MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,923
- Thread starter
- #41
Nafikiri they must think outside the box.... Leo hii mtu anaweza kuja kuishi hapa kijijini....na hata kwà mwenyeketi wa Mtaa hapajui. Na hata mwenyeketi mwenyewe hamjui. Watu wanaishi kwà kuogopana , wanashindwa kufanya majukumu yao.Watu kufanya shughuli zenye kuondoa utulivu karibu na eneo la Ikulu ni kama mkakati wa muda mrefu wa projects za wanaoutekeleza mkakati huo.....