Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Acha tu niliwahi kumla shemeji yangu mke wa binamu yangu muiraq/mmbulu bila kutarajia..nilisikitika sana..ndo nikakumbuka bimkubwa aliwahi kuniambia nisije kujaribu kuoa muiraq

Halafu ni watamu balaa wana hips kama zote, kuna mmoja nilikua nae miaka nenda rudi miaka kibao alikua kwao lakini so alikua anakuja kwangu mara kwa mara kipindi cha mzee wa loliondo familia yao ilienda yote kakaja kunipitia niende kunywa kikombe cha mzee nikagomea, nilimbana hafurukuti full wivu ilibaki kidogo tu nije kuoa tumebaki marafiki ru wa insta sema huyu alikua anjiheshimu sana.
 
Uko vizuri mzee baba. Kuanzia kuhabarisha kistar. Mpaka kila dots nilizokuwa nafuatilia nikukosoe,na-fail mwenyewe. Hongera sana. Nimekukubali mkuu. Unaweza ukajichagulia demu mwingine yoyote uka*tomb* kilain kwa mpangilio huu.
Mwamba kapangilia story vizuri mpaka unatamani iendelee tuu.
 
Tea with lemongrass

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo ivo yaani
20210602_133033.jpg
 
Halafu ni watamu balaa wana hips kama zote, kuna mmoja nilikua nae miaka nenda rudi miaka kibao alikua kwao lakini so alikua anakuja kwangu mara kwa mara kipindi cha mzee wa loliondo familia yao ilienda yote kakaja kunipitia niende kunywa kikombe cha mzee nikagomea, nilimbana hafurukuti full wivu ilibaki kidogo tu nije kuoa tumebaki marafiki ru wa insta sema huyu alikua anjiheshimu sana.
Ukimkuta mwenye msimamo anakua hayumbishwi kabisa ila ni wachache mno
 
Back
Top Bottom