Elizabeth Dominic CHEZEYA SURA NZURI WEWE WALE HATARI KABISA I MET WITH THEM NILIMDAMPO JALALANI NIKAMFUKIA HUKO MAANA THEY ARE WORSE KABISAHonestly Rutashubanyuma i'm confused kidogo hao sura nzuri siwataki tena or rather kigezo hakitajengwa katika taswira sana, but it wouldn't hurt to get a hunk........lol
Rutashubanyuma unatafuta nini best sasa unataka maujanja haya mkuuulimtambua vipi kuwa huyu ndiye mwenyewe ..
(getting to know her/him)
hivi mwandani wako ulimtambuaje kuwa ndiye yeye?
hivi ni maujanja yepi wewe uliyatumia kumpima yeye?
ni vigezo vipi vilikutongoza hadi kujua umelamba dume?
hivi ni vichocheo vipi vilikufanya uone ya kuwa umewasili?
nifahamuvyo kauli na taswira zimejaa hadaa tupu
kauli yake mwenyewe huitia kitanzini na kuishibisha azma zake!
aongeacho mara nyingi sicho kilichopo moyoni kwake wala!
tabasamu lake lalenga kuijenga kauli ambayo si lazima iwe na kweli!
kamwe kauli au hata tabasamu lake kuwa kioo cha moyo wake!
nifahamuvyo kauli na taswira zimejaa hadaa tupu
kauli na taswira yake huoana na moyo wake masijala ya kukataa
pindi moyo wake umekuasi kata katu basi shabaha wewe hulengwa
bila haya au huruma jipu kukupasulia kuwa hakuhitaji nawe kulia..
na kwa kufanya hivyo huwa kajitendea mwenyewe ubinadamu..
nifahamuvyo kauli na taswira zimejaa hadaa tupu
ni mitihani ipi uliitumia kuupima moyo wake?
hata kuridhia yeye ndiye na hakuna mwingineo?
kama ulienda mkichamkichwa basi ilikula kwako!
kama uliserereka na kauli au taswira basi wewe teja!
nifahamuvyo kauli na taswira zimejaa hadaa tupu
mapenzi hadaa sana