Ulimwengu umeniendea kombo

Mkuu,

Pesa maua, muhimu uhai.

Ngoja tushirikishane experiences hapa, labda utapata faraja.

Alhamisi Donald Trump kasema mbovu ma Stock market yameanguka. Dow Jones imeanguka 274 points. Nimepoteza USD $23,000 katika masaa 18. Hizo ni kama shilingi milioni 52 za kibongo.

Na wala halijaninyima amani. Kwa sababu najipanga kuzirudisha zote na zaidi katika wiki chache zijazo.

Kwa hiyo inawezekana ukaona kwako kunaungua, kumbe kwa mwenzako kunateketea.

Kuna mtu kaambiwa ana ngoma leo, lakini anaishi kwa matumaini. Nini Uchumi?

Dow drops 274 points as Trump crisis grips Washington
Mkuu thijasoma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unatakiwa umshukuru Mungu kwamba una nguvu na afya bado!
Kuna jamaa mmoja nae analalamika hivyo ila alikuwa anaumwa miguu, imekatwa yote, hajui pa kuanzia, kuna mwingine bado hajaoa/ hajaolewa na hana watoto bado kaambiwa kuwa ameathirika na H.I.V, kapagawa!
Wengine ndo hao waliwekeza ktk nyumba, nyumba zao zinabomolewa, kazi hawana, na familia zinawategemea, ni karaha kwenda mbele!
Hivyo, shukuru Mungu una uzima na uwezo wa kujiinua mwenyewe, watu unaoposhana nao barabarani wana shida tofauti kubwa sana, ukizisikia na zao utaona wewe ni afadhari, hivyo piga moyo konde, keep on moving!!
 
Unatakiwa umshukuru Mungu kwamba una nguvu na afya bado!
Kuna jamaa mmoja nae analalamika hivyo ila alikuwa anaumwa miguu, imekatwa yote, hajui pa kuanzia, kuna mwingine bado hajaoa/ hajaolewa na hana watoto bado kaambiwa kuwa ameathirika na H.I.V, kapagawa!
Wengine ndo hao waliwekeza ktk nyumba, nyumba zao zinabomolewa, kazi hawana, na familia zinawategemea, ni karaha kwenda mbele!
Hivyo, shukuru Mungu una uzima na uwezo wa kujiinua mwenyewe, watu unaoposhana nao barabarani wana shida tofauti kubwa sana, ukizisikia na zao utaona wewe ni afadhari, hivyo piga moyo konde, keep on moving!!
well said
 
Back
Top Bottom