G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 12,276
- 38,847
Wakuu, ni kweli kuwa ile miili ni ya ndugu zetu waliuawa na kwenda kutupwa kwenye sakafu ya mochwari ya Mwananyamala. Kama hukupata ndugu au kama una ndugu ambae hujui kama ni mzima au alishatangulia fanya kufika hapo kudai ukweli wake!
Tazama ulinganisho wa picha mbili za matukio tofauti kwenye eneo moja. Picha ya pili ni wakati wa ukaguzi wa mwili wa mzee Ali Kibao.
Kwa maana nyingine Ali Kibao ameendelea kuonyesha uhuni wa vyombo vya dola hata akiwa kaburini.
Hii pia inawaumbua wizara ya afya kwa uhuni wao kutaka ukweli usijulikane.
Tazama ulinganisho wa picha mbili za matukio tofauti kwenye eneo moja. Picha ya pili ni wakati wa ukaguzi wa mwili wa mzee Ali Kibao.
Kwa maana nyingine Ali Kibao ameendelea kuonyesha uhuni wa vyombo vya dola hata akiwa kaburini.
Hii pia inawaumbua wizara ya afya kwa uhuni wao kutaka ukweli usijulikane.