Ufuska wa ndani ya gari huu
 
Huo ni ufala ulifanya mkuu. Ona sasa unateseka.

Jifunze kuheshimu haki ya usiri ya mtu hasa kwenye mambo sensitive kama ya kiafya.

Halafu aliyesema huwezi kulichangia taifa ukiwa na HIV ni nani? Hujui ajali za magari na bodaboda zinalaza wengi kuliko HIV yet unapanda gari huvai mkanda na unapanda pikipiki huvai helmet....

Kwanini unaogopa kitu kitakachokuua miaka 20 ijayo ila wala hushtushwi na kitu kinachoweza kukuua sahivi chap?!
 
Mkuu nakushauri tumia njia yoyote ile umfanye akapime mwenyewe ili aanze dozi mapema. Ni muhimu maana akovhelewa atadhooofika!
 
Kwa taarifa za mrejesho mama la kihindi latapika lina mimba ya juma
Alifurahia kimasihara tu akanogewa
 

Vipi una ngoma?
 
Oya bado tunasubiri kitu iendelee
 
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Ni mbinu gani ambazo mnazitumia kumla demu ambae sio demu wako?

Maana kuna nademu kama watatu nishavusha getho na chipsi kuku akala lakini mzigo nilishindwa kuomba...

Hebu tupeane maufundi hapa maana huwa na shikwa na kiharusi ghafla pakuanzia huwa sipaoni..
 
Kuna pisi iyo nimeitongoza blind simjui yupoje sura wala hanijui yupo mkoa,ila sauti yake nilivyo iscan ni mtoto classic,mshaj wangu alikua demu wake akanipa namba nimwekee sawa waligombana,nikapindua meza ,natarajia kuonana nae na kula mzigo coz ni full mahaba na sex phone japo hanijui wala simjui,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…