ulikuwa unaandika huku unatembeza alkasusi[emoji23][emoji23][emoji23].au ndio ushalaaniwa[emoji1][emoji1]
 
Bora uwaambie yani bda wapate msg wanatka miandiko wabongo bana
 
Simulizi inavutia. Uandishi sifuri. Hakuna aya wala sentensi. Uandishi wa kifala wa kutumia consonanti bila vowels kama unaandikia mafala wenzako mlosoma wote mnaojua slang. Utoto mtupu ktk uandishi ila simulizi inavutia

Bazazi

Binafsi, pamoja na makosa ya kiuandishi, sijaona sababu ya kumtolea mwenzako povu jingi as such.

Umekasirika kwa kuwa kamla Sister?

Kumbuka hata Kristo alikuwa na Uungu na ubinadamu.

Masister nao wana utawa na ubinadamu so kama ni sex baadhi yao wanafanya.

Huo ndiyo ukweli japo unaweza kuwa shubiri.

Pole sana!
 
Kuna kijana kwa masihara tu kaomba uroda kwa kimama kubwa hata sio saizi yake
Lile limama likaamua kumuuliza kijana mdogo waweza?
Kijana akajinadi anaweza
Akaulizwa tena waweza sio masihara ukachezea wakubwa
Kijana akajisifu sana kwa kuona haiwezekani
Lile jimama likampa kimasihara kijana akaambiwa haya njoo
Kijana likaingia chumba cha mamaa
Alipofika akapandishwa kitanda kimasihara tu yafunguliwa mashine kijana atetemeka akapandishwa juu kadudu chake kakaingizwa pangoni
Jimama likachukua kanga akamfunga yeye na kijana pamoja akaitia lock asiweze kutoka
Ndipo kijana alikula tunda atapika akianza tena atapika akianza tena kama mara 3
Kuelekea la nne kijana hoi anachezeshwa kama liverpool wakiwa uwanjani kijana hoi macho yamemtoka kushuka hawezi kafungwa
Matokeo yake kijana asema kwa nguvu mamaa Hakuna intervoo hapa
Akimaanisha ukienda sinema nusu sinema inaandikwa interview yaani half time
Limama likamwambia hakuna intervoo wala half time utakoma kula tunda kimasihara
Ujumbe
Ujumbe kwa vijana musipende kula tunda kimasihara wakati mwingine litakutoka puani
Ni bora ulifanyie kazi utongoze leo wakataliwa kesho waomba tena sio kwa masihara ili penzi ukilifanyia kazi utakula tunda kwa utamu zaidi kuliko kupewa kimasihara
Tafakari chukua hatua
 
Hizi ni story za kwenye kahawa.
 
sema kingne wakuu mnazingua sana mnavokosoa watu walioandika story zao,wewe huna experience yeyote na hata kama unayo hutaki kushare kazi kupinga post za wenzako "chai hio" yako maziwa yako wapi??
Lengo la huu uzi ni kupeana tricks na kufurahisha tu,kwa hiyo ata kama unahisi ni chai we ishi nayo tu,kwa sababu hata ikiwa kweli au uongo haikuathiri chochote,lengo ni burudani tu!!
 
Yani wamezoea kukosoa tu na zingine ila kwa upepo huu inakatisha tamaa
 
watu wapo kukosoa tu,mara muandiko mbovu,bla bla bla,kama mtu huwezi kusoma si unaacha tu wanaoweza wanasoma,hii inafanya ambao hawajaweka story zao kuhofia kukosolewa wanaona bora wakae kimya tu!!
Yani wamezoea kukosoa tu na zingine ila kwa upepo huu inakatisha tamaa
 
Ila huu uzi mtam sana yani unaku fanya ufunguke sana
watu wapo kukosoa tu,mara muandiko mbovu,bla bla bla,kama mtu huwezi kusoma si unaacha tu wanaoweza wanasoma,hii inafanya ambao hawajaweka story zao kuhofia kukosolewa wanaona bora wakae kimya tu!!
 
Duuh uaminifu apo hakuna kwa awa viumbe
 
Aliyeenda Roma ni huyo mtawa siyo mleta Uzi, umemnote vibaya mkuu,

My apology


Mwandiko ni muhimu sawa mkuu,

Angekuwa anaandika kwa mkono tungekubali,

Ila hapa anaweza kuandika na akapitia upya kabla ya kupandisha jukwaani

Narudia tena ni muhimu sana uandike vizuri na ufikishe ujumbe wako vizuri

Watu vilaza ndio huwa wanaandika vizuri kwa taarifa yako....ila umri, mazoea ya miandiko ya kuchat nk, nadhan utaelewa nina maana gani!

Nani kakwambia? Kuandika kwako vibaya ndo unajiona smart?

Yes watu smart wanaandika vibaya ila wakiwa wanaandika kwa mkono kwa sababu kasi ya kufikiria haiendani na mkono

Ila kwa hapa yaani hizo story tena kwa kutype useme watu smart hawanfiki vizuri

Ni mpumbavu pekee atakubaliana na huo ujinga

Anyway sorry(nisamehe)

Back to the thread leteni mambo


Hakuna anayezingua,

Umeandika vibaya unaambiwa,


Tena unaambiwa hapo hapo,

Probably unachukuliwa kawaida ila ukiambiwa utajirekebisha

Hakuna aya vituo uumbaji wa sentensi wa hovyo hovyo vifupisho vya kijinga kijinga

Kama huwezi kuandika vizuri keep your story

OVER
 
uzi huu haukufai mkuu....nenda jukwaa la Siasa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…