ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,453
- 119,074
Mkuu mbona unaharibu tena na habari za ukimwi? Wacha watu wale utam asee!Na ukimwi mmeupata basi![]()
Mkuu mbona unaharibu tena na habari za ukimwi? Wacha watu wale utam asee!Na ukimwi mmeupata basi![]()
Chief nataka kuujua huo mkao wa spika wa bunge (nimekosa mimi, nimekosa sana)No 2.
2004, mkoa fulani wenye baridi zake nyingi kama friji... Nmeamka asubuhi, dada wa binti nnaotoka nae (classmate na mtoto wa mwenye nyumba) kaja kwao kusalimia, ndani napiga magoma ya Daz Nundaz na Inspekta.
Akaja azima kanda asikilize kwake, jioni kaileta anasema haimfai maana hana asali wa moyo kashatendwa na mumewe. Nkamwambia kaa tusikilize, nkaanza muimbia pale.
" Wewe ndo asali wangu wa moyo, kwa dhiki na faraja mpnz kaza roho, ingawa watasema mengi midomoni mwao, usiwajali hao" na blah blah pale
Akaanza fabasamu, nkamwambia si umeona nshakufanya uwe na furaha, haya nikiss hapa uende, that was a damn fvckin mistake, alipoinuka ndipo ujumbe wa shetani ukaingia rasmi katika PM ya kichwa changu cha chini.
Nliona lile uno lilivokua limebinuka, ile milima ilivo jipanga, kile kifua kilivosimama, na ile sura iliyo ya upole. Alikua ananikiss kwenye paji, nkafanya uhuni wa kukwepesha, nkaweka mdomo, na kumvutia kwangu.
Alitaka kugoma, ila nkakuta kauleta, nlipoanza kumkiss, nkamshika mkono, nkaupeleka ikulu aone njemba ilivo wima. Akauishika ukuni kwa ufundi, huku akiniangalia, anawaza anipe asinipe, nkamnong'oneza huku nkiendelea kutalii milimani. "Usimwache mpweke, mpake asali akupe raha yake".
Yule bibie nkamtoa nguo kama sitaki ile habari, mpaka zinamaliza tayari kawa mchovu na dafu limevunjika. Nkamweka sasa ile style ya spika wa Bunge ya nimekosa mimi nimekosa sana, kisha akaanza peleka ukuni polepole, nkampelekea kichwa, hata akataka himaya nzima iingie, ile imeingia akavunja dafu jingine huku akitukana sana. Kama matusi yanafika, basi mumewe alitukanwa sana, "fulani unanitesa na hujui kunifanya hivi, fulani mjinga*** so and so". Tukasahau kabisa kama pale ni kwao, akalala kama masaa mawili kisha akaamka na kutoka. Asante zilikua nyingi sana, na nkapata bonus ya kukaa miezi kadhaa rent free. Mpaka alipojua nina demu kikaumana















Sio kitonga tu! Hata za kulipia huwa tunalipia!!Wajuba endeleeni kuusaka ukimwi kwa mbupa za bure,
Hakuna masikhara wala nini
Mnapenda kitonga![]()
mkininiruhusu nitaweka picha yake hapa
Chief weka tuone ila usioneshe watu halisia, usije ukalimwa tofali na mamod!mkininiruhusu nitaweka picha yake hapa
@mawardat mbupa ni nini?Wajuba endeleeni kuusaka ukimwi kwa mbupa za bure,
Hakuna masikhara wala nini
Mnapenda kitonga![]()
Weka tujue huo mkao.mkininiruhusu nitaweka picha yake hapa
Mie? Unanikosea ujue!Kujiendekeza tu,mnapenda ngono kuliko ugali!!!
Akili inarudi baada ya tendo, inashangaza lakini ndio maisha!!Nawashangaaga hapo tu
Mnavyoogopa sasa
Ungekuwa hupendi huu uzi hata kuufungua usingejaribu, utam kwa mwafrika ni moja ya starehe zakeKujiendekeza tu,mnapenda ngono kuliko ugali!!!

Unaonekana unatamani sana kupigwa nyama rungu kimasihara...Kujiendekeza tu,mnapenda ngono kuliko ugali!!!
Rudi hapa, unakimbia nini?!
mkuu ndo maana nikaseam tusome some mkuu, usijefanya jambo ukijua u salama kumbe ushatinyanga pasipo kujua sheria, na sheria inasema kutokujua sheria si kingaSas ridhaa tena afu uwe umebaka , kwan tafsir rahis yakubaka ni ipi..??
Hii ndo kula tunda kimasihara sasaHeri ya Xmass Ndugu zangu wa Kimasihara.
Ngoja na Mim nitupie uzi wangu wa kimasihara hapa maana siku nakula huyo Mtt nilitoa ahadi lazima nije kushare na wana.
Jumatatu iliyopita, nilidamka mapema sana Kwa lengo la kumpelekaa wife stand ya bus pamoja ya vijana wangu wakale xmass kwa bib yao kidogo huko kwenye Jiji la miamba.
Basi nkawasha kimkweche changu maana nakaa mbali kidogo na mji ili niwah mabasi ya saa kumi na mbili ya Asubuhi ya kwenda jijin mwanza. Wakati natoka uswazi kwangu kwenda Main Road na kimvua kinanyeshaa hv. Tukakutana na bestie wa Mke wangu na yeye alikuwa anampelekaa mama yake stand lakin wao walikuwa wanaelekeaa Main kuchek Bodaboda.
Basi wife alipowaona tukasimama tukawapa lift kwenda nao stend, basi bana bahati nzur Mke wangu alikuwa wa kwanza Kufika kwenye parking ya gari linaloenda mwanza nkashuka nkamsaidiaa kuweka mambo sawa nkamuhug na makiss meng wife kisha akaniomba nmpeleke best wake stand kuu sasa nmuache hapo kisha nirud zangu geto.
Basi baada ya kuagana na wife, ikabidi nimsogeze shemela pamoja na mama yake stand kuu ambayo sio mbali sana, shida ikaanza shemela akasema anaomba nimsaidie kutafuta bus na kuhakikisha anampandisha mama yake kisha turud wote.
Ndugu zangu yule shemela kumbe sikuwah kumuona kwa macho ya kimalaya, anakasura ka kibabe face na huwa akija home mara nyingi ana makanga na matenge ila sasa asubuh hyo alikula zile pajama flan hv nyepesi na alikuwa ameloa loa Kwa hyo chupi ilikuwa imejichoraaa flan hv kwenye Bantu shape.
Nkajisemea moyoni kwamba leo hata km nmetoka kupata morning glory kutoka kwa wife lazma niombe kimasihara tu, afe kipa afe beki.
Basi nkamsaidiaa pale mama yake kutafuta bus lake la kwenda Tanga, tukamaliza. Mama akatuachiaaa baraka nying sana tukaanza kurud nlipopark mkweche wangu kurud home.
Wakat tunarud mwanaume ikabid nijifanye nakaa nyuma ili nione tako, shemela akauliza Mbona unakaa nyuma sana unajuaa Mim naogopaaa kutembea pekee angu, mwanaume nkamjibu kimzaaa tu na hii barid nalivutiaa picha msambwanda wako. Basi shemela akachekaa Kwel kwel.
Basi tumefika kwenye gari nkafungua akataka kukaa nyuma nkamwambia kaa mbele leo nataka kukuona vzur kabsa maana nlikuwa sikuoni vzur kipind cha nyuma.
Shemela akacheka tu tukasepa zetu maana wote tunakaaa mtaa mmoja, wakat tunakaribia kitaaa Mim nkamchana kabsa kwamba leo unaenda kuchukua nafasi ya rafk yako maana kaniachia nyumba pekee.
Shemela akawa nacheka Cheka tu, tumekaribia kituo ambacho anashuka mwanaume nkaongeza speed, akasema Mbona umepapita kwangu nkamchana naenda kukumalizia usingiz nikaona kimya, mwanaume nkasema leo kimasihara imetimia
Ndugu zangu siku ya Jumatatu nilienda kazin saa 4 asubuh baada ya Saa moja na nusu kutokana na utundu wa yule Mtt, Mtt anajuaaa kuila koni bana, shemela mtundu bana kuliko kawaida sasa hv mpk mwaka mpya ndo nampga Full stop.
Ni hayo tu.
Picha tafadhali ya hio mbupaMbupa ni mbupa
Mkuu hizi episode achana nazo, shusha movie kama ilivyo...Night kaliii nimehamia mtaa mpya wanapaita ughaibuni, Jirani yake pamepewa jina La kisiwa maarufu cha muungano pamefunguliwa kiwanja kipya cha kujirusha, told myself gotta go there nijionee... Hali ya mvua na ubaridi mhuni nikatia maguu kupata supu , watu nyomi ndinga za maana za watoto wa mjini,,..... pisi za kuzidi, nikatafuta sehemu nikakaa . Mhudumu kajongea na kuuliza tukuhudumie nini kuna soup ya kuku , samaki na mbuzi.... nkamwambia ya mbuzi na ndizi au viazi kama vipo, paap hii hapa kijiko cha kwanza cha pili cha 6 , kaka samahani utatumia kinywaji gani madam pale kasema nikuulize nkamwambia situmii chochote ahsante niktoa ishara ya ahsante huku nikimtizama yule bibie aliyepanda hewani , mtoto wa kinyachu .......