Ulinzi au kufuru? Wamarekani bwana

Ulinzi au kufuru? Wamarekani bwana

Ukiona mtu kazidiwa maarifa na ujuzi hukimbilia maneno ya Mungu ili kujifariji. Hawa jamaa wako realistic kama ndugu aliyesema hapo juu. Reagan alipigwa risasi na sniper, baada ya kosa hilo ndio maana wanatake cover mapema kabisa. Sisi tabu yetu ndio hii Mungu yupo Mungu yupo hatujifunzi kwa realities zinazotokea. Tuweni realistic jamani.
 
Ukiona mtu kazidiwa maarifa na ujuzi hukimbilia maneno ya Mungu ili kujifariji. Hawa jamaa wako realistic kama ndugu aliyesema hapo juu. Reagan alipigwa risasi na sniper, baada ya kosa hilo ndio maana wanatake cover mapema kabisa. Sisi tabu yetu ndio hii Mungu yupo Mungu yupo hatujifunzi kwa realities zinazotokea. Tuweni realistic jamani.

Wapo viongozi waliuliwa na walinzi wao kwa umbali wa hatua moja tu! Kukaa magorofani na mbwembwe nyingone zinasaidia nini? bozzoba
 
Last edited by a moderator:
Ukiona mtu kazidiwa maarifa na ujuzi hukimbilia maneno ya Mungu ili kujifariji. Hawa jamaa wako realistic kama ndugu aliyesema hapo juu. Reagan alipigwa risasi na sniper, baada ya kosa hilo ndio maana wanatake cover mapema kabisa. Sisi tabu yetu ndio hii Mungu yupo Mungu yupo hatujifunzi kwa realities zinazotokea. Tuweni realistic jamani.

Kennedy
 
Dogo, hii siyo nguvu ya Allah, nguvu y Allah inafanya kazi popote haiwezi kusubiri mpaka Obama aje Kenya. Nguvu ya Allah ni Universal bila kujali una majeshi nguvu kiasi gani. Hii Jihadism ni nguvu ya shetwan kwenye kivuli cha maslah ya kiuchumi zaidi kuliko Mungu mwenyewe. Mungu anakataza: wivu fitina kulipa kisasi, kuua na mambo yote yanayofanana na hayo. Dini Islam ingawa inaruhusu kulipa kisasi, ni kisasi gani unalipa kwa watoto walioko shuleni, dini hii inakataza kulala na mwanamke asiyekuwa mke wako, unawapaje mimba wasichana uliowateka bila kufunganao ndoa? Unafungaje ndoa na binti bila ya ruksa ya wazazi wake kama dini ya kiilamu inavyoelekeza?
Jibu ni kuwa hakuna uislamu wala jihadi hapo ila pana uswetwani mtupu, jihadi ni kisingizio
This Isnt A Joke.I Want To See The Jihadists Making Action According To What They Always Proclaim In The Name Of Allah.The Same Thing They Did In Garissa They Can Do Here Either.I Look Foward...
 
Ngedere We!.Jiulize Kwanza Huyo Osama Na Alqaeda Yake Yuko Wapi Sasa.Mbona Hatumsikii Akitoa Yale Matamko Yake Ya Siasa Kali?.Au Sasa Anayatolea Kuzimu.?

Na Hao Alshabab Wanaojifanya Kuvamia Wanafunzi Wasiokua Na Hatia Na Kuwaua.Mbona Hawamvamii Obama Ambae Ndie Kiongozi Wa Taifa Kubwa Wanaodai Ndie Adui Namba1 Ya Uislamu?
Kama Wanaamin Kuua Ka.fir Ni Kwenda Peponi.Obama Huyo Hapo Na Wamerekani Hayo Hapo Kenya Wala Sio Wao.Ebu Wamuue Hata Bodyguard Mmoja Kama Kweli Ni Jihad Na Wanaipigania Dini Ya Allah.Sio Wanakurupuka Na Kwenda Kuwaua Wanafunzi Wasio Na Hatia Uwezo Kujitetea.

Huu Ndio Udhaifu Na Upunguani Wa Mafundisho Ya Dini Ya Kiislamu.Kama Wanaamini Katika Kuifia Dini.Mbona Katika Mahali Ambako Kifo Kiko Nje Nje Hawasogezi Pua.Nachukia Sana Unafiki Wa Hawa Waumini Feki Na Mafundisho Yao Dhaifu.
kila mtu anachezea kichapo kwa nafasi yake, ikiwa yesu tu alipigika na juu akatundikwa sembuse obama?
 
Ni kweli picha hizi zilirushwa hata kabla Obama hajatua Nairobi. Jaribuni kufuatilia mambo sio kukubakiana na kila kinachorushwa mtandaoni.
 
kila mtu anachezea kichapo kwa nafasi yake, ikiwa yesu tu alipigika na juu akatundikwa sembuse obama?

Ukimuona Mtu Anaangaika Na Vile Vilivyo Vinyonge Na Visivyo Na Hatia Ujue Ana Ukosefu Wa Akili.Na Mbaya Zaidi Ni Kutumia Ukosefu Wake Wa Akili Kama Kivuli Cha Kujustify Upumbavu Wa Matendo Yake Kwa Kisingizio Cha Kuipigania Imani Yake.Matokeo Yake Ni Kuivua Nguo Imani Yake Na Kuifanya Dhaifu Mbele Ya Macho Ya Waliostaharabika.

Kama Imani Yako Isipokua Imara Na Thabiti.Kwa Uchafu Wa Matendo Yako Ya Kifedhuri Yasiokua Na Justification Yeyote Mbele Ya Jamii Iliyostaharabika.Heshima Yako Kama Muumin Wa Hiyo Imani Itabaki kua Ndogo Sana Na Utaendelea Kuishi Kama Raia Wa Daraja La Pili(2).Mpaka Apo Utakapojitambua Na Kujikomboa Katika Ujinga Wa Fikra Uliokudumaza.Na Usikae Kutafuta Mchawi Wakati Mchawi Mkubwa Wa Kudhalilika Kwako, Ustawi Mbovu Wako Na Maendeleo Duni Uliyonayo Ni Wewe Mwenyewe Kwa Kuendelea Kuukumbutia Ushenzi Wa Yale Unayoyaamini Na Kuyafanya.
 
Ulinzi haukuishia Kenya tu,viwanja vyote vya ndege katika eneo hili la EAC waliweka ulinzi.Kuna dege moja linaloambatana na Airforce One liko pale KIA mita kadhaa kutoka jengo la abiria.Labda kama limeishaondoka.
 
Hizo ni salam zenu kwa wapenda jihad ,.

kule afaghnstan huyo jamaa anaendaga kwa kustukiza,halafu usiku.anakaa nusu saa kisha huyoo mbio kurudi nyumbani......
wana maisha ya shida sana hawa jamaa
 
kuna watu wanadhani huo ulinzi ni kwa ajili ya magaidi tu,
ukweli ni kuwa hata MOSSAD wanaweza kabisa kummaliza kama akilegea.
kuna wakati george bush aliwakatia misaada israel kwasababu ya kujenga kule westbank na jerusalem.
israel wakataka kummaliza bush,kama secret service wasingepata fununu,bush tushamsahau siku nyingi
 
kuna watu wanadhani huo ulinzi ni kwa ajili ya magaidi tu,
ukweli ni kuwa hata MOSSAD wanaweza kabisa kummaliza kama akilegea.
kuna wakati george bush aliwakatia misaada israel kwasababu ya kujenga kule westbank na jerusalem.
israel wakataka kummaliza bush,kama secret service wasingepata fununu,bush tushamsahau siku nyingi

Hao MOSSAD mbona walishindwa ku-foil assasination ya Yitzhak Rabin?
 
Hao MOSSAD mbona walishindwa ku-foil assasination ya Yitzhak Rabin?

hawakushindwa bali wali initiate.

rabin alikuwa anakaribia kuwapa palestina nchi kitendo ambacho wayahudi wenye msimamo mkali design ya netanyau walikiona usaliti ndo wakamshoot
 
Secret Service warned of Israeli assassination plans
There is evidence that in 1991 an Israeli undercover team plannedto assassinate a U.S. President. The intended victim wasGeorge Herbert WalkerBush.
The first personto write of the plot was a former 11-term Republican Congressman from Illinois, Paul Findley. In a 1992article
in the Washington Report for Middle East Affairs, Findley described the alleged scheme and how it was revealed.
Findley writes that the U.S. Secret Service had received a warning that elements of Israel¡¯s spy agency might targetBush when he wentto Madrid for the opening day of the peace conferenceto be held that year.
Accordingto Findley, a formerMossad agent named Victor Ostrovsky who had written abook exposing Israel¡¯s spy agency told a group of Canadian parliamentarians that he had received secret intelligence suggesting that the ¡°the Mossad's hatred ofBush ¨C and support for Vice President Dan Quayle ¨C might leadto an attempt on the president's life.¡±
Israel considered Quayle much closerto Israel thanBush.Bush had particularly angered Israel by attemptingto pressure Israel into ending its illegal settlement expansion on confiscated Palestinian land by withholding
loan guarantees until Israel ended this practice.
 
Back
Top Bottom