Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

soon nitawaletea mrejesho, masihara haya 😂😂😂.

PNG image.png
 
chai bora, kilele cha uboraaa. chai bora ni majani ya tatepaa..iwe ya maziwa, isiwe ya maziwaa.. chai bora ni majani hakikaa
Hahahaha....we jamaa f@aaala sana ujue.

Nimecheka mno

Vipi kwema lakini mkuu
 
Bwana Carlos,nimajaribu kuiga mbinu zako za kutafuna wake za watu ila nimeadhirika, hapa nina kikao na uongozi wa mtaa saa kumi na moja nikasulubiwe na nihamishwe mtaani, nimetongoza mke wa balozi mdogoo, mnyaturu, nimechukua namba kimasikhara, nikamwambia njoo nikunyonye matako, nikaona kimya baada ya mda kaja na mume wake wananitukana, kifupi nimeabika na nakulaani kwa kunipa mbinu zinazonihatarishia uhai na heshima duniani, kumamae
 
Wake za watu wanaongoza kwa kuhonga!.. Mpelekee moto mkeo narudia tena muandae fresh ( 15-20 min) then mpelekee moto mkeo..

La sivyo mnakuja kutupa shida sis ma bachelor..acha watuhonge tu..

Ondoa KITAMBI na minyamaa UZEMBE uokoe ndoa yako... Over man down.. View attachment 1775923
Endelea kujisifu. Haujui kuwa pamoja na kujimwambafy kwako pengine na nyumbani kwako kunawaka moto bila wewe kujua.
 
Nilienda town kumsalimia anti wangu wakati nipo njiani nikamuona demu mkali kasimama pembeni mwabarabara.Nikampozea gari ilinimjambishe,nikamuuliza mambo dada vipi unaenda town? akajibu ndiyo we si akapanda kwenye gari langu nimelipachika ANDROID TV si nikaweka R n B old school za DJ THOPAZ nikawa namuona anajiimbisha kufuata kinachoimbwa.Nikajua huyu kenge ndo wale wasomi wa enzi zile ukiangalia nyuma ya daftari zao kuna Lyrics zimeandikwa.Kifupi ana uzungu fulani hivi.
Tukaanza kuulizana yeye na mimi wapi tunaenda,si akasema anarudi kwao town kule nilipomchukua alienda kumsalimia mama mdogo ake huku mimi kule ndo kituo changu cha kazi.
Kiufupi mi nilienda kumuona aunt ambae ni daktari anipe vile vipimo vya VVU kwa sababu ni daktari huwa napenda kumpimisha demu yoyote kabla sijambomoa.Nilimpromise twende kwanza hospital kwa aunt kuna mzigo nikauchukue then nitakupeleka unapoenda si akakubari.Kwenda kumit na aunt kwenye mgahawa wa pale hospital aunt akauliza huyu ndo mtapima nae basi niwaelekeze namna ya kufanya kwa pamoja.AUNT akiielewa ile pisi kiasi kwamba alitamani kunipa tano pale kanteen kumbe hajui hata majina hatufahamiani.Kale ka bint kakawa much interested na kujua VIPIMO VINATUMIKAJE kuliko hata mimi niliefuata hivyo test kits na vimaji.Aunt akatuacha kwa maneno ya kutusifia kuwa tumeamua vyema kucheck afya zetu na bra bra nyingi.Si nikawasha gari ili nimpeleke kwao ndo hapo wazo likanijia kwa nini tusitafute LODGE NZURI ili anisaidie kupima kabla hajafika home.Si akakubari tukapata lodge fulani nzuri mpya vyumba elfu 30 mule chumbani kwa kweli tulipimana wote tukaonekana tupo NEGATIVE si tukakumbatiana kupongezana aloo hapo hapo kwenye kukumbatiana tukaanza kulana denda mpaka moto ukawaka mule chumbani.ALOO KUTUNGUANA huku mnajuana negative kuna li raha lake khaaa.
Kifupi akawa ndo goma,langu na route za mjini zikaongezeka.Mbaya,zaidi yule demu alikuwa anaanini nina hela nyingi akawa mzee wa kunitungia vibomu vya kijinga nikaona isiwe tabu NIMESHAPIGA CHINI nimerudi njia kuu.
NB:Gari linatongoza kuliko maneno asikuambie mtu,nahisi hawa mademu wakali hawaolewi kwa sababu ya kusubiria mume mwenye gari.Gari langu ni KLUGER jeusi yaani humo ndani moto unawaka .
Mimi sio muumini wa chai ila hii Ni chumvi ya kigoma Tena ile ya mawe
 
Back
Top Bottom