Niombeen niombeen ndugu zangu, kuna TUKIO nmelifanya mimi mwenyewe hapa nilipo linanichekesha na kuniogopesha.
Leo wakati najisogeza kupanda kibajaji nielekee Job, ebanaa weeewe Nikakutana na Demu ,unajua Demu??? Nmekutana na demuuuu Mkali mnoooo, yaan mweupeee ,hips zimekimbiana na sura ya mdoli .
Daaah mate yakanijaa Ndugu zangu, nikamsimamisha na kumuomba namba, akanipa...nikasepaaaaa
Nimefika nkamuanzishia ( uzur siku za Ijumaa Job kwetu huwa wagonjwa wa nje huwa ni wachache sana .
Nikaanza kumsifiaa wee..mwisho akaniuliza , Airtel Money yako inafanya kazi???
Nikjibu Ndioo
Akaniambia ,sasa nihivi, wewe unashida na **** ,mimi nashida na Hela.
Nikamuuliza, unataka ngapi, basi akaniambia nmpe 130 K tsh sio K followers


.
Basi nikajitetea weeeee sanaa tuuuu, apunguzeeee dau ,nmelia weeee, demu kakomaa palepale
Mwisho akaniambia kua yeye ni mke wa mtu , hajawa hata kusaliti ,hata mimi tu nisababu ana rejesho la wiki jpl laki na hamsin .
Demu akaniambia kama simpi basi imetoka.
Daaahh nikajikoki palepale nikatumia 30K tsh sio followers
Baadae mida ya saa tisa nikampa raman akaja nipulizee.
Nmepulizaa weeee, nmemaliza nmejiandaaa, dem akakomaa nmmalizie 100K, nkamwambia poa ngoja baadae, akakomaaa, wacha demu alianzishe timbwili timbwili ndani khaaaa yaaan ikawa balaaa.
Nikaamua kumtumia hapo hapo 100K, nkasepa.
Nmefika nje ya Lodge, nikaingia kwenye Menu ya Airtel Money, nikarudisha Muamala wangu wa 100K..ule wa 30 K nikauacha.
NYIEEEEEE ,NMETUKANWAA HAHAHAHA YAAN MESEJ ZAIDI YA 20 NI KUTUKANWA TUUUUUU YAAN





NMEUKANWAAA, NMETISHIWA KUROGWA ET MBOOO HAITASIMAMA TENAAAAAAAA

NIOMBEENI NDUGU ZANGU.