Ilisolokobwe
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,850
- 803
hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5viva fta
hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5viva fta
hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5viva fta
Km upo dar yupo mtahalam ukimuhitaji nakupatia no yake
hello mdau.
nipo dar.nahitaji kupata satellite ya astra 28e kwa ajili ya joy sports na tv3.plsease naomba kupata hiyo namba ya simu ya mtaalam wa madish aliye dar ili nimchek.
0715865358 na +255784865358 anaitwa Masanja
Mkuu Eutelsat w3c 16A at 16.0°E KU BAND inapatikana Bongo (Tanzania) lakini inategemea uko wapi,pamoja na kuwa na beam ya South na East Africa...Inapatikana kwa dish la ukubwa wa 130cm- 80cm mikoa ya kusini,magharibi na mashariki na mpaka katika ya Tanzania mikoa ya kaskazini pengine kwa dish kubwa zaidi ya niliyo tangulia kuyataja lakini beam yake inaishia katikati ya Tanzania.
Kwa kuongeza ni rahisi kupata satelite ya Eutelsat 7A at 7°E na hata channels zake nyingi ni nzuri ni pia ukitazama beam yake kwa Tanzania nzima kwa dish la ukubwa wa 85cm.
Kama ukiweza kutumia motorized Dish kuanzia Eutelsat 7A at 7°E kuelekea East unaweza kwenda mpaka Nigcomsat 1R / Turksat 42° ........ukirudi ulipoanzia Eutelsat 7A at 7°E kuelekea West unaweza kwenda mpaka Telstar 11N (Telstar 11R) 37°W......kwa maana hiyo ukitumia Dish lenye motor unaweza kupata satelite zaidi ya kumi kwa wakati mmoja,mfano Turksat pekee yake unaweza kupata channels zaidi ya 130 za bure.
hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5viva fta
Hawajaifunga kweli hio?
Kwangu siipati, pamoja na kwamba napata ATN na Fire ambazo Ting wameziachia. Pls nirushie frequency niisakemkuu ipo wazi na haifungwi maana ni fta
Kwangu siipati, pamoja na kwamba napata ATN na Fire ambazo Ting wameziachia. Pls nirushie frequency niisake
freq ni hizo hizo za atn.rudia kuscan mstv itaingia mkuu12418 v 30000
hatimaye ting wameachia morningstar tv.wasabato wanaimba kweli asikwambie mtu.12418 v 30000 amos5viva fta
Natumia Azam,Naweza nikafunga LNB nyingine niweze kupata ATN na CAPITOL TV?
ndio unaweza mkuu tena unachelewa
Mkuu nipe maujanja unafanyaje?