Naamini hii ni mada tete na kwa ujumla sitaingia sana ndani ila sababu kubwa ya kuandika ninachokiandika ni haya ninayoyaona machoni kwangu.
Kiongozi wa umma analindwa na walinzi wenye silaha wakti yeye pia akiwa amebeba silaha!!!!!
Mkuu wa mkoa amebebwa juu kwa juu na kiunoni kabeba bastola wakti ambapo tunajua kuwa huyu ulinzi wake si mgambo au askari wa kawaida.
Hivi likitokea la kutokea naye ataichomoa silaha yake?atamlenga nani?
Mwalimu Nyerer alipewa bunduki na Raisi wa Romania lakini alipokuja alimpa rafiki yake aliyekuwa akipenda kuwinda,Rashidi Mfaume Kawawa.
Huu u happy trigger kwa viongozi unaashiria nini?Tujadili ila tusijadili wa Mkuu wa nchi.
Kiongozi wa umma analindwa na walinzi wenye silaha wakti yeye pia akiwa amebeba silaha!!!!!
Mkuu wa mkoa amebebwa juu kwa juu na kiunoni kabeba bastola wakti ambapo tunajua kuwa huyu ulinzi wake si mgambo au askari wa kawaida.
Hivi likitokea la kutokea naye ataichomoa silaha yake?atamlenga nani?
Mwalimu Nyerer alipewa bunduki na Raisi wa Romania lakini alipokuja alimpa rafiki yake aliyekuwa akipenda kuwinda,Rashidi Mfaume Kawawa.
Huu u happy trigger kwa viongozi unaashiria nini?Tujadili ila tusijadili wa Mkuu wa nchi.
