we upo mkoa gani labda ? umewah kwenda mlimani city ukaona bank zinafungwa saa ngapi ? aje mtu hapa anisaidie, kama hiyo saa tisa na nusu ni kijijin kwenu sawa, alafu kitu kingine tulitoka sababu hata kama tungeendelea kukaa query yetu isingefanyiwa kazi siku ile ile sababu ili hela zirudi lazima wafanye audit ya hela za kwene machine, lazima hela zibalance ndio wajue za nani hazikutoka, na ishue ya kwenda nje sio kwamba ni lazima turud ndani tena kufuata hela, kumbuka kwamba wote tulishajua hiyo hela kwa siku hiyo tushaikosa, kilichokuwa kinatusubirisha ni kujua kama our call is on queue thats all , yan unaongea na mtu anaejua procedure zote za transactions zinazofanyika kwene ATM na Bank tena kama bank ulotaja naijua vibaya mno, we hata purge bin huijui, muwe mnakaa kimya mnajiabisha muda mwingine....Yan kwa taarifa ako mlimani city hadi jumapili mibenk inafunguliwa na wanakaa mpaka saa 11.