CASH MONEY BROTHER-CMB
Member
- Apr 6, 2020
- 21
- 92
Ulichukua namba kumuuliza vizur imekuaje mpak akawepo ulipo?Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Namshangaa sana yaani mnakutana sehemu ya kuzini alafu unamsema mwenzako .....kama umefungua hadi nyuzi hao wanawake mtaa mzima ushafaham......vitu vingine kama wanaume inatubidi tukausheHapo nyote ni wazinifu tu,hakuna wa kumshangaa mwenzie,
Maana wewe unamshangaa na yeye anakushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio baada ya siku mbili kanitafuta nimle 0713Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Unawahukumu badala ya kujutia kwanza uharo wako... Watu wabaya sana.... Yaani ur pointing fingers to them while na wewe umeenda kufanya the same!Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Mmoja huwa ananiangalia kwa mashaka sana mpaka sasa
HaaahaaaaTuliozoea ngono hiyo tunaita ngoma droo
STORY YA KUTUNGA HII...Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Kaka nikueleze sina muda wa kutunga story bliv it