Ngosha255
JF-Expert Member
- Mar 29, 2013
- 430
- 512
Kumetokea tukio moja la kuusitabisha huku mkoani Geita katika mji mdogo wa Kasamwa,Mwanamke aliyekuwa amefariki kwa takiribani miaka sita ameonekana leo mida ya asubuhi nyumbani kwao alipokuwa akiishi hadi mauti yalipomkuta.
Mwanamke huyo ambaye amewashangaza wengi kwani tofauti na misukule alikuwa akionekana akiwa na akili timamu na nadhifu*
Alipoulizwa alifikaje maeneo hayo alisema akuja kwa basi.
Hata hivyo alichukuliwa na polisi kwa mahojiano zaidi.
Mwanamke huyo ambaye amewashangaza wengi kwani tofauti na misukule alikuwa akionekana akiwa na akili timamu na nadhifu*
Alipoulizwa alifikaje maeneo hayo alisema akuja kwa basi.
Hata hivyo alichukuliwa na polisi kwa mahojiano zaidi.