Mchochezi
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 10,414
- 6,576
Je, hawa jamaa wako juu ya sheria? Maana huwa wanafanya chochote wakati wowote.
Kuna siku nilikutana nao barabarani jioni wanawahi sehemu, wanapita upande ambao sio wao, yaani wanapita ule upande wa magari yaendayo Gongo la Mboto kutoka Tazara. Sasa wao wapo vice versa, nikakataa kuwakwepa, balaa nilipata mimi.
Nilitukanwa matusi na makofi nikala tena jamaa alikuwa amevaa mask usoni. Je, ulishawahi kukutana na mikasa ya FFU?
Share nasi hapa.
Kuna siku nilikutana nao barabarani jioni wanawahi sehemu, wanapita upande ambao sio wao, yaani wanapita ule upande wa magari yaendayo Gongo la Mboto kutoka Tazara. Sasa wao wapo vice versa, nikakataa kuwakwepa, balaa nilipata mimi.
Nilitukanwa matusi na makofi nikala tena jamaa alikuwa amevaa mask usoni. Je, ulishawahi kukutana na mikasa ya FFU?
Share nasi hapa.