Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Ulilipokea vipi shambulio la JF?

Mi nilihofia usalama wa watumiaji wa mtandao...maana shambulio limekuja wakati wa taharuki ya maandamano sa nikajua kimeshawaka huku.
Hata hvyo shambulio la jana limekaa kisiasa sana, why jana??
 
Mi ni redditor pia so nlitumia zaidi reddit wakti jf haipo ingawaje nilishatarajia hili mapema
 
Back
Top Bottom