Ulishawahi kukutana na balaa la FFU? Tupeane mawili matatu

Ili uwe FFU unatakiwa uwe yatima kisha kichwa chako kiwe na bangi ya asili kabisa pia uwe na uchizi Kama asilimia hamsini halafu sifa zingine za uaskari zinafuata. Nakumbuka siku moja nipo Town kariakoo nanunua bidhaa nikasikia king'ola chao kinajamba kama Lori kisha kuna mdada anatangaza kuwa watu wote waliokuwa pale watawanyike .Mara wakaruka mijamaa imejifunika usoni maski ikasema kikosi cha virungu shambulia Yaani Nilipigwa rungu ya bega kisha tumbo .Nikaona nyota kisha giza totoro ile nashifuka najikuta nipo mnazimoja hospitali na pingu mkononi imeunganishwa kwenye kitanda na polisi wa kirai amekaa pembeni yangu. Nolipozinduka yule polisi akamwambia nesi nimepona .Yaani nilibebwa mzobe mzobe mpaka msimbazi polisi bahati nzuri akaja mkubwa wao akasema tuachiwe kwa dhamana . Naona mpaka leo bega langu halijaponaga. .NIKIONA KOFIA NYEKUNDU NAPITA MBALI SANA WALE SIYO WATU NI MICHIZI SANA YAANI SIKUWA NAJUA KINACHOENDELEA LAKINI WAKANISHAMBULIA. BAADAE NILIGUNDUA KUMBE HARAKATI ZA WAISLAM NA SHEKHE PONDA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivaa kanzu?
 
Mwaka 2004/2005 kama sikosei, jamaa waliamsha dude furahisha mwanza. Kawaida ilikuwa miezi fulani hasa ya likizo ya june kunakuwa na mkutano wa Askofu wa kanisa la EAGT Moses Kulola (RIP) Waislamu nao walikuwa na mkutano wa hadhara palepale wakati maandalizi ya mkutano wa injili yanaendelea. Walokole wanajenga jukwaa, waislam wanabomoa. Kumbe ilisemekana waislam hawakuomba kibali na hawatakiwi kuwepo pale. Basi jamaa wakakaza vichwa (nafikiri hapa ndipo watu huhusisha uislamu na fujo ama ugaidi). Mpaka zimesalia siku kadhaa mkutano wa Kulola uanze, jamaa hawaelewi somo. Wakaanza kuandikwa vibaya na magazeti (hasa msanii africa) wakaanzisha vichambo kwa gazeti tajwa. Siku ya tukio nadhani kila upande ulishindwa kumvumilia mwenzie (walokole vs waislam) wakaanzisha vurugu, polisi wakaitwa kutoka kirumba wakashindwa. Zikamiminwa defender za kufa mtu. Nadhani yale mabomu huwa hayabagui, ni kama mvua tu inawanyeshea wema na waovu. Watu walilia,, fikiria kutoka uwanja wa furahisha mpaka milima ya isamilo (wenyeji wa mwanza mnanielewa) tulikipata cha mtema kuni. Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupata madhara ya mabomu ya machozi, kwahiyo kutokana na akili za kijima nikajua ndio mwisho wa dunia😁😁. Nusu nizime ndipo watu wazima wakatukusanya madogo wote tukaambiwa tunawe kwa maji safi ndio ikawa salimika. Waliokuwa uwanjani walipigika kipigo cha Madagascar. Huwa sitaki mchezo kabisa hata wa traffic.
 
Mwaka 2004/2005 kama sikosei, jamaa waliamsha dude furahisha mwanza. Kawaida ilikuwa miezi fulani hasa ya likizo ya june kunakuwa na mkutano wa Askofu wa kanisa la EAGT Moses Kulola (RIP) Waislamu nao walikuwa na mkutano wa hadhara palepale wakati maandalizi ya mkutano wa injili yanaendelea. Walokole wanajenga jukwaa, waislam wanabomoa. Kumbe ilisemekana waislam hawakuomba kibali na hawatakiwi kuwepo pale. Basi jamaa wakakaza vichwa (nafikiri hapa ndipo watu huhusisha uislamu na fujo ama ugaidi). Mpaka zimesalia siku kadhaa mkutano wa Kulola uanze, jamaa hawaelewi somo. Wakaanza kuandikwa vibaya na magazeti (hasa msanii africa) wakaanzisha vichambo kwa gazeti tajwa. Siku ya tukio nadhani kila upande ulishindwa kumvumilia mwenzie (walokole vs waislam) wakaanzisha vurugu, polisi wakaitwa kutoka kirumba wakashindwa. Zikamiminwa defender za kufa mtu. Nadhani yale mabomu huwa hayabagui, ni kama mvua tu inawanyeshea wema na waovu. Watu walilia,, fikiria kutoka uwanja wa furahisha mpaka milima ya isamilo (wenyeji wa mwanza mnanielewa) tulikipata cha mtema kuni. Ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kupata madhara ya mabomu ya machozi, kwahiyo kutokana na akili za kijima nikajua ndio mwisho wa dunia😁😁. Nusu nizime ndipo watu wazima wakatukusanya madogo wote tukaambiwa tunawe kwa maji safi ndio ikawa salimika. Waliokuwa uwanjani walipigika kipigo cha Madagascar. Huwa sitaki mchezo kabisa hata wa traffic.
Hahah ulidhani ni mwisho wa dunia sio,hahah daah
 
swali lako lafanana na ka ushawahi kutana na NYUKI wasafirio njiani..., maeneo ya Dodoma - Singida huwa kuna nyuki wasafirio mara kwa mara, ukiacha vioo/kioo cha gari waziii wanaingia ndani....hahahaaa
 
Ila jamaa hawa ni waoga sana nakumbuka
Mtwara vurugu ya gesi kati yao wamakonde zilipigwa uso kwa uso

Walivyozidiwa wakakimbia wakaenda kuitwa wanajeshi zikapigwa hatari hadi vifaru vilipelekwa ilikuwa zaidi ya hatari

Sent using Jamii Forums mobile app
Umenikumbusha pale mtwara (mnarani),, jamaa walikuwa wanatumia fimbo afu wamakonde walikuwa wanatumia mawe,, mechi ilipigwa karibia nusu saa, majaa wakakimbia wakaacha gari, gari lilipigwa mawe sana,,wanajeshi wakaja wakawa wanapita nyumba baada ya nyumba,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mgomo wa machinga mbeya siji sahau mara ya Kwanza nashuhudia mtu anapigwa risasi live, yalipigwa mabomu ya machozi uoni mbele wala nyuma nilikimbia peku sijui viatu vilivulika saa ngapi.

Onyo ukiwaona hao kaa mbali sana kama huelewi jalibu siku kuwasogelea.
 
Mgomo wa machinga mbeya siji sahau mara ya Kwanza nashuhudia mtu anapigwa risasi live, yalipigwa mabomu ya machozi uoni mbele wala nyuma nilikimbia peku sijui viatu vilivulika saa ngapi.

Onyo ukiwaona hao kaa mbali sana kama huelewi jalibu siku kuwasogelea.
Hahaha
 
Back
Top Bottom