Nani aliyekudanganya hivyo
Jishikirie haswa Nifah maana Faiza Fox anaweza kukupora bwn, mjini hapa Ujue.Hakika![]()
![]()
Huyu mwanaume ananifanya nami nianze kuwa shushushu mbobezi![]()
Tafuta muda utudadavulie hii kidogo.CIA ineteresting story yao ni kifo cha Kennedy
Kennedy aligundua CIA ni kama taifa ndani ya taifa
wanajiamulia mambo mengine wenyewe
akaapa kuivunja...akauawa wiki ile ile aliyoapa kuivunja....
Mie vijineno vyako tukumbe na uandishi wa makala unaweza kuambukiwa kwa njia ya moyotooth!
AHSANTE ODDO!
mi nikishaona kazi imepangwa!ndefu, ina aya,zilizo na mpangilio,na majina ya mahali na vitu na tarehe!
najua hapa kuna andiko!
wacha sasa nitulie nisome!
eti "moyotooth"