Ulinzi au kufuru? Wamarekani bwana

Ulinzi au kufuru? Wamarekani bwana

Wako wapi Alshabaab. Kuna mmoja kiongozi wao humu yule wa Nigeria.Abubakari shekau
 
Bwana asipoulinda mji yeye akeshaye akesha bure

Enzi za Mana na miujiza kwishnei, udeal na mujahedina halafu ubweteke eti unamtegemea Bwana, utachekea choloni! Wamarekani wako realistic, hawaishi kwa Njozi na injili za T B Joshua kaka!
 
Al-shabab Wasogeze Pua Apo Waone.Sio Wanakimbilia Kuwaonea Watoto Wa Shule Wasio Na Hatia.

Kama Wao Wametumwa Na Allah Wakimuua ----- Wanakwenda Peponi.----- Ndo Huyo Hapo Amejileta Mwenyewe.Tunataka Kuona Jihad Ya Allah Apo.Vinginevyo Waache Kumsingizia Allah Wao Na Wakome Kutusumbua!

Wao wenyewe Wamarekani wana tabia ya kuua viongozi wao na kuwapiga risasi. Kampeni zikiongozwa na Mayahudi
 
Nyani Ngabu bado hajafika huku mpaka sasa? Ajabu!! Ngoja aje hapa kupaka rangi, mambo ya Kaledoiscopic shit!
 
Last edited by a moderator:
Al-shabab Wasogeze Pua Apo Waone.Sio Wanakimbilia Kuwaonea Watoto Wa Shule Wasio Na Hatia.

Kama Wao Wametumwa Na Allah Wakimuua ----- Wanakwenda Peponi.----- Ndo Huyo Hapo Amejileta Mwenyewe.Tunataka Kuona Jihad Ya Allah Apo.Vinginevyo Waache Kumsingizia Allah Wao Na Wakome Kutusumbua!

Thubutu yao, wao wanawaonea watu wasio na uwezo. kama vita yao ni ya alla kama wanavyojinadi wamfuate Obama hapo Nairobi wala sio Marekani
 
Mziki wa haya majamaa muulize Osama katika ule usiku wa manane pale Abbotarbad
 
Mtu kama Obama uzee tu ndo utakaomuua vingine sidhani
 
Hata wakwetu naye tumeongeza ulinzi...jana mnazi mmoja tulipanda hata juu ya maghorofa!!😀
 
ukitaka kumtungua ni kazi ndogo sana,sema wamarekani kwa ubishoo hawajambo...
akiwa ndani ya ndege ama gari lake humpati.
ila akiwa exposed,sniper yeyote anaweza kumlamba risasi,ndo maana wanakua wako jujuu na wanawahi kuja kutake postion kwenye majengo miezi kadhaa kabla hajafika kwani sniper ndo tishio halisi
 
Thubutu yao, wao wanawaonea watu wasio na uwezo. kama vita yao ni ya alla kama wanavyojinadi wamfuate Obama hapo Nairobi wala sio Marekani

Allah akimtaka hata usingizini anamchukuwa.
'Basi mbona roho ifikapo kooni, na nyinyi wakati huo mnatizama)? (hamna la kufanya! ) Na Sisi (Allah) tu karibu naye zaidi kuliko nyinyi, wala nyjnyi hamuoni

Kama nyinyi (si miongoni ) ham'mo katika mamlaka yangu.
Kwa nini hamuirudishi (hiyo roho) ikiwa mnasema kweli?
Q:56: 83-87
 
next time be the first to stop those who use ALLAH'S name to kill innocent students who dont believe in ALLAH.

stop all those steal and doing corruption in the name pf Jesus! RRONDO
 
Last edited by a moderator:
So rais wa marekani ndio mungu??sio tabia nzuri kuwaambia wenzake vilaza wakati wewe hujui kitu.ukiwa hujui kitu kaa kimya!!!
 
Back
Top Bottom