Ukitaka unipatie, unajua pa kunipata, siyo?.......Mlango u wazi, karibu....!Hahahaha babu una vituko sijakupatia mwenzio! Lol
f(x) = dy/dx.........Ahsante Vogel........... Ze konjugeti of ze namba!Location : Martenity Ward
Na hivi mwezi umepatwa jana.....jua litakuwa tamu sana........hebu nipeleke kwenye utamu mwaego......!sasa babu kama hujui unauliza nini naona uzee unakusumbua inabidi nikutoe nje ukaote jua
Douta, hebu fafanua kwa makini hiyo staili......inamhuuuu bibi yenu leo..... na ole wake aniulize nilikuwa wapi....utakuwa na kesi ya kujibu wallahi...........hakuna kuliza wala nini
mi ikitokea naulizwa ndo utakuwa mwanzo wa mwisho wangu wa kukufanyia kitu kipya
and you know what that means.........
lakini babu hivi leo hii bibi akija na staili mpya ya kukiss mkiwammegeuza vichwa nywele chini videvu juu
utauchukuliaje huo ubunifu?
just asking
Ipake rangi ipendeze ili uipende zaidi na zaidi na zaidi..........Hahahaaa...,nimeipenda.
Na hapa unazungumzia utemaji upi? Na mate yapi? Mate hayatemwi, mate yanapakwa.......ebo!mmmh!haya babu naona umekuja na nitoke vipi..........................
narudi baadae kidogo,
Hivi ugoro wako ulishaisha eeeeeeh..????
tatizo ukishakula hayo maugolo bibi unampa sana tabu ya kudeki kila wakati,
mate wayatema tema kila sehemu lol...........
Shantel..........khaaa.... akuambie hapo hapo wakati gani?...... kuna wakati kuongea kunashindikana LOL...inabaki miguno tu.mie siachi ndio kwanza nazidisha halafu namwambia kama hapendi aniambie hapohapo sio asubiri utamu mwishoni ndio aibuke na maswali
Sasa si amekupa kitu adimu...........miaka yote kumi hujawahi nifanyia hivi, mara ghafla umeibuka na kitu kipya kabisa.....kwanini nsikuulize ulikuwa wapi siku zote mpaka raha hizi wanipea uzeeni?.........nikizimia?Khaa huyu nae hana maadili kama chauro,shurti kusema asante si twajifunza kila siku babu nini kumuuliza mwenzako alikuwa wapi?
Ukifwatilia kwa makini, nlikuwa nimeshavua mawani yangu, ukisome pembeni ya mstari utagundua kuna jambo adimu alifanyiwa, ila sasa, anyway labda vijana hawajaelewa vema.....ngoja walale afu ntakunong'oneza......umbea haulipi!Hommie...kwa taarifa za udaku, itakuwa mjamaa alimpa kitu gani mpenzi wake au alipewapo nini??? najaribu kusome pembeni ya mistari
Yes We Can!Nothing is permanent except "CHANGE".....Always remember this!!
Hahahaaaaaaa....khaa! We umeende maili moja mbele zaidi....haya tujuze huo ufundi wa kuleta dhambi........Kubusu ndevu?, kulamba visigino?, kuachia ushuzi wakati wa busu la 69? au kunyonya nyuma ya goti?........babu kishazeeka bana.....Ufundi wenyewe uwe wa "halali" kuna maufundi mengine ni kutafutiana "dhambi" tu
Moskwito.......madaktari wengine badala ya kupunguza maumivu wao wayaongeza.....duh, ama maumivu yakizidi ni bora kumuona dakitari.
Sijatumiwa meseji bado, ntumie basi.... au masaji ndo ubunifu mpya? Ulikuwa wapi siku zote?Babu ubunifu lazima uwepo jamani .. ....
Lala Pumzika babu ..umeshafanyiwa massage ?
Unafanya nini huku?......... Vingine haviondokeki hommie.Asee....
Hivi ukipewa kitu si unaondoka nacho? Asee......
Inafurahisha sana aisee...
Ubunifu usizidi sana. Kuna mtu mzima fulani(mwanamke) takribani miaka 4 iliyopita alimng'ata mumewe ulimi wakati wapo kwenye korasi (chorus)! Sasa swali la kujiuliza ni kwamba watu wameoana kwa miaka mingi tu, iweje ghafla bin vuu udate kiac cha kumng'ata mwenzio? Jibu ni ubunifu kupita kiasi!
Ukikua ntakuuliza: Ulijulia wapi mambo haya?.........angalia usichelewe kukua!Mmmmh... naona mimi mtoto mdogo saana ku comment hapa... Heshima yako Asprini...
Forbiden fruit? God Forbid............ babu hapendi dhambi!mhhhhhhhhhh
what if..............?????????????
it was the forbiden fruit?????lol
Hebu niSMS mate, nsije nikaamishwa meza na ngumi jiwe!Swahiba kuna mtu unamsema humu aisee.... we ngoja akudunde migumi hadi ujikojolee.... huwa haposti sana siku hizi lakini kwa hili ataibuka tu
Mbavu zimekuwaje?.........Hivi kuna ambaye hajawahi kusaidiwa?Hahahah mbavu zangu! Ukiona hivyo ujue ushasaidiwa sana!
Hayo mafunzo uliyapatia chuo gani? Ilikuwa theory au practical au vyote............ntaua mtu asee!Nilikua mafunzoni...leo ndo nimemaliza na kuamua kutumia yale niliyojifunza rasmi!!!
Nilikuwa kitandani, nimelala na bibi yenu.........Nilikuwa nasubiri siku ya leo ifike ili nikufanyie hayo uliyoyaona, Lizzy as if ulikuwa kichwani mwangu.... lol, babu una mambo, sijui ulikuwa wapi siku zote?
Kama kawaida yako........... hivi ulishagradueti?.......... kama bado ntakugea ya heshima kama ya prezidaa wetu.
Mara nyingi jibu la hapa ni ndio, ingawa kupata kwake inakuwa indirectly, (i.e kuhadithiwa, kuangalia, kusomea. etc) sio kufanyiwa!
...haipendezi! la maana ni kumsifia kwa hako kautundu kanakonogesha...!
...naaam, naam. Tena hilo ni lazima! Hakuna ubaya kuwa na Diary una tick...
Jumatatu na Jumatano- Vigelegele, Jumanne na alhamisi- kengele, Ijumaa na Jumapili - kileja...
wiki ya pili unabadilisha somo...
...hamna hatari yeyote, 'keep her Guessing' kesho yake utakuja na somo gani!
Mmmmh... naona mimi mtoto mdogo saana ku comment hapa... Heshima yako Asprini...
Na kweli sioni bila mawani.......... hata hapo kwenye red sijapaona..... ntapakopi na kupesti nimpelekee bibi anisomee kwa kiinglishi........... atafurahi huyo, manake mjukuu wake ashajua kusoma na kuandika LOL................Ah Mbu acha tu huyu Babu najaribufikiria alipokuwa kijana alikuwaje........wakati mwingine ananiingiza majaribuni Mjukuu natamani kuonja chakula cha Bibi....GOd forbid mimi ni Mtiifu lol
Asprini haoni bila miwani na by the time anakuja hapa hii post itakuwa ishavushwa peji
Mbu, hebu mweleze kwa kingledha, mjukuu mtiifu kiswahili huwa kinampiga chenga.........ole wake amtiaye babu yake majaribuni, mkongojo wa babu utaiteketeza baioloji yake.
...ha ha hha ha! eti chakula cha bibi, ...wewe ndio unamtia majaribuni,
mwenyewe an'sema kwakuwa hapendi dhambi, hujirudia kitandani kulala!
Hivi kuna ambaye amesha nijibu?...lol,...mwj1, ASPIRIN ameuliza nami nam quote "ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......?....EH?..."
Ebo!Ashadii....Nilikuwa napita tu jamani.Byee.
Hah!ha ha ha... am glad sijakimbia peke yangu...
wewe acha utani, let me guess, udogo wako ni wembamba wa reli lakini tren inapita. Mh! My take wengine huogopa kufanya maujuzi wakidhan watwaumiza wenzi wao kumbe..... Ila watkaposikia wenzao huwafanyia hivyo ndo huanza effective utilization. Lakini USIJIFUNZIE UFUNDI KWENYE MWILI WA MWENZAKO.
Ukikua ntakuuliza: Ulijulia wapi mambo haya?.
Hahahaha.............. ngoja nicheke kwa sauti....hahahahaha BTW CHORUS kwenye mapenzi ndo nini? Romansi au babu nazeeka ukubwani?Ubunifu usizidi sana. Kuna mtu mzima fulani(mwanamke) takribani miaka 4 iliyopita alimng'ata mumewe ulimi wakati wapo kwenye korasi (chorus)! Sasa swali la kujiuliza ni kwamba watu wameoana kwa miaka mingi tu, iweje ghafla bin vuu udate kiac cha kumng'ata mwenzio? Jibu ni ubunifu kupita kiasi!
Mzee mwenzangu, sina la kubisha hapo...... ila na umri huu kwenye web tutaenda saa ngapi? LOLMzee mwenzagu,
Mficha uchi hazai...Na kizuri kula na mwenzio. Ukiwa na kitu kizuri hata kama umecopy na kupaste toka kwenye web, ni vizuri kumgaia mwenzio. Hayo maswali si ustaarabu...Wakati mwingine watu wanajisemea tu kufurahisha baraza. Kwa hiyo ufundi mpya mpya ruksa ila msivimbe vichwa kwa vijineno. Sometimes watu wanaogea bila kujua kwamba tayari wameshasema maneno yanayowagusa wenzao. Kwenye viwanja akili inakuwa likizo ....mtu aweza kusema lolote hata bila kumaanisha!!
Mzee DC
Ila mzee mwenzangu, kuna vitu vingine......... ngoja kwanza watoto walale.... manake waliyokuwa wanazungumza vijana wale...... alichomfanyia mpenzi wake.... ilibidi babu niende kulala.... ye alitegemea aambiwe sita ki upuuzi wako, badala yake akaambiwa ulikuwa wapi siku zote?watu wanatakiwa kuwa huru....Hivi vitu vinatokea kutegemea na mtu kapanda futi ngapi kutoka usawa wa bahari....
Wakati mwingine ni intuitions....Ukiwa mtu wa ku-insinuate basi utapata shinda kwani kuna wakati kweli unaletewa vitu ambavyo hujawahi kuona hata kama mmeishi pamoja >20yrs. Na mtu hajapiga chabo kokote.
Ukimwamini mwenzio utaona ufundi wake to the maximum!!
Khaaaa!wewe acha utani, let me guess, udogo wako ni wembamba wa reli lakini tren inapita. Mh! My take wengine huogopa kufanya maujuzi wakidhan watwaumiza wenzi wao kumbe..... Ila watkaposikia wenzao huwafanyia hivyo ndo huanza effective utilization. Lakini USIJIFUNZIE UFUNDI KWENYE MWILI WA MWENZAKO.
Hujanijibu vizuri.... sasa kama ndo ulikuwa unakuwa, haya ulijifunzia wapi mpaka mjukuu mkwe wangu aje alalame kwangu?.... Manake yeye alitegemea aambiwe "staki maupuuzi yako" badala yake ukamwambia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?Babu mie mjukuu mtiifu mlikuwa bado nakua ........nimekujibu eh?
Kisa?!Wakati nimejifunza kwaajili yake!?Mitihani migumu nimefanya mpaka nikafuzu kwaajili yake?!Inabidi ashukuru!
Na wala si vinginevyo? 40+ utanichakachulia wajukuu zangu.... wewe kumbe ni mali halali ya babu...BTW ulikuwa wapi siku zote usinambie?ha ha ha The dirt P, hasaa ni utani ulosema niache.. mimi ni mtu mzima kabisaa yaani 40 plus, na sina mahala pa kuapply udongo kwangu kwa lolote with the naked eye, ndo wale wa saizi 24....lol... Hata hivyo on a serious note, nilisema mdogo in the sense kua Asaprin bado ana consider namfaa mjukuu wake au lah!
Umeshindwa kusoma between the lines? Huna mawani? Na beyond the lines nako umeshindwa? Ulikuwa wapi siku zote? LOLKusema kweli siyajui.... nilisoma nikashindwa kusoma between the lines, ndo maaana...lol
nilikuwa pale uliponiacha...BTW nimekumiss ujue..Nasubiri la kwako, na roho yangu itapona.
Na wala si vinginevyo? 40+ utanichakachulia wajukuu zangu.... wewe kumbe ni mali halali ya babu...BTW ulikuwa wapi siku zote usinambie? Umeshindwa kusoma between the lines? Huna mawani? Na beyond the lines nako umeshindwa? Ulikuwa wapi siku zote? LOL
Na mahali pa kunipata ushapasahau? Mtaa wa pili kule pia sikuoni........kulikoni?nilikuwa pale uliponiacha...BTW nimekumiss ujue..
Moskwito........ kama ambavyo wengine husema pole, kuna wengine husemaga ahsante..... Kukimbia kilometa tisa kwa dakika kumi mchezo?......... Na ukamfikisha aendako kwa usalama kwanini usipewe ahsante.... tatizo badala ya kupewa ahsante, unaulizwa ulikuwa wapi siku zote? LOL
...hivi kuna ulazima wa kupewa asante ee? najifunza jambo jipya kila siku.
@ Aspirin, nilikimbia umande bana! 'fainali uzeeni!'