu kumbe simu ile akawa anatumia kukutania na mabwana zake), aliniacha na masononeko ya hali ya juu sana mpaka kufikia hatua nikawa kama mgonjwa..huyu Mariam akawa anakuja na kuniulizia nimefikia wapi kwa binti yule matata me ikabidi nimweleze A-Z akawa ananicheeka kisha akaniambia kuwa UKOME tena kakukomesha maana ulikuwa unamwamini mno..kutokana na me kutokuwa na utani nae kabla basi matani yakaanzia hapo maana alitoa kauli hiyo kwa hali ya kunichekesha vile ili kunifanya niwe normal, basi nami nikarudisha kwa utani vile vile nikamwambia Mariam hata sijakomeshwa akaniuliza vipi ulikula mzigo nikamwambia hamna wala, ndio akazidi kunicheeeeka mpaka nikajionea huruma na kweli sikuwa nimelula zigo, akaniambia kweli wewe nyuki wa mashineni yaani kumbe Bulaya001 hauna madhara kiasi hiki nami nikamjibu kuwa nina madhara tena sana tuu na ipo siku nitakukula ndipo utajua kuwa nina madhara, haijarishi hata akiwa barabarani yaani kwa mjeki mmoja tu chali kisha nazama chumvini mazima, basi akawa anabisha pale sana na kusema B wala hautawahi kuja weza maana hauna ubavu huo.
Mambo yakaja kutamadadi baada ya ule utani wangu kushika hatamu na kila wakati alikuwa anahimiza kuwa kauli yangu ya siku ile wala siwezi kuitendea haki maana sina uwezo huo, me kwa upande wangu niliongea kwa utani tu maana sikuwa na hisia nae na pia nisingeweza kumtaka maana nilishawahi kumuagizia kwa demu kama yeye na pia jambo lililonifanya nisiwe na hisia nae japo ni mzuri ni yeye kuwa na rangi nyeupe, hizi ni rangi nisizo zipenda daima..kwa hiyo sikuwa na hali yayote ya kumhitaji, na nilimheshimu sawa na dada yangu maana ananizidi umri japo si sana na pia ana mtoto mkubwa tu (nilisha jiapiza siwezi kuwa na mwanamke aliekwisha kuzaa), Na katika story za hapa na pale pia niliwahi kumsimulia kuwa siku za nyuma huko miaka ya 2015 nimewahi kumtongoza mdogo wake na kuwa nae ktk mahusiano japo sikumla ila madenda na matouch fresh..sasa sikuweza kuwa na nguvu ya kumtaka zaidi ya story tu.
Mariam wa watu kakomaa na ile kauli kwa majuma kadhaa kwa kuniulizia maswali ya hapa na pale kwa kuniambia kuwa B hauwezi nikawa nakazia tu naweza..baadae akili ikaniambia ebu acha ubwege hebu toka kwenye utani na uje kwenye reality..nikawa namwambia M embu njoo kwangu nina inshu nahitaji nikwambie akawa anazingua zingiua huenda kutokana na yale ya nyuma.
Siku moja nikamwambia Mariam leo fanya nikifunga njoo kwangu akadai wewe huwa unafunga mda umeenda sana nakuwa nimeshasinzia (huwa nafunga saa6+) basi nikamuuliza kuwa kwa ajiri yako unataka nifunge saa ngapi, akasema saa4, akaongezea kuwa mda huo baba mwenye nyumba nilipo fikia atakuwa bado hajafika, akishafika na kuingia ndani geti huwa halifunguliwi tena mpaka kesho yake, nikamuuliza kimasihara tu je, ukilala nje hawatakuhoji akadai me ni mtu mzima hivyo hawata nihoji sana na hata kama watanihoji si kiviile na majibu yeyote nitakayo wapa basi watalizika nayo.. Daah nikawa kama naota vile maana msimu huo nilikuwa na kimba la kukataliwa na kila demu na pia sikuwa nimegonga kwa mda sana, hivyo nikaiona saa4 usiku inachelewa sana
Imefika saa3 kasoro hivi nikamuuliza kama yupo teyari akajibu wee funga tu ukifika ghetto me nitakuja, kutoka kwao hadi kwangu hapakuwa na umbali sana na nilipo ni kama mwendo wa dk2 hata ukimuita mtu anakusikia tu, nikafunga mda huo huo ili saa4 inikute nimo ndani kabisa..nikaoga kisha nikamwambia aje akadai poa..nimo ndani nikasikia mlango wao wa chuma unafunguliwa nikasema hivi ni kweli anakuja ama naota! Basi mda si punde huyu hapa ndani nikamuuliza kama ataoga akajibu hawezi kufikisha hadi mda huo akiwa bado hajaoga tu story za hapa na pale baadae nikaanza kumpapasa, japo sikuwa na hisia nae kabisa ila nikaona sio mbaya simba leo nikila nyasi maana me mademu weupe mbali mbali kabisa arafu pia kazaa.. Baada ya mda nikawa nimemvua nguo kisha nikazasha JAMANI nasema kweli mpaka naingiza sikuwa na imani kama kweli namla dada wa watu, nikagonga show mbovu sana kuwahi kutokea ktk historian yangu ya ufuska, nilipiga kimoja tu kisha kisha tukalala..baadae asubuhi nikapiga tena kamoja kisha alisepa kwao...dada wa watu sikuwahi kumtongoza wala, hata sikuwa kumwambia neno I lav yu ndio ikawa fungulia Dogg..
Ebwana baadae sikuweza kuomba game maana nilikuwa na haibu hata kukutanisha nae macho endapo akipita maeneo ya kazini kwangu, ila charting za hapa na pale zilikuwepo ila kuomba tena na show ikawa ngumu, nilikuja kupata tatizo la kufungiwa line yangu ya uwakala ya m-pesa maana niliinunuaga kwa mtu, kumbe huyo alieniuzia alikuwa wakala mkuu msaidizi kwa hiyo aliniuzia line ya mteja alie tuma line yake m-pesa(huenda ndio michezo yao ya kuuza line za watu kisha kumdanganya mwenye nayo kuwa awe mvumilivu na bado line haijatoka/ilishindikana kutoka). sasa ikanibidi nipige simu vodacom kuuliza utaratibu wa kupata suluhu ya line hiyo maana hela zote zilifungiwa hadi commission yangu ya mwezi huo pia ilifungiwa mle mle, nikawa nimeuliza vodacom wakawa wamenijibu niende kahama mjini ndipo alipo wakala mkuu wa line yangu, nikawa nimeenda, nikiwa kule demu akauliza vp mbona leo hujafungua nikamjibu kama ilivyo na kumwambia nipo kahama akasema pole sana ila ukija utanitaarifu nikuelekeze uje kwangu ili nikupe pole, japo sikukamilisha maswala yangu kwa siku ile nikadandia gali na kuwahi kuja kutunukiwa..siku hiyo ndio nilipopinga ile kisawa sawa tena nilomgongea kwake.. nikawa nagongea kwake kila mara, yaani nikawa najiona kama vile me nimeolewa maana yeye kwangu haji ila kwake naenda daily..
Baada ya muda nikaja kumuona yule mdogo wake keshapendeza zaidi kuliko hata dada yake, nikaona nimrudi maana tuliachanaga baada ya mimi kutoka eneo hilo ila hatukuwahi kutamkiana kuwa tuachane ama kuvurugana hivyo ikawa rahisi kwangu kurudiana ila dada yake alikuja kunigudua hata kabla hatujabanduana, alinitukana sana na kudai kuwa me nataka kuwatomba ukoo mzima, kwa hiyo nikawa nimekoswa wote wawili kwa pamoja na mpaka sasa tumeshakuwa maadui wa kufa yaani hata hausalimiani
Huu uzi unanisapoti sana na foleni zeru za jiji la bar shite. Nikiwa njiani nakua na muda mzuri wa kupitia updates.Akati kabla ya kulala anangalia update
Watu wamevurugwaKuna watu wanaudhi na wanapenda kiki za ajabu sana mtu kwenye hii uzi analeta masuala ya ukimwi sijui kwani jukwaa la JF doctor hajaliona ni+oko sana mb***wa nyie
yaaaniYani kuna watu wana kiele ele anazan kuna mtt hum fffffck offff
Line aliifungua kisha akanipatia pesa zangu zote ila akaniambia line naiacha coz mwenye nayo ndio ataikuta na sio mimi tena.Vipi ulifanikiwa kupata pesa zako za uwakala na laini nyingine?
mkuu nini tatizo??Kichwa kinaniuma
mkuu nini tatizo??
Nimetubu mkuu maana ile dhambi shetani alinikana kuwa hakunishwishi niifanye.Hahahajananjajajana khaaa ushatuubu mkuuu
Stori yako ni konki...Naombeni nimalize PART 3 ya KULA TUNDA KIMASIHARA.
likizo yangu ilikuwa na furaha sana baada ya kufahamu afya yangu. Nikarudi chuo wanasema TAMAA MBELE MAUTI NYUMA, Kimasihara nikala lile lidemu lenye shape kali kwa KAVU KAVU kwa kutumia SPRAY ili nilikomoe. Nilishadithia hiyo story ipo huko nyuma.
Katikati ya show demu akiwa anapata mautamu akaropoka NIMETEMBEA NA WANAUME WENGI HAKUNA ALIYENIPA PENZI TAMU KAMA LAKO, hiyo kauli ya wanaume wengi ikaninyong'onyesha sana moyoni nikasema mwezi hata hujaisha tangu nipime afya niko NEGATIVE ghafla nahamia POSITIVE.
Nikamaliza chuo kwa mwendo ule ule wa mawazo ya ngoma. Nikaenda nyanda za juu kusini kutafuta fursa za kibiashara.
Bwana bwana siku moja naingia kasupermaket flani nakutana na demu kisu baraa anauza pale. Akili ilivurugika nikasema moyoni huyu lazima nile mzigo. Nikawa naenda pale kununua vitu uongo na kweli tukazoeana kiana.
Siku moja mida ya saa 4 usiku nikapita hapo kumsalimia KIMASIHARA nikamwambia leo njoo lala kwangu akasema fresh nipe namba yako ya simu nikampatia.
Nikasepa getho kichwani nasema huyu hawezi kuja. Bwana bwana mida ya saa 6 nasikia simu inaita kucheki namba ngeni, hello hello NDIO NAFUNGA OFISI NACHUKUA TAX NAKUJA KWAKO NIELEKEZE.
Nikamwelekeza. Fasta nikakimbilia kwenye bag nikatoa SPRAY nikapulizia mboo fasta dakika o demu huyu hapa. Akaingia ndani akavua nguo fasta bafuni kuoga. Bonge la baridi demu fasta akapanda kitandani.
Hakuna longolongo nikaanza kukamua KAVU KAVU kibabe nioshe jina. Show ilikuwa tamu sana.
Zikapita kama wiki 2 nikiwa nimekaa na washikaji mahali demu akakatiza. Wshikaji wakasema aisee yule demu alikubali kusex na jamaa flani HIV POSITIVE tajiri wa mbao, kisa tajiri alimuhonga milioni 1.
Mbaya zaidi yule tajiri nilishamfahamu na nilishawahi kukaa naye kibiashara katika stori zake tajiri alishawahi kutamka NITAHAKIKISHA NITAONDOKA NA WENGI.
Zile stori za washikaji hazikuwa rafiki kwangu nikasepa yale maeneo nikarudi getho nikajilaumu sana nikailaumu SPRAY. Nilikasirika ile spray nikaichukua nikaweka mfukoni nikaenda kuitupilia mashambani.
KICHEKESHO:- Nikatafuta vile vidude vya kupima HIV. Nikarudi getho nikajichoma kidoleni weka tone la damu nikaacha hapo kisome. Nikatoka nje.
Nikiwa nje natafakari maisha yangu baada ya majibu yakiwa POSITIVE. Aisee nikarudi ndani kabla ya kwenda kwenye kipimo nikachukua shuka bila kuangalia kipimo nikakifunika na shuka sikutaka kufahamu majibu, nikaingiza mkono ndani nikakishika nikakiweka mfukoni nikaenda kukitupa mashambani.
Nikahamia mkoa mwingine kibiashara MCHUMIA JANGA HULIA NA NDUGUYE nikaenda kununua SPRAY tena. Show zikaendelea kama kawaida, nikiumwa naenda hosptal nakuta malaria, typhoid kichwani nasema ipo siku lile BOMU la HIV litalipuka.
Nikaamua kutangaza kuoa, hapo nafuatilia maisha ya yule demu supermaket kule nyanda za juu yuko HAI AU AMEKUFA. Naambiwa yuko hai anahali gani kiafya? Najibiwa kama kapunguapungua vile.
Nikafunga ndoa bila KUPIMA HIV, na ikawa mwisho wa kutumia SPRAY na wife aliniamini niko good kiafya. HAKUNA MAREFU YASIOKUWA NA NCHA, wife ujauzito huu hapa nikamsindikiza kliniki, nimkabidhi pale nisepe bwana bwana Nurse akasema kabla hajaanza kliniki ni vema tupime afya zetu wote.
Nilikuwa nimekaa kwenye kitu nilitamani ardhi ipasuke niingie au litokee giza la ghafla nikimbie. Vipimo vikaja wakati huo nawaza KAVU KAVU zote za hatare lipisi la chuo, demu wa supermaket nyanda za juu na wengine baada ya huyo. Mwisho nikamwangalia wife nikamuonea huruma, yeye ANATABASAMU TUU.
Vipimo vikachukuliwa nurse akaviweka hapo mezani visome huku anajaza form. Akaviangalia vile vipimo halafu akatuangalia machoni. Mimi nimeishiwa nguvu. Then Akaangalia kipimo cha wife then akaangalia changu.
Akasema HONGERENI SANA WOTE MNA AFYA NJEMA. Aisee sikutaka kuonyesha furaha pale nisionekane nilikuwa fuska. Nikamuaga wife nikawapigia simu washikaji nyanda za juu leo nimepima HIV niko safi kwa TAARIFA YENU NILIKULA YULE DEMU WA SUPERMAKET. Washikaji walishikwa na butwaa hawakuamini kumbe nilikuwa kwenye chain.
Mwisho kama Mungu hajakuandikia hutapata HIV kweli hutapata hata usex katikati ya milima ishuhudie umalaya wako. Lakini kama umeandikiwa utapata HIV utapata tuu hata kama ni mara yako ya kwanza kusex.
Tangu nimeoa ni miaka 4 imepita sijamsaliti wife wala staki kula demu nje nisije nikamuuzi Mungu akasema hili lifuska nimelinusuru kote huko linaendeleza umalaya wacha lipate ngoma sasa .
Mtoto yuko bomba halafu mshamba mmoja anakuja kula kimasihara tu
Nadhani ziliungwa nyuzi...Hata Mimi nimeshangaa komenti zake zimefikaje huku
Huyu mdau mkubwa
Hahahaaa kwanini mkuu?Kichwa kinaniuma
Ni uvivu wako wa kusoma tu.Ndefu inaboa nimeishia kati kusoma au uandishi nao dah