Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.
Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
===========
TAKE NOTE:
===========
Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Ile siku naikumbuka nilivyokula kimasihara,
Ilikuwa jioni majira ya saa moja hivi ile kupeleka macho pembeni namkuta mdada fulani wakuitwa TABIA,kajibebea kijuisi chake na kimeo cha simu ya mkononi
Nikamdandia ikawa naelekea anakoelekea yeye ila hesabu zangu zinaniambia mtaachana mbele,kwa sababu mimi gheto langu lipo karibu na sokoni yeye anapitiliza pale....Basi bhana mara namsifia kidogo,namfurahisha kidogo maisha yanaenda ghafla mimi nimefika gheto tayari,nikamjaribu eti TABIA hata kutia BARAKA maskani kwangu jamani hata kuingia tu na kutoka,akasema poa ngoja nije ila nataka niwahi home, muda huo mimi sina mzuka nae nachukulia kama Jokes....
Piga sana sana stori kama Maji ya masika yanavyotiririka huko mabondeni na Jangwani kwa watani wetu...
Mara ananiambia mimi naenda home majira kama saa 5 usiku,
mara ila mimi(yeye)naogopa sana mbwa ukitaka nisindikize
mimi mwenyewe nawaogopa pia(mimi)
ukitaka lala tu mbona kitanda kikubwa tu hichi,
(yeye) uliona wapi fisi na mbuzi wakalala zizi moja?
hapa akili zangu sasa zimebadilika nusu najielewa nusu sijielewi,
Hatimaye mtoto akakubali kulala gheto,
Jamani nyie ndugu Waandishi wa habari hamkuwepo tu siku ya tukio,
naamini kila mmoja wenu angeandika habari hii kwa style ya kipekee,
JAMANI nilito....hadi nikajishangaa ni mimi huyu maana nilikuwa na nguvu halafu kila ninavyoigeuza Papa inakuja humuhumu,
Kata sana mauno mtoto yule huku sauti zikimtoka kama ROLL_ROYCE ya DIAMOND,
Kauli ambayo niliisikia toka kwake hadi leo naikumbuka alisema "nilikuwa nachelewa wapi mimi" hapa ndipo akili yangu inanikumbusha kitu ya kuwa kumbe huyu alikuwa swahiba wa demu wangu wa zamani ndio maana anahisi kama best yake alikuwa anapata utamu huu aloupata yeye,
Basi tukala,tukalana hatimaye tukalala..
Alfajiri yeye ndo wa kwanza kuniamsha, mimi(yeye) naenda home naogopa watu maana mwanga umeanza kujitokeza,
mimi nikaitikia poa nitakucheki,then akaondoka,
WAPENDWA NIKIRI KWAMBA yule mwanamke alikuwa na utamu wa pekee kuliko wanawake wote nilowapitia SIKU hiyo,
ILA siku narudia mechi hata sikumuelewa sana,
nimebakiwa na kisa kimoja tu.
NAWASILISHA.