Ulimwengu umeniendea kombo

Ulimwengu umeniendea kombo

Unatakiwa umshukuru Mungu kwamba una nguvu na afya bado!
Kuna jamaa mmoja nae analalamika hivyo ila alikuwa anaumwa miguu, imekatwa yote, hajui pa kuanzia, kuna mwingine bado hajaoa/ hajaolewa na hana watoto bado kaambiwa kuwa ameathirika na H.I.V, kapagawa!
Wengine ndo hao waliwekeza ktk nyumba, nyumba zao zinabomolewa, kazi hawana, na familia zinawategemea, ni karaha kwenda mbele!
Hivyo, shukuru Mungu una uzima na uwezo wa kujiinua mwenyewe, watu unaoposhana nao barabarani wana shida tofauti kubwa sana, ukizisikia na zao utaona wewe ni afadhari, hivyo piga moyo konde, keep on moving!!
Nimependa nasaha zako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu,

Pesa maua, muhimu uhai.

Ngoja tushirikishane experiences hapa, labda utapata faraja.

Alhamisi Donald Trump kasema mbovu ma Stock market yameanguka. Dow Jones imeanguka 274 points. Nimepoteza USD $23,000 katika masaa 18. Hizo ni kama shilingi milioni 52 za kibongo.

Na wala halijaninyima amani. Kwa sababu najipanga kuzirudisha zote na zaidi katika wiki chache zijazo.

Kwa hiyo inawezekana ukaona kwako kunaungua, kumbe kwa mwenzako kunateketea.

Kuna mtu kaambiwa ana ngoma leo, lakini anaishi kwa matumaini. Nini Uchumi?

Dow drops 274 points as Trump crisis grips Washington
Mkuu hizi vitu naomba msaada nielewe kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi huwa nawashangaa sana wanaobeza kwamba wanaolia hali ngumu ni wapiga dili.
Hebu tupe ushuhuda huenda ulikuwa unapiga dili
Au ndio wale mliokuwa mnaishi kama malaika sasa ni kuishi kama shetani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Njoo illuminant

Sent using Jamii Forums mobile app


441773.jpg
ndo mko hivi?
 
Pole mkuu. as long as bado unapumua na una uwezo wa kufanya kazi ongeza bidii na malengo utainuka tena. Kamwe usikate tamaa
 
Back
Top Bottom