Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Siyo wamasai tu ila wanawake walokeketwa huwa hawachoki haraka maana ukienda roundi 3 yeye 1 ndio kwanza anadai umentekenya, wanawake waliokeketwa wanataka more technics bila hivyo unachemka

Yupo mmoja nilikutana naye Dom ni
Hatari na nusu
Kama jina lake linaanzia na N.. ni tatizo
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Ile siku naikumbuka nilivyokula kimasihara,
Ilikuwa jioni majira ya saa moja hivi ile kupeleka macho pembeni namkuta mdada fulani wakuitwa TABIA,kajibebea kijuisi chake na kimeo cha simu ya mkononi

Nikamdandia ikawa naelekea anakoelekea yeye ila hesabu zangu zinaniambia mtaachana mbele,kwa sababu mimi gheto langu lipo karibu na sokoni yeye anapitiliza pale....Basi bhana mara namsifia kidogo,namfurahisha kidogo maisha yanaenda ghafla mimi nimefika gheto tayari,nikamjaribu eti TABIA hata kutia BARAKA maskani kwangu jamani hata kuingia tu na kutoka,akasema poa ngoja nije ila nataka niwahi home, muda huo mimi sina mzuka nae nachukulia kama Jokes....
Piga sana sana stori kama Maji ya masika yanavyotiririka huko mabondeni na Jangwani kwa watani wetu...
Mara ananiambia mimi naenda home majira kama saa 5 usiku,
mara ila mimi(yeye)naogopa sana mbwa ukitaka nisindikize
mimi mwenyewe nawaogopa pia(mimi)
ukitaka lala tu mbona kitanda kikubwa tu hichi,
(yeye) uliona wapi fisi na mbuzi wakalala zizi moja?
hapa akili zangu sasa zimebadilika nusu najielewa nusu sijielewi,

Hatimaye mtoto akakubali kulala gheto,
Jamani nyie ndugu Waandishi wa habari hamkuwepo tu siku ya tukio,
naamini kila mmoja wenu angeandika habari hii kwa style ya kipekee,
JAMANI nilito....hadi nikajishangaa ni mimi huyu maana nilikuwa na nguvu halafu kila ninavyoigeuza Papa inakuja humuhumu,
Kata sana mauno mtoto yule huku sauti zikimtoka kama ROLL_ROYCE ya DIAMOND,
Kauli ambayo niliisikia toka kwake hadi leo naikumbuka alisema "nilikuwa nachelewa wapi mimi" hapa ndipo akili yangu inanikumbusha kitu ya kuwa kumbe huyu alikuwa swahiba wa demu wangu wa zamani ndio maana anahisi kama best yake alikuwa anapata utamu huu aloupata yeye,
Basi tukala,tukalana hatimaye tukalala..
Alfajiri yeye ndo wa kwanza kuniamsha, mimi(yeye) naenda home naogopa watu maana mwanga umeanza kujitokeza,
mimi nikaitikia poa nitakucheki,then akaondoka,
WAPENDWA NIKIRI KWAMBA yule mwanamke alikuwa na utamu wa pekee kuliko wanawake wote nilowapitia SIKU hiyo,
ILA siku narudia mechi hata sikumuelewa sana,
nimebakiwa na kisa kimoja tu.
NAWASILISHA.
 
Nina muda sana sijaleta kisa. Visa vipo tatizo mambo yamekua kasi sana toka mwenda zake aende zake.
Leo naleta kisa kimoja cha wikiendi hii ya juzi.

Around mwezi wa 7 kuna wafanyakazi wapya walikuja hapa ofisini. Ni diploma so bado wadogo wadogo. Mabinti wa 5 na washakaji 2. Wale mabinti wote wa kawaida so sikuwaza hata kuanza kuhanagaika now ingawa kuna mafisi yale yasiyochagua najua yatakua yanapiga tu by now.
Nlivokua nawakabidhi desktops za kufanyia kazi, kuwasetia simu ya ofisi za mezani na email za ofisi, ikabidi niwape wote namba yangu na nichukue namba zao. Sijawahi kumtafuta hata mmoja na wao hawajawahi kunipigia, mara nyingi wanatumia tu simu za ofsini zile za mezani kuomba support. So hata mazoea now sinaga. Kuna manzi hapa kazini nilikua napiga kipindi flani sasa ikajaga kuleta maneno na majungu mengi sana kutoka kwa wana (Nlianza kupiga siri siri baadae watu wakajua, haikua shida sana coz manzi ni kifaa sana, akapataga mimba ya jamaa yake wa siku zote, jamaa akavalisha na pete kabisa. Mwakani ndo ndoa, uzuri jamaa hajui kama kuna mwamba kazini kwa manzi alikua anapiga, labda watu wachome, now kajifungua yupo maternity. Huyu siwezi weka kisa chake hapa coz huyu niliplan kumpata, sio kumla tu na nkasotea mpaka ikanibidi ni apply u- sharukh khan ili nimpate. Mimba yake ilivoanza kuonekana nlikula sana majungu).
So hawa nlivoona wote wa kawaida nkaona nitulie tu.
Ijumaa iliyopita mida ya mchana mmoja wao wa wale mabinti kanitext msg ya kawaida anauliza kama nimeagiza msosi, nkamjibu msosi gani, akajibu kua kakosea kutuma, alikua anamtumia mwenzie, nkamjibu na mimi nataka msosi. Tukachat chat pale na mimi akaniagizia msosi. Ulivofika kantext nkaenda floor ya juu kabisa ndo kuna sehem ya kulia chakula. Nkawakuta wapo watatu, yeye ni zile type za mamanzi wana sura nzuri lakini mwili wa kawaida sana, akivaa suruali ndo anapendeza, sio skirt wala magauni. Na wenzie ni variations tofauti kidogo tu lakini wale wale tu.
Tukala huku nawapigisha story za kizushi, nkatoa hela ya msosi wangu tu nkarudi ofsini kwangu.
Mida ya saa 10 kantext tena, anataka movie kama nnazo aangalie weekend. Wao jmosi na j2 hawaji. Muda huo mi nshakimbia ofisi kitambo, nmewaachia madogo wa field ikifika saa 11 wafunge funguo waache kwa mlinzi.
Ikabidi nimwambie sipo nmeondoka. Tumechat sana mpaka saa 2 hivi ndo nmemuuliza uliza kuhusu yeye, anapenda movie za aina gani, anakaa wapi, na nani na vitu kama hvyo nkamwambia kama hyo kesho yake jmosi atakua free tukaangalie movie pale DFM akauliza muda nkamuambia saa 2 kasoro. Kasema hataweza coz yeye anakaa maeneo ya Lumo na dadaake. So mchana anakua free sio usiku.
Nkamuambia basi nkitoka job ile saa 6 mchana hyo kesho yake jmosi tuonane aje achague movie anazozitaka. Akasema poa na kuchat kukaishia hapo.
Kesho yake mi nshasahau nipo job na washkaji muda wa kazi umeisha lakini bado hatutaki kutoka mjini, naona text ya yule binti, nmechat nae ananiluza niko wapi, nkamjibu nakaribia home, akauliza tunakutania wapi nkamjibu nkifika home ntamtumia location achukue bolt aje. Akaguna na mimi sikujibu kitu, nkajua huyu kajileta kibla mwenyewe nibembeleze ya nini.
Nkawaaga washkaji nkaenda kudandia boda mshkaki hadi karibia na mitaa ya home buku 3 tu af boda ingibe buku mpaka getini. Mdogo wangu wa kiume yupo likizo so mara nyingi anapenda kuchill kwangu, nkampigia simu hapo hapo nkamuambia afanye usafi kizushi af asepee.
Nmefika home nkamtumia location whatsapp na jina la kituo, af nkamtext kawaida kuwa location nmeshaituma. Akajibu poa. Nkaona blue tick whatsapp nkajua location kaipata. Nkauchuna.
Baada ya kama lisaa hivi katuma text yupo kituoni, nkamfata na nauli ya bolt nmeibeba. Nmeenda na mindset kuwa nkikuta ashajilipia nauli possibility ya kula tunda ni 50/50, lakini kama anasubiri mimi ndo nije kulipa basi atakua amekuja kuliwa tu. Na kweli nmefika nmemkuta yeye na huyo jamaa wa bolt wanansubiri nilipe. Kaja kavaa suruali ya jinsi, tshirt, kajifunga na mtandio kichwan kama anajificha flani hivi. Ikabidi nimpitishe baa kabisa nimchukulie chips yai na mishkaki na maji makubwa, coz hatoki mtu akishaingia ndani.
Tumefika ndani nkamuandalia huo kwa saani msosi af nkamuekea movie kwenye TV ya 50 shades of grey, part 2 yake au part 3, nliweka hyo coz wananyanduana kichizi.
Tatizo si akaielewa movie, aka concentrate nayo kichizi, ikabidi ntulie hadi iishe. Wakati movie inaendelea nkahamia sofa alilokua amekaa nkamvuta akanilalia nkamtoa mtandio, uzuri ana nywele natural amezifunga nyuma, nkawa namchezea kwenye nywele af nashuka mabegani, nkishuka kifuani anantoa mkono anasema nisimsumbue anaangalia movie. Movie yote imeenda hvyo hadi imeisha.
Baada ya movie hata sijaongea chochote mdomo kauleta mwenyewe. Nmejilia vitatu mida ya saa 1 nmemuitia bolt kasepa. Nawaza jmosi nimuite tena. Tatizo sitaki awe manzi wangu official.
Hii wiki yote kila siku anantext anasubiri nianzishe topic ya mahusiano na mimi siianzishi, tunachat tu kawaida namsifia sifia af inaishia hapo. Zaidi kumuita 'mama' hamna jina lolote la mahaba namuita.
Halafu wanawake wa hvyo ndio unakjikuta unampenda sana baadae
 
Halafu wanawake wa hvyo ndio unakjikuta unampenda sana baadae
Hii ni kweli, mi nimejikuta nataka kuoa bila kutarajia
Ni binti mzuri tu ana miaka 21 anakila sifa ya kumvutia baharia, naweza sema ni kundi la wanawake ambao wanaume wengi huwa tunahofia kuwaoa sababu aina hii huwa wanafukuziwa na watu wenye pesa

Kifupi nimejikuta nataka kuoa kimasihara, pia hata mahusiano yenyewe yameanza kimasihara maana sikumtongoza wala sikuwahi kumwomba namba yake ya simu, mwanzo nilikua nachukulia poa tu ila mwisho wa siku nimekuja kujua mtu anafosi ndoa wakati mimi huwa napenda kuwa nae kwenye ishu zangu tu,

Ila sa hv kanitambulisha mpaka kwa ndugu zake na watu wote maeneo ya kazi wanajua ni mke wangu kumbe wala hata barua sijapeleka

Kifupi mwanamke unaemchukulia poa mwisho wa siku utajikuta unampenda
 
Hii ni kweli, mi nimejikuta nataka kuoa bila kutarajia
Ni binti mzuri tu ana miaka 21 anakila sifa ya kumvutia baharia, naweza sema ni kundi la wanawake ambao wanaume wengi huwa tunahofia kuwaoa sababu aina hii huwa wanafukuziwa na watu wenye pesa

Kifupi nimejikuta nataka kuoa kimasihara, pia hata mahusiano yenyewe yameanza kimasihara maana sikumtongoza wala sikuwahi kumwomba namba yake ya simu, mwanzo nilikua nachukulia poa tu ila mwisho wa siku nimekuja kujua mtu anafosi ndoa wakati mimi huwa napenda kuwa nae kwenye ishu zangu tu,

Ila sa hv kanitambulisha mpaka kwa ndugu zake na watu wote maeneo ya kazi wanajua ni mke wangu kumbe wala hata barua sijapeleka

Kifupi mwanamke unaemchukulia poa mwisho wa siku utajikuta unampenda
Siku zote ndio inakuwa hvyo mkuu,yule unapanga awe wako hamtofika mbali yule ambae unasema ngoja nipige nisepe unajukuta umezana
 
Matunda gani unakula chief, tupe ujuzi mzee.
Km uko arusha au moshi kuna vidude flani ivi ukienda masokoni unavikuta.kama soko kilombero au mbuyuni.
Watu wengi huvizarau ila mziki wake sio wa nchi hii.
Viko km nazi unakivunja ndani yake unakuta km kikaranga kinafanana na shilingi hivi.
Ni balaa mzeee watu huwa wanavidharau ila shughuli yake ni mujarab.yaani unavila tuu km karanga
 
Km uko arusha au moshi kuna vidude flani ivi ukienda masokoni unavikuta.kama soko kilombero au mbuyuni.
Watu wengi huvizarau ila mziki wake sio wa nchi hii.
Viko km nazi unakivunja ndani yake unakuta km kikaranga kinafanana na shilingi hivi.
Ni balaa mzeee watu huwa wanavidharau ila shughuli yake ni mujarab.yaani unavila tuu km karanga
Vinaitwaje?

Nitakuwa mbuyuni kesho kutwa
 
Back
Top Bottom