Aah we jibu tu. Si makasiriko yako tu mkuu? Nimekujulisha tuu hiyo formula haiwezi apply kwa kila mwanamke. Mwingine akisikia unamsemesha kauli kama hizo lazima ajisikie offended. Unless otherwise muna mazoea lkn siyo tu from nowhere. Na hata kama mna mazoea lazima uanzie mbali. Maneno ni makali mno
Sawa tumekuskia mwanamke unayejiheshimu utakuwa mke bora😂😂
 
Kipindi nipo chuo kuna manzi tulisoma nae, ntamuita B. Huyu manzi alikua mali safi aisee. Na yeye alikua analijua hilo. Hakua na shobo kabisa na wanachuo. In service tu na wafanyabiashara ndo walikua wanakula. Wana wamechezea sana vibuti pale. Sikuwaga na mazoea nae sana coz nlikua najua haina umuhimu wowote. By the time tunamaliza chuo hata namba yake sikuwa nayo. Kipindi tunafata cheti nkakutana nae chuoni nae alikua amefata chake. Tukapiga piga story ndo tukabilishana namba.
Miaka imepita life linasonga. Nlikua naona status zake tu, mara moja moja nacomment anajibu af inaishia hapo. Now washamuoa na kumzalisha anaishi mkoani.
Jumapili ya wiki iliyopita mida ya mchana nkaona amepost status yupo kwenye basi, nkacomment kumuuliza anaenda wapi akajibu anakuja Dar, katumwa vifaa na ofisi yao. Anafika hiyo Jumapili, Jumatatu na Jumanne atakua Posta ananunua vitu, Jumatano anasafiri kurudi mkoani. Nkamuambia akija Posta anicheki tupate hata lunch. Akasema poa. Ikaishia hapo.
Kweli Jumanne mida ya mchana kanipigia akasema yupo maeneo ya Kisutu kwenye duka la vifaa vya stationary ndo amemaliza kufanya shopping. Nkamuambia nakuja.
Ile nafika sasa. Uzuri wake bado upo sana tu, lakini kaongezeka mwili halafu na hivi umri umeshasogea, analipa lakini sio B yule aliyetutesa enzi zile. Hakuwa peke yake, alikua na mwenzie wanafanana kwa mbali. Urefu, rangi na shape wanafanana, sura ndo sio sana. Lakini huyu mwenzie mdogo mdogo, anaonekana around 22 au 23, anaita balaa nae mali safi kama B enzi zile. Nkawasalimia na nkatambulishwa kuwa yule ni cousin wake anaitwa R anasoma chuo hapa Dar ndo B kafikia kwake.
Nkawapeleka mgahawa flani upo opposite na CBE pale, hapo kichwani nawaza B tulishamkosaga toka chuo, huyu cousin wake siwezi muacha, niwawakilishe wana wote waliotoswa na B. Lakini nkawa nawaza kuwa huyu kwa uzuri wake atakua tu kama dada yake na zile shobo. Uzuri mimi in service. Sio mwanafunzi tena.
Wakati tunakula na story kibao, nkachukua namba ya huyu R. Baada ya msosi nkawarudisha kwenye duka nlipowakuta nkasepa kurudi kuendelea na kazi za watu.
Jumatano asubuhi nikamcheki B ni comfirm kama kweli amesafiri, na kweli akasema yupo kwa basi ndo anarudi mkoani. Mjuba nkaslide kwa inbox ya R. Tumechat chat pale, nauliza maswali na kutoa ushauri flani hivi nionekane mtu smart lakini mtu poa pia. Nkamuambia kesho yake yani Alhamisi, nataka niende Mcity kuangalia movie kama atakua free niende nae. Akauliza movie gani, nkaingia kwenye app yao ile ya 'otapp' nkacheki nkaona ile movie ya Jason Statham, Wrath of Man itafaa. Nkascreen shot nkamtumia. Akuliza uliza maswali kuhusu movie inahusu nini, nkamjibu jibu ikapita.
Alhamisi nkatoka job nkapita home nkachange na nkaenda Mcity, njiani nkampigia kuwa naenda akasema nkifika nimwambie. Nmefika nkamuambia akachukua boda kaja, kafika nkalipa. Mida hyo kama saa 2 kama na nusu hivi. Amevaa kigauni flani kinaishia juu ya magoti katoka amaizing balaa.
Movie mpaka saa 4, hapo najua kuna zaidi ya lisaa la kumconfigure. Kuna mgahawa flan, ukiingia kwenye hili geti la upande wa Survey upo upande wa kushoto, nkampeleka pale tukaagiza tukakaa tukaoder vinywaji tu. Nkamuambia 'kwa hili lisaa limoja mpaka muda wa movie I want to get to know you'. Akacheka kauliza unataka kujua nini, nkamuambia anything.
Usually ukitaka mwanamke awe comfortable around you, usiongee sana kutawala maongezi, tafuta topics ambazo yeye atakua comfortable nazo na zenye interst kwake , af mwache afunguke, just nod along, once in while unaingiza maneno mawili matatu, unauliza mwaswali na ku laugh along, ukitoa comment usiongee kitu generic, say something ambacho asingetemea useme, kiwe funny sio offensive.
By the time saa 4 imefika tunaingia kwenye movie (Alhamis elf 5 tu) ashakua very comfortable around me. Tumenunua pepsi moja na popcorn tumezana ndani. Movie hata sion kitu, nawaza tu kwenda kumtawanya. Namshika paja anatulia, nkipanda kwa juu ndo ananitoa mkono.
Tumetoka saa 6 na dakika, nkamuambia tukale kwanza, nkampeleka 5N, nkaagiza kuku nusu, mishkaki kama minne hivi na ndizi, yeye kaagiza Savannah nkaagiza bia tumekunywa pale na msosi tukala, pale ndo nkaanza kumsifia rasmi na kumwambia nimemuelewa kias gani. Anabisha huku anacheka, touch kibao muda huo hazingui. Imefika around saa 7 na nusu hivi nkamuambia tusepe. Nmechukua bajaji, hao hadi maskani.
Nmekula mali saaafi kabisa bila kutumia nguvu wala vurugu. Ijumaa nlikua naingia kazi za watu mchana so sikua na pressure ya muda. Mechi nimeuza potelea pote. Mtoto mtamu sana lakini maajabu sio sana.
Mida ya saa 3 tumeamka, tukapiga cha asubuhi, nkafata supu tukanywa tukatulia mpaka saa 6 ndo tukasepa, kaenda kwake mi nkaingia job. Nmeonana nae tena kesho yake Jumamosi ndo ananiambia kuwa B alinisifia sana, so alishaanza kunielewa. Ile Alhamisi alikuja pale Mcity kuona kama B alikua sahihi kunisifia vile.
Yani now nkikutana na manzi nkamuelewa naandaa mazingira ya kimasikhara tu. Ikibuma ndo naanza kujiuliza kama niisotee au nipite kushoto.
Huu uzi uheshimiwe.
Aisee kama naangalia movie vile!

 
Achana na JF yenye Inbox au mitandao mingine yenye huduma ya inbox/DM



Kama umeshakula Demu wa Youtube ...weee ni shetan


Unachotakiwa kufanya.


Tengeneza Email yako ya kazi maalumu.


Alafu wazamie kwenye komenti pale unakuta watu wanachangia mada ..chagua ID ya demu mwanamke alafu


Unamwambia kwa maneno haya

"Hey Miss Ireen, you are so royal and kind, check me " asochekanaK@gmail.com."

Fala sanaa..unaweka hiyo email yako.


Alafu subiria Samaki ale chambo.


Nmeshawatafuna wachache .na mwezi ujao kuna mmoja MTZ yupo Guangzhou China, anaileta papuchi Bongo
Huyu kakoleaa anataka na ndoaa.



Siku zaja ambazo wanawake 1000 , watamlilia mwanaume mmoja.
noma Sana
 
Aah we jibu tu. Si makasiriko yako tu mkuu? Nimekujulisha tuu hiyo formula haiwezi apply kwa kila mwanamke. Mwingine akisikia unamsemesha kauli kama hizo lazima ajisikie offended. Unless otherwise muna mazoea lkn siyo tu from nowhere. Na hata kama mna mazoea lazima uanzie mbali. Maneno ni makali mno
utumishi mwingi. Hahaha
 
Habar wadau !! Leo nimeona nishare na nyiny stori ya kipuuzi sana

Mwaka fulan hv nikiwa home nyumba ya kupanga nilianza mazoea na wanawake nikawa napiga nao stor hapo home walikuwa watatu mmoja alikuwa ashajifungua ana mtoto

Sasa tukiwa tunapiga stor yule mwenye mtoto alikuwa ananyonyesha huku tunacheza karata sasa kipind stor zinaendelea yule dada akawa kamaliza kunyonyeaha akarudisha ziwa ndan huku tunacheza albastini na stor za kipuuz zengine zengine zikiendelea km mambo ya kula TIGO na hasara zake mara walete stor za kula kimasihara humo humo tu !!!

Gafla yule mtoto mdogo akaanzq kulia yule dada mwingine anaitwa eata akamwambia mama X mtoto ajashiba mnyonyeshe huku akipeleka mkono kwenye ziwa alitoe nje tena ziwa lenyewe limevimba hilo balaa nilisisimka ili nilijikaza lkn nikawa nshachelewa washanishtykia

Basi esta akasema na ww remaizo nyonya hilo huko nikamwambie mmmmmh lete ninyonye ya kwako akasema yake hayatoi maziwa yangekutoa yanatoa maziwa angenipa nikamwambia mm huwa nanyonya hvo hvo tu

Mama X akadakia ndio mpe anyonye hivo hivo esta akahoji sasa haya ukinyonya unapata faida gan wanzeka wakamwambia wanaume wanayapenda hvo hvo zikaanza stor za maziwa mm mashine imedinda ndiii nachangia tu mada ila kichwa kimevimba balaaaaaaaaa stor ziliendelea wale wengine wakasepa na yule mwenye mtoto akapeleka mtoto ndan maana alikuwa kashalala

Mm nikazama humo humo ndan nikajifanya nachek TV kwao wote walikuwa wametoka naye akaja tukawa tunachek TV

Itaendelea ,,,,

UPDATE
Tukiwa tunachek TV nikamuuliza hv mwanamke akiwa ananyonywa maziwa huwa anasikia raha akaniambia NDIO

Nikamuuliza hv kipind mwanamke ananyonywa matiti husikia raha akasema ndio tena sio kidogo nikamjibu kuna ndio maana huwa wanatoa miguno fulan hv akaniuliza kwan ushawah kunyonya nikasema hapana nikamuuliza hv mtoto akinyonya kwann hamtoi miguno akasema mtoto na mtu mzima wakinyonya ni ladha mbili tofauti kabisa

Ndugu msomaji kipindi ayo yanaendelea stimu zilikuwa km zote na mkono ulikuwa ushashika ziwa nikanuuliza hv nikibinya hv unaumia akasema hapana nikamwambia kwa saut nyororo km marc anthony au george michael naomba ninyonye km utan utan vile

Sikutaka kumwambia serious sababu kwanza sina mahusiano nae zaid ya kupiga tu stor na kucheza kadata pili ananyonyesha ki utan utan akaniambia nyonya ila sharti usingate chuchu

Aisee ikabid nianze kuyatomasa nikayatoa humo ndan ziwa limevimba afu gumu gumu kidogo sio km matiti salamba nikamlaza kwenye kochi nikanyonya weeeeeeeeeeeeeeeeeessseeesssh aiseeee yale maziwa ni machungu sijawah kuona machungu mno nikawa nabwia tu sikilizii ladhaa nabwia tu ili nisiumbuke nikaanza kumuuliza maswali ya kisenge kisenge ili tu stimu zizid

Nikamuuliza lipi tamu kati ya hili au hili huku nimeyashika akanijibu ww si ndio hnanyonya unajua lipi tamu nikamwambia la kushoto huku nanyonya tu nikamwambia akae kwenye kochi mm nilale kwenye mapaja kichwa kikae kwenye mapaja huku nanyonya tu nikamwambia chezea nywele zangu duh !!!!!!! Akawa anachezea nywele aiseeeee apo nusura nimwage apo apo ikabid nijikaze

Itaendelea,,,,,,,,,,,
Ndio maana watoto wanakuja magonjwa ya ajabu ajabu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom