CASH MONEY BROTHER-CMB
Member
- Apr 6, 2020
- 21
- 92
Imenitokea mara tatu hivi kukutana na wake za watu ana kwa kwa ana katika lodge mmojawapo naheshimiana sana na familia yake!Hii kitu ilinifikirisha sana hasa ukizingatia wawili kati yao ni wacha Mungu wazuri sana!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!
Kikubwa usitambe kwa watu kwamba mkeo mwaminifu utakuja kuumbuka!