Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

We kuna kitu huelewi na huezi elewa maisha yako yote kama hutàhitaji kueleweshwa, Mitandao ipo wazi sana, search "kejel exercise", afu ninamashaka kama unasimamisha kishababi, ukiwa mwanaume kamili lazima rungu livimbe na kunesanesa, angalia usijepewa watoto si wako mkuu,

Acha wivu wa kifikra
Wewe huyo, sasa wivu wa nini hapo mzee mbona una akili ndogo hivyo
 
Enzi za ujana wa kuishi geto mitaa ya tukuyu mwisho wa mji .wanaopajua watakua wanaelewa nazungumzia nini.

Basi siku moja geto la jirani wadau waliibuka na demu mkali balaa.mimi nmetoka mizunguko yangu ile naingia geto nikaona sendo za kike mlango wa jirani na humo wanakaa wana tu.

Nikaona isiwe kesi nikaingia kama kawaida yetu.kufika kuna manzi anacheki tv.

Akili ya kazi ikaja.nikamwambia yani kumbe ni wewe? Akauliza kwani unanijua? Nikamwambia sikujui ila kuna jambo linaweza kukupata halafu mimi nakuonea huruma.

Akauliza kuna nini? Nikamwambia hawa jamaa wanataka wakupige mtungi/kolabo/future.demu akashtuka.akasema nisaidie.

Basi nikamtoa mule geto fasta sana na kwenda geto la bro alikuwa kasafiri.nikampitisha dirishani maana funguo hazikuepo.

Humo nikajilia vyote vya uvunguni na mezani.huko wana walinitafuta usiku kucha hadi home walifika.asubui walinitukana sana
Wewe ni baharia mwandamizi ki bingwa sana, huyo demu lazima akupe manyota sana
 
Wanawake sometimes wana mambo!!!?

2015 nipo first year chuo fulani,sikutaka kuishi hostel za chuo na madogo,nkaamua kutafuta chumba mtaani.
Ile nyumba ilikuwa Mpya,kwahiyo wote tuliopanga pale tulikuwa wanafunzi,wakati nafika kwenye hiyo nyumba kulikuwa na vyumba viwili havijapata watu,nikachukua kimoja kikabaki kimoja.
Baadae nikapata jamaa mtu mzima ananizid Mimi kiumri tukaishi wote pale gheto.

Baada kama ya wiki mbili akahamia demu mmoja mzuri muislam aliyechangamka(Kuna siku alkuwa anatupia skin tight na shungi kama kawaida),Mtoto alkuwa kaumbika vizuri mno hipsi za kutosha,tako zuri,sura ipo na rangi pia.
Alihamia akiwa na vitu vichache sana na kigodoro kidogo cha 2.5*6,afu alkuwa mzuri hivyo lakin hakuwa mtu wakutaka vikubwa na alkuwa na marafiki wa kike wale washamba shamba na mshikaji mmoja wa kisukuma wa kupiga nae book,mwanzo nikihis jamaa anatumia Kumbe alkuwa mshika pembe tu.

Baadae baada ya huyo demu kuwa hapo nikaja kusikia kistory kuwa wakati anakuja chuo alikutana na mwanajeshi ndani ya basi,wakapangana huko mpaka mwanajeshi akampangia chumba na kumnunulia vitu vyote vya ndani,sijui baadae walizinguana nini demu akaamua kukimbia geto na kuacha kila kitu ndo akaja hapo tulipokuwa tunaishi kuanza maisha mapya.

Yule demu akaanza mazoea ya kutuomba jiko la gesi kila akitaka kupika,na akaanza kunizoea na kunitega,Mimi huwa nivigumu mtu kunizoea inabidi utumie nguvu za ziada maana sinaga story,ila tayari walikuwa wameshazoeana na mwenzangu sana na ndo Mara nyingi alkuwa anamwazima jiko,hiyo tabia nilikuwa siipendi maana alikuwa anatuongezea gharama sisi za kimaisha,siku moja akajichanganya jamaa yangu hakuwepo,akaja kuniomba Mimi jiko,nikaamua nimweleze kuwa "unachofanya sio poa,huoni kama unatuongezea gharama za kimaisha", akamaindi sana na kulirudisha jiko kwa kulirusha akaondoka,akaninunia nikasema fresh sina muda wa kuchekea kupe Mimi wakati inaninyonya damu,zikapita kama wiki 2 hakuna kusalimiana hakuna kusemezana.

Baadae akajirudi,akanisalimia,siku nyingine akaja gheto akatueleza kuwa tumpe jiko afu apike chakula cha pamoja,tukampatia jiko akapka msosi safi sana,siunajua tena watoto wa pwani jikoni hawakoseagi siyo hawa wa kwetu kanda ya ziwa hata hawajui carrot inawekwaje.tukapga msosi kila mtu akajua ratiba zake,

Katika kushare share vyombo,siku moja nilivyomaliza kuosha vyombo nikaona Kuna kijiko chake,nikaamua nimpelekee nikagonga hodi kama Mara tatu kimya,wakati najua yupo ndani,sinikaamua kufunua pazia,aisee! Nkamuona yupo na kyupi tu na anamalizia kufunga sindiria,nikamwambia Kumbe upo,nkamwambia nimekuletea kijiko akasema kiweke hapo nikakiweka nkarudi room,nikaanza kuwaza ina maana hakunisikia,alafu mbona nilivyofungua pazia hata hakushituka,nikajisemea kuwa inabid nirudi tena maana zile underwear zake na rangi yake vilinichanganya sana.

Nikapga hodi tena,akanikaribisha,nikamkuta kaweka khanga,nkaanza kumsifia pale yupo anatabasamu tu,akaamua kunisogelea na kunisukuma ili nitoke chumbani kwake,nikamkamata kwa nguvu,nkaanza kumpapasa akatulia na kuanza kuhema,nikala mzigo ingawaje sikupga vyema.

Kumbe demu mwenyew alkuwa alishantaman siku nyingi,maana anasema akiwa dar aliwah kuwa na mshikaji alkuwa anamkaza alkuwa mwenyej wa mwanza na jamaa alkuwa anamkaza vizur,kwahyo alitengeneza kitu kichwan kuwa wanaume wa kanda ya ziwa wanakaza haswa,ingawaje hata Mimi sikuiangusha lakezone tulipo-rematch nikiwa nimejiandaa mazoezi kama yote niliua
Na ukauzu wote ukapotea, aisehhh na mbunye iheshimiwe
 
Mumejipangaje nataka kumalizia story

Tafdahli kwenyee hii part 2 nataka wanywa chai tu nyie wanywa uji hamruhusiwi kuoma

Now niko kazini hii itakuwepo leo saa 4:30 usiku ikifika saa tatu na nusu nione report kuwa mpo tyar

Uni tag binamu, picha la kihindi hilo sio la kukosa
 
Muda mwingine Tuache kujidharau tunapokutana na Pisi za kishua
Last week nilikuwa nimetoka shamba kuweka mbolea ... Hekari Kumi Hivi so nilirudi home Nimechoka mno...nilipp Ni mtaa wa ushuani haswa...naposema ushuani namaanisha...
Basi kwa nakatiza mitaa nifike maskani..paap Warembo Hawa hapa Nje ya Geri wanaonge Nkasikia mmoja Anawaambia wenzake"nawish Day uno siku ya harusi yangu Mwanaume wangu anibebe"
Arrrgh vyenye nilikuwa Nimechoka nilikamata Hilo Tuu nikapita...
Zikapita siku 2 Nikakutana na Ile pisi Unatoka getini ...ukicheki ndani Kuna ndinga Tatu za maana...ikatabasamu...kimoyo moyo nkasema sikuachi..
Nkamwita akaja nkamwambia haka yako imetimizwa Mwanaume wa kukubeba nipo hapa...
Mazee alicheka mno Yaani mno akanambia mh we Mkaka ulisikia wp nkamkumbusha then nikachukua no..
Kucheki WhatsApp about kaweka Emoji ya broken heart ....Status za kumia kumia...nkasema hii ndo chance...
Baharia Nina masongi ya kushanta plus Najua kumtia mtu moyo...nkaanza kumwonesha namjali since muda huo ..mpaka jioni tunachati ..Tuu mpaka ikafika moment akanambia naomba Tuonane... She's home alone lonely and scared...
Nkasema mh huko so ndo kupigwa risasi...
Ila kimeno meno nikaenda kufika Hakuna mtu ...ananiambia Yo hplp2275 ... Thank you napata relief now yule boy sijui Ni Ni na Nini akaanza kulia ,Nkamsogelea nkamkumbatia.. anavyosmell marashi.. zigo la kuvunja chaga Mnara huo...kibaharia nkamwambia Close your eyes ...im going to give you A relief medic..akafumba Nkamyanyua shingo ... Kama tunatizamana ..nikakutanisha mdomo na Yeye akarespond...
Fvck Ase she's a good 😘 ..nataka kumshusha viwalo hataki anang'ang'ania kiss Tuu.. nkasema fresh ..ndani ya dk 10 mtoto namkiss Tuu hapo kushusha kiwalo paap akasema no twenda ndani baharia hapo sielewi ..naenda Tuu Kama fisi aliyeona fupa...Room kwake Kavua Nguo zote hapo ndo Niliona uzuri wa wake Mtoto curved ...Nkaanza kusema inakuwaje mtu unaacha pisi Kama hii ...sogelea Ni kucheza na kisi.......mi Tuu ***** huku nanyonya maziwa Kama Ndama ....
Then she was like please Fvck meeee hamna moment nayojionaga shujaa Kama hiyo ...then Nikawa naongeza kusugua...
She cum once ndo nikamtia mjegeje...
Mtoto analalama kimbwaaaah...
15 mins Wazungu hao... The way she's so tight Anajua kurudisha mtu kwenye mchezo 2 n half mins abdallah kichwa wazi huyo ...Karudi juu Ni mwendo wa kubinjuana ...
Mtoto hoi ...tukamaliza na Romance matata ...
Mpaka mda huu tunakulana Tuu kimasikhara.. she's happy na Ananiita Husband...kesi ipo hapo Valentine's day anataka twende somewhere ...photo shoot.. and Mambo mingi mingi ..
Na hajui Kama nimeweka Chuma ndani
 
Ngoja nishare kisa changu labda kina kijana itamsaidia

Kuna sehemu nilikua nimepanga kipindi hiko
Kutokana na tabia yangu ya kutoshinda nyumbani na kutopenda kujichanganya so nikawa sijazoena kabisa na watu wa mtaani kwahyo huwa wananionaga mkimya na mwenye majivuni

Siku moja weekend asubuhi naenda dukani njiani nikaitwa kugeuka akaja sister flani hv sio mkubwa kivile mzuri kuanzia sura mpaka umbo

Akaniambia samahani kaka nakuonaga sana asubuhi unaenda dukani kununua soda mi natengeneza juice ni tam sana Yani

Hapa nlikua naenda dukani kununua vocha lakini nikaona sio mbaya kumuungisha
Nikamwambia sawa Kuna kitu naenda kununua dukani kwani unakaa wapi nikirudi niipitie?? Akaniambia Yani kila siku unapitaga hunionagi??
Nikamjibu tatizo watu wengine tunatembea na stress kwahyo Yani tunatembea Kama maroboti
Akacheka sana alafu akanionyesha
Tukaagana mi nikaingia shop kurudi nikapitia kwake nikanunua then nikaondoka

Kuanzia hapo tukaanza kuzoeana na nikawa mteja wake mzuri tu
Lakini sikuwahi kufikiria mambo ya kula tunda

Siku nikamwambia anipe no zake niwe nampigia amtume mtoto aniletee maana mda mwingine naonaga uvivu kutoka
Akanipa fresh sometmz tukawa tunachat Mambo ya kawaida tu akianza kuniulza kuhusu Mambo ya mahusiano huwaga simjibu au nakwepesha so akajiogeza kuwa sipendi maswali hayo na hakuwahi kunigusia tena

Siku nikampigia aniletee juice nikashangaa kaja mwenyewe
Nikamuuliza mbona hujamtuma mtoto??
Akaniambia hawapo wote akaona aje mwenyewe
Nikamwambia samahani nimekusumbua mdada mrembo
Akatabasam tu huku ananiangalia
Basi nikamkaribisha ndani akaingia tukakaa kochi moja

Muda huo alinikuta naangalia movie zangu pendwa za kutisha

Nakumbuka nilikua naangalia kuna movie inaitwa A quite place
Sasa kwenye kuangalia akawa anaogopa kuangalia mi nikamwambia sogea karibu ukiona unaogopa nikumbatie
Kama utani kweli kanisogelea akapitisha mkono wake mmoja kiunoni kwangu alafu kaniegemea
Nikashutuka ila nikatulia Kama hamna nilichotokea
Kimoyo moyo nasema
"MUNGU MBONA UMENIPA JARIBU KUBWA HIVI??"

Nikaona huyu asinitanie nikamgeukia piga sana romance
Nikamlaza hapo hapo kwenye kochi chezea sanaa nikamchojoa nguo zote mda huo nikajua kabisa cna condom ndani nikawaza nichape kavu nini? Ila nikaona nisifosi
Nikamwambia ngoja nikannue ndom akaniambia hata ivyo muda umeenda atakuja siku nyingine muda 4g imekomaa
Kila nikimfoc hataki kinisubiri nikaona sio kesi nikamwacha huku roho inaniuma balaa
Nilionyesha nimekasirika nae hakujisumbua kunibembeleza akaondoka

SIKU KADHAA MBELE KUNA WASHKAJI WAKAJA KUNICHANA HUYO SISTER ANA NGOMA KUWA NAE MAKINI AU PIGA NA NDOM

Yani siku ile ilikua ndefu sanaa kwanguu mitungi iheshimiwe
Nikawa najiuliza hata kwa zile romance c naweza kuwa nishaukwaa
Ilikua hata nikikohoa nahc ndo tayar
Nashukuru Mungu nilikuja kupima niko fresh kabisa

WAKUU STAREHE YA SIKU MOJA/LISAA TU INAWEZA KUKUHARIBIA MAISHA YAKO YOTE TUWENI MAKINI

(Uandishi wangu sio mzuri but hope nimeeleweka)
Mkuu umeponea chupu chupu.. Ilibak kidogo ungeungwa kwenye grid ya taifa
 
Back
Top Bottom