Jesuitdon
JF-Expert Member
- Dec 18, 2018
- 3,143
- 2,689
Ulimwachaje??Hatimae leo limeona nishiriki mchezo wenu mchafu
Kwa kawaida kila mwisho wa wiki hua nasafir kwenda kanda ya kati ukooo,hua naondoka Dar sa 9-10 jion nafika dodoma saa 5-6 kutegemeana na spidi ya dereva.

kinadai kitaenda Kesho maana Bado kina stress
nimekitafuna usiku kucha mpaka saa 2 asubuhi
kitu kizuri ni kuwa leo nimewakutanisha na mtu wake nimewasuluhisha na wamerudiana...