Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5:)viva fta
 
Mkuu Eutelsat w3c 16A at 16.0°E KU BAND inapatikana Bongo (Tanzania) lakini inategemea uko wapi,pamoja na kuwa na beam ya South na East Africa...Inapatikana kwa dish la ukubwa wa 130cm- 80cm mikoa ya kusini,magharibi na mashariki na mpaka katika ya Tanzania mikoa ya kaskazini pengine kwa dish kubwa zaidi ya niliyo tangulia kuyataja lakini beam yake inaishia katikati ya Tanzania.

Kwa kuongeza ni rahisi kupata satelite ya Eutelsat 7A at 7°E na hata channels zake nyingi ni nzuri ni pia ukitazama beam yake kwa Tanzania nzima kwa dish la ukubwa wa 85cm.

Kama ukiweza kutumia motorized Dish kuanzia Eutelsat 7A at 7°E kuelekea East unaweza kwenda mpaka Nigcomsat 1R / Turksat 42° ........ukirudi ulipoanzia Eutelsat 7A at 7°E kuelekea West unaweza kwenda mpaka Telstar 11N (Telstar 11R) 37°W......kwa maana hiyo ukitumia Dish lenye motor unaweza kupata satelite zaidi ya kumi kwa wakati mmoja,mfano Turksat pekee yake unaweza kupata channels zaidi ya 130 za bure.

kaka TONGONI naomba unipm namba yko ya simu
 
Bro binafsi nashukuru somo zuri sana,binafsi nipo Lebanon ,hatuzipati,chanel 10 star tv, nimepata Itv,capital na east African tv,naomba msaada bro,dish ni ya futi sita
 
Fashion box
Docubox
Fast fun box
Film box
Fight box 12382 v 30000. chanel zenye movie kali sasa wameziachia tena ndani ya amos5. blindscan and enjoy
 
Back
Top Bottom