Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 576
- 1,625
Wakuu,
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine๐๐๐.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?
Watoto na michezo ni kama samaki na maji, wengi tushazama kwenye michezo mpaka tukaja kufatwa na fimbo huko tulipokuwa. Wakati mwingine mzazi mpaka anapata wasiwasi labda mtoto kapotea, kumbe mtu kazama kwenye kombolela huko?
Katika michezo yote niliyoweza kucheza rede nilikuwa fundi, yaani mpaka watu walikuwa hawataki nicheze maani nikiingia ni kufunga tu, na tukiwa wengi ni mwendo wa kuokoa wenzangu tu. Pia niikua nilikuwa fundi wa kucheza goroli, yaani nilikuwa na makopo yaliyojaa goroli zilizopuna watoto wengine๐๐๐.
Wewe ulikuwa bingwa wa kucheza mchezo gani utotoni?