Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Sasa uliandika kumfurahisha nani?? Upeo wa akili yako unaonekana wazi ujielewi, endelea kupambana na mashoga kijana, mtu anaongea au kuhadithia kile anachovutiwa nacho zaidi, kama ulikua uvutiwi wala usingeruhusu mawazo na akili yako kuandika habr hizo..pathetic
Muambie ukweli huyooh,
 
Dah hama malaika yalimuita huyo Bro wako aje kuokoa jahazi kabla halijazama maana kama ninavyokuona hukuwa na ndomz hapo
umeona eeeh... na inawezekana amefunga na vumbi la Congo kabisa 😀 😛 😅 😀 😛 😛 😛 😛 😅 😅 🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
 
Jamani ifahamike Mimi sikupiga shoga, niliandika tu hapa kuchangamsha genge, Mimi naishi arabuni huku izo mambo hamna kabisa. Maana kuna mashoga yananifuata inbox aise ni balaa.

Najuta kwa nini niliandika aise, sasa mashoga wote mlioko humu JAMANI MIMI SIPIGI GAY NA WALA SIJAWAHI KULA GAY IVYO KAENI MBALI NA MIMI MASHETANI WAKUBWA NYIE.
PUMBAVUUU KABISAAA...
 
Back
Top Bottom