Ulikuwa wapi siku zote...? Eh...?!

Ubunifu usizidi sana. Kuna mtu mzima fulani(mwanamke) takribani miaka 4 iliyopita alimng'ata mumewe ulimi wakati wapo kwenye korasi (chorus)! Sasa swali la kujiuliza ni kwamba watu wameoana kwa miaka mingi tu, iweje ghafla bin vuu udate kiac cha kumng'ata mwenzio? Jibu ni ubunifu kupita kiasi!
 
Hahahaha babu una vituko sijakupatia mwenzio! Lol
Ukitaka unipatie, unajua pa kunipata, siyo?.......Mlango u wazi, karibu....!

Location : Martenity Ward
f(x) = dy/dx.........Ahsante Vogel........... Ze konjugeti of ze namba!

sasa babu kama hujui unauliza nini naona uzee unakusumbua inabidi nikutoe nje ukaote jua
Na hivi mwezi umepatwa jana.....jua litakuwa tamu sana........hebu nipeleke kwenye utamu mwaego......!

Douta, hebu fafanua kwa makini hiyo staili......inamhuuuu bibi yenu leo..... na ole wake aniulize nilikuwa wapi....utakuwa na kesi ya kujibu wallahi...........

Hahahaaa...,nimeipenda.
Ipake rangi ipendeze ili uipende zaidi na zaidi na zaidi..........

Na hapa unazungumzia utemaji upi? Na mate yapi? Mate hayatemwi, mate yanapakwa.......ebo!

mie siachi ndio kwanza nazidisha halafu namwambia kama hapendi aniambie hapohapo sio asubiri utamu mwishoni ndio aibuke na maswali
Shantel..........khaaa.... akuambie hapo hapo wakati gani?...... kuna wakati kuongea kunashindikana LOL...inabaki miguno tu.

BTW, mlikuwa wapi siku zote?
 
Mzee mwenzagu,

Mficha uchi hazai...Na kizuri kula na mwenzio. Ukiwa na kitu kizuri hata kama umecopy na kupaste toka kwenye web, ni vizuri kumgaia mwenzio. Hayo maswali si ustaarabu...Wakati mwingine watu wanajisemea tu kufurahisha baraza. Kwa hiyo ufundi mpya mpya ruksa ila msivimbe vichwa kwa vijineno. Sometimes watu wanaogea bila kujua kwamba tayari wameshasema maneno yanayowagusa wenzao. Kwenye viwanja akili inakuwa likizo ....mtu aweza kusema lolote hata bila kumaanisha!!

Mzee DC
 
Khaa huyu nae hana maadili kama chauro,shurti kusema asante si twajifunza kila siku babu nini kumuuliza mwenzako alikuwa wapi?
Sasa si amekupa kitu adimu...........miaka yote kumi hujawahi nifanyia hivi, mara ghafla umeibuka na kitu kipya kabisa.....kwanini nsikuulize ulikuwa wapi siku zote mpaka raha hizi wanipea uzeeni?.........nikizimia?

Hommie...kwa taarifa za udaku, itakuwa mjamaa alimpa kitu gani mpenzi wake au alipewapo nini??? najaribu kusome pembeni ya mistari
Ukifwatilia kwa makini, nlikuwa nimeshavua mawani yangu, ukisome pembeni ya mstari utagundua kuna jambo adimu alifanyiwa, ila sasa, anyway labda vijana hawajaelewa vema.....ngoja walale afu ntakunong'oneza......umbea haulipi!

Nothing is permanent except "CHANGE".....Always remember this!!
Yes We Can!

Ufundi wenyewe uwe wa "halali" kuna maufundi mengine ni kutafutiana "dhambi" tu
Hahahaaaaaaa....khaa! We umeende maili moja mbele zaidi....haya tujuze huo ufundi wa kuleta dhambi........Kubusu ndevu?, kulamba visigino?, kuachia ushuzi wakati wa busu la 69? au kunyonya nyuma ya goti?........babu kishazeeka bana.....

...duh, ama maumivu yakizidi ni bora kumuona dakitari.
Moskwito.......madaktari wengine badala ya kupunguza maumivu wao wayaongeza..

Babu ubunifu lazima uwepo jamani .. ....
Lala Pumzika babu ..umeshafanyiwa massage ?
Sijatumiwa meseji bado, ntumie basi.... au masaji ndo ubunifu mpya? Ulikuwa wapi siku zote?

Asee....
Hivi ukipewa kitu si unaondoka nacho? Asee......
Inafurahisha sana aisee...
Unafanya nini huku?......... Vingine haviondokeki hommie.

BTW mlikuwa wapi siku zote?
 

watu wanatakiwa kuwa huru....Hivi vitu vinatokea kutegemea na mtu kapanda futi ngapi kutoka usawa wa bahari....

Wakati mwingine ni intuitions....Ukiwa mtu wa ku-insinuate basi utapata shinda kwani kuna wakati kweli unaletewa vitu ambavyo hujawahi kuona hata kama mmeishi pamoja >20yrs. Na mtu hajapiga chabo kokote.

Ukimwamini mwenzio utaona ufundi wake to the maximum!!
 
Mmmmh... naona mimi mtoto mdogo saana ku comment hapa... Heshima yako Asprini...
Ukikua ntakuuliza: Ulijulia wapi mambo haya?.........angalia usichelewe kukua!

mhhhhhhhhhh
what if..............?????????????
it was the forbiden fruit?????lol
Forbiden fruit? God Forbid............ babu hapendi dhambi!

Swahiba kuna mtu unamsema humu aisee.... we ngoja akudunde migumi hadi ujikojolee.... huwa haposti sana siku hizi lakini kwa hili ataibuka tu
Hebu niSMS mate, nsije nikaamishwa meza na ngumi jiwe!

Hahahah mbavu zangu! Ukiona hivyo ujue ushasaidiwa sana!
Mbavu zimekuwaje?.........Hivi kuna ambaye hajawahi kusaidiwa?

Nilikua mafunzoni...leo ndo nimemaliza na kuamua kutumia yale niliyojifunza rasmi!!!
Hayo mafunzo uliyapatia chuo gani? Ilikuwa theory au practical au vyote............ntaua mtu asee!

Nilikuwa nasubiri siku ya leo ifike ili nikufanyie hayo uliyoyaona, Lizzy as if ulikuwa kichwani mwangu.... lol, babu una mambo, sijui ulikuwa wapi siku zote?
Nilikuwa kitandani, nimelala na bibi yenu.........

Kama kawaida yako........... hivi ulishagradueti?.......... kama bado ntakugea ya heshima kama ya prezidaa wetu.
 
Reactions: Mbu
Mmmmh... naona mimi mtoto mdogo saana ku comment hapa... Heshima yako Asprini...

wewe acha utani, let me guess, udogo wako ni wembamba wa reli lakini tren inapita. Mh! My take wengine huogopa kufanya maujuzi wakidhan watwaumiza wenzi wao kumbe..... Ila watkaposikia wenzao huwafanyia hivyo ndo huanza effective utilization. Lakini USIJIFUNZIE UFUNDI KWENYE MWILI WA MWENZAKO.
 
Na kweli sioni bila mawani.......... hata hapo kwenye red sijapaona..... ntapakopi na kupesti nimpelekee bibi anisomee kwa kiinglishi........... atafurahi huyo, manake mjukuu wake ashajua kusoma na kuandika LOL

...ha ha hha ha! eti chakula cha bibi, ...wewe ndio unamtia majaribuni,
mwenyewe an'sema kwakuwa hapendi dhambi, hujirudia kitandani kulala!
Mbu, hebu mweleze kwa kingledha, mjukuu mtiifu kiswahili huwa kinampiga chenga.........ole wake amtiaye babu yake majaribuni, mkongojo wa babu utaiteketeza baioloji yake.

...lol,...mwj1, ASPIRIN ameuliza nami nam quote "ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE......?....EH?..."
Hivi kuna ambaye amesha nijibu?



Ashadii....Nilikuwa napita tu jamani.Byee.
Ebo!

ha ha ha... am glad sijakimbia peke yangu...
Hah!
 


ha ha ha The dirt P, hasaa ni utani ulosema niache.. mimi ni mtu mzima kabisaa yaani 40 plus, na sina mahala pa kuapply udongo kwangu kwa lolote with the naked eye, ndo wale wa saizi 24....lol... Hata hivyo on a serious note, nilisema mdogo in the sense kua Asaprin bado ana consider namfaa mjukuu wake au lah!
 
Hahahaha.............. ngoja nicheke kwa sauti....hahahahaha BTW CHORUS kwenye mapenzi ndo nini? Romansi au babu nazeeka ukubwani?

Mzee mwenzangu, sina la kubisha hapo...... ila na umri huu kwenye web tutaenda saa ngapi? LOL

Ila mzee mwenzangu, kuna vitu vingine......... ngoja kwanza watoto walale.... manake waliyokuwa wanazungumza vijana wale...... alichomfanyia mpenzi wake.... ilibidi babu niende kulala.... ye alitegemea aambiwe sita ki upuuzi wako, badala yake akaambiwa ulikuwa wapi siku zote?

Khaaaa!

Babu mie mjukuu mtiifu mlikuwa bado nakua ........nimekujibu eh?
Hujanijibu vizuri.... sasa kama ndo ulikuwa unakuwa, haya ulijifunzia wapi mpaka mjukuu mkwe wangu aje alalame kwangu?.... Manake yeye alitegemea aambiwe "staki maupuuzi yako" badala yake ukamwambia ULIKUWA WAPI SIKU ZOTE?

Babu anarudi kitandani kulala, Ahsanteni kwa ushirikiano wenu.

MLIKUWA WAPI SIKU ZOTE JAMANI JAMANI JAMANI?
 
Kisa?!Wakati nimejifunza kwaajili yake!?Mitihani migumu nimefanya mpaka nikafuzu kwaajili yake?!Inabidi ashukuru!

...hivi kuna ulazima wa kupewa asante ee? najifunza jambo jipya kila siku.
@ Aspirin, nilikimbia umande bana! 'fainali uzeeni!'
 
Na wala si vinginevyo? 40+ utanichakachulia wajukuu zangu.... wewe kumbe ni mali halali ya babu...BTW ulikuwa wapi siku zote usinambie?

Kusema kweli siyajui.... nilisoma nikashindwa kusoma between the lines, ndo maaana...lol
Umeshindwa kusoma between the lines? Huna mawani? Na beyond the lines nako umeshindwa? Ulikuwa wapi siku zote? LOL
 
Na wala si vinginevyo? 40+ utanichakachulia wajukuu zangu.... wewe kumbe ni mali halali ya babu...BTW ulikuwa wapi siku zote usinambie? Umeshindwa kusoma between the lines? Huna mawani? Na beyond the lines nako umeshindwa? Ulikuwa wapi siku zote? LOL

Unauliza nilikua wapi hali nilikua nafanya usafi rumuni kwako...lol.. Na uliponiona ulisema namfaa mjukuu what went wrong??
 
nilikuwa pale uliponiacha...BTW nimekumiss ujue..
Na mahali pa kunipata ushapasahau? Mtaa wa pili kule pia sikuoni........kulikoni?


...
hivi kuna ulazima wa kupewa asante ee? najifunza jambo jipya kila siku.
@ Aspirin, nilikimbia umande bana! 'fainali uzeeni!'
Moskwito........ kama ambavyo wengine husema pole, kuna wengine husemaga ahsante..... Kukimbia kilometa tisa kwa dakika kumi mchezo?......... Na ukamfikisha aendako kwa usalama kwanini usipewe ahsante.... tatizo badala ya kupewa ahsante, unaulizwa ulikuwa wapi siku zote? LOL
 
Reactions: Mbu

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…