kingdavidtheone
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 245
- 25
Duuuuh!dish ft 8 hapa nimeikosa sport 24 maana kwa hapa arusha nikama 340,000/:Tumia ungo wa ft8.LNB zenye nguvu ni Supermax 777 na Eurostar ya njia mbili.
Duuuuh!dish ft 8 hapa nimeikosa sport 24 maana kwa hapa arusha nikama 340,000/:Tumia ungo wa ft8.LNB zenye nguvu ni Supermax 777 na Eurostar ya njia mbili.
Jaribu ft6 ila lazima uwe na lnb nzuri au dish liwe na hali nzuri pia kuwepo na uwazi pale unapolielekeza.Tp ni 4136V13000.Duuuuh!dish ft 8 hapa nimeikosa sport 24 maana kwa hapa arusha nikama 340,000/:
Wapendwa msaada namna ya kuipata sport 24 maana nimeiangaikia kwa wiki mbili sasa bila mafanikio japo nilikua nazisaka Nss 12 channel ni nazo kutana nazo ni T-chad,Bfbs,bbc one,bbc two,bfbs extra,sky sport 1 uk na zingine nyingi bila hii sport 24 kuingia,pia naombeni kujua hivi kuna C band yenye nguvu kuliko hizi nilizo zizoea kama Galf star na Star gold?ahsanteni
Duuuuh!dish ft 8 hapa nimeikosa sport 24 maana kwa hapa arusha nikama 340,000/:
Hivi ndo StarTv imetoka kabisa kabisa kwenye madish ya fta?
Mkuu umeuliza swali zuri kwa kifupi umeona angle inayotumika kukamata local chanel za itv,eatv na capital ni nyuzi 64 East ukiwa umesimama nyuma ya dish unapo lirudisha kushoto ndivyo nyuzi zinavyozidi kupungua 63, 60, 58, 45, 36, 30 mpaka nyuzi 0, na unapopeleka ungo kwenda kulia nyuzi huongezeka 65, 67, 70, 83, 84, 89, 90.... ,Ahsante sana kiongozi.
Lakini unaweza kunisaidia pia uelekeo wa dishi hilo ili kupata arabsat 5A 30.5 East?
Na nawezaje kupata hiyo decoder ya str na ni kwa bei gani?
Funga 72nyuzi au 10e nyuzi utawalata kwa ft8Tv ya Kenya nitaipataje kwenye dish la free to air ?
Star TV sasa inapatikana katika satellite ya ABS 2 @75E Frequency 3821 V DVB-S SR 2400.Hii satellite iko pale ilipo Ting ila Star Tv iko kwenye C band tofauti na Ting ambayo iko Ku Band ila satellite ni ileile.
Mkuu vipi nikiongeza lnb nyingine kwenye dish la ft8 lililotazama 64°e, naweza pata hiyo startv..?Imeongezeka channel ya muziki ya TV-E ya kampuni inayomiliki E-FM.Hii channel iko katika mfumo wa Full HD yaani resolution yake 1080i.Hii ni mara ya kwanza kupata channel ya HD kutoka hapa ikiwa FTA.Tp yake ni 3995H2333 DVB-S2 QPSK
Ukijitahidi maana kuna kagape kakutosha hapo.Mkuu vipi nikiongeza lnb nyingine kwenye dish la ft8 lililotazama 64°e, naweza pata hiyo startv..?
Jaribu lakini signal yake inapanda na kushuka. Tumia tp ya ile HD kutafutia utaipata hii satellite.Mkuu vipi nikiongeza lnb nyingine kwenye dish la ft8 lililotazama 64°e, naweza pata hiyo startv..?
Poa..shukrani.. Nitajaribu w'kend.Jaribu lakini signal yake inapanda na kushuka. Tumia tp ya ile HD kutafutia utaipata hii satellite.
Huwezi king'amuzi pekee kinachopokea chaneli za fta ni Azam.Kama Nina dish na receiver ya startimes siwezi pats FTA Channels?
utapata mkuu, wewe tafuta satellite husika kisha fanya autosearch zitaingia chanelKama Nina dish na receiver ya startimes siwezi pats FTA Channels?
Nitawezaje kupata FTA kwny azam naomb settngHuwezi king'amuzi pekee kinachopokea chaneli za fta ni Azam.