Aahhh jambo pekeer lakua nalo kichwan siku zote ni hili
A WOMAN NEVER CONSCIOUSLY FALLS IN LOVE WITH A MAN
Uliza mwanamke yoyoe yule chini ya jua, Ilikuaje ukafall kwa Jamaa wako???
Atakujibu...."HAJUI, ILITOKEA TU"
nahuo ndio ukweli wa Akili yao.
Ukishajua hilo, kilichobaki ni kumfanya akutaman kukutana nawewe kimwili kwa kuhakikisha unajipenyeza ndani ya ubongo wake chapchap.
And know what??? It is very very simple...
Utawapiga, wasomi kwa wasokua wasomi, wenye magari yao na wasokua nayo, wenye uchumi wao na wategemezi, wenye kuolewa na wasoolewa, singo mama kwa ambao hawana watoto, warembo weupe, weusi maji yakunde n.k
Nahili, halijalishi Wewe Mwanaume una hela au huna.
Isipokua tu baadhi ya sheria uwe nazo

MCHESHI.MCHESHI MCHESHI..wanawake wanapenda sana watu wanaowafurahisha.

JIAMIN

TUMIA MBINU ZA KUJIPENYEZA KWA UBONGO WAKE.

KUA MSAFI NA NADHIFU

USIVAE MAJINSI YALOCHANWA KAMA FASHEN, VAAA KIHESHIMA KABISA.

JIAMIN, JIAMIN JIAMIN.

MSIFIEE SIFIEEEEE SIFIEEEEEEEEEEE

MWONGELESHEAUJINGAA UJINGAAA
Ndani ya Dakika kumi za Kwanza, ukiona Amecheka, amejiachia, Maliza mchezo