Ulisema uchaguzi umekwisha, basi ondoa mapicha yako mitaani, pleaseee!

Ulisema uchaguzi umekwisha, basi ondoa mapicha yako mitaani, pleaseee!

barracuda

Member
Joined
Nov 2, 2025
Posts
31
Reaction score
140
G4peZK_W0AAVplm

Kama uchaguzi umekwisha ondoa hii mipicha mitaani, please!

Watu walizichoma walizoweza, hawataki kuziona

Si kila kitu lazima ushindane na matakwa ya wananchi
 
G4peZK_W0AAVplm

Kama uchaguzi umekwisha ondoa hii mipicha mitaani, please!

Watu walizichoma walizoweza, hawataki kuziona

Si kila kitu lazima ushindane na matakwa ya wananchi
Waanze kuweka mabango ya kumsifia tena, niliwahi kusema kuwa mabango ya Samia kipindi kile hayakua na impact yoyote ila na sasa pia hayana na hayatakaa yawe
 
G4peZK_W0AAVplm

Kama uchaguzi umekwisha ondoa hii mipicha mitaani, please!

Watu walizichoma walizoweza, hawataki kuziona

Si kila kitu lazima ushindane na matakwa ya wananchi
Kusema kweli haya mapicha yanakera sana hapa mtaano. Waje tu wayaondoe aisee.
 
G4peZK_W0AAVplm

Kama uchaguzi umekwisha ondoa hii mipicha mitaani, please!

Watu walizichoma walizoweza, hawataki kuziona

Si kila kitu lazima ushindane na matakwa ya wananchi
mkitaka wayatoe ongezeni maandishi makubwa MUUAJI
 
Back
Top Bottom