Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Remmy mbona mada tayari iko mezani.....................kubwa chunguza moyo wake na usikubali hadaa za kauli au hata hisia za usoni kwake kwai hizo zimo ndani ya uwezo wake wa kukupeleka kusiko..................
Nitautambuaje huo moyo Ruta? Umejificha na watu tunaweza sana kupretend.