Ulijifunza nini ulipo.......!!!!!!!!!!

Ulijifunza nini ulipo.......!!!!!!!!!!

Sasa Sister! Una mupenz anakidhi vigezo vyote isipokua 6*6 ni mchovu sana. Hivi utaniambia ni haki kumuacha huyu??
If sio haki, nini suluhisho?
...
Unamtazamo m'baya dhidi ya wanaochit!
But beleive me in some situation m/me akicheat ni afueni kwa ke wake & balance of interest ndio inapatikana! Na mahusiano yenu ndio yana go smoothly!
...
Si kila anaechit ni malaya!
Mwenyewe nilishapewa ruhusa ya kuponea nje sometimes!

Siyo kama na mtazamo mbaya wa kucheat ila mtu anaye cheat ndivyo navyomchukulia.....

Kama hayuko vzuri kwenye 6x6 na wew kigezo chako muhimu ni hapo kwanin usimtafute huyo mzuri kwenye 6x6 ili usimcheat huyo uliyenaye..........na kama hauwezi kumwacha kwa sababu hyo basi mvumilie na ufundishe kile unachotaka.......mana akuna aliyezaliwa akajua watu wanajifunza.....

Kwahyo kuruhusiwa kwenda kucheat wew umeona sawa...? Aiseee na utafanya hvyo....?
 
Kwenye ndoa kila mmoja ana majukumu yake
Ukilijua hili na mkeo akalijua hili takuwa mmepunguza 60% ya matatizo ya kwenye ndoa!
N akwenye ndoa Mkuu Eiyer kila mtu ana sehemu yake ya kuplay na anatakiwa aiplay vyema
Muhimu kujua kuwa pande mbili kwenye ndoa kushirikiana na kupeana miongozo ya namna ya kuboresha ndoa zao
 
Last edited by a moderator:
Binafsi ilinisaidia kumpata the ryt one ambae ndo mmiliki halali kwa sasa, so smtymz ni nzur kama bado humpata the ryt one!
 
Binafsi nilijifunza kwamba zimwi likujualo halikuli likakwisha
 
ndugu yangu tusidanganyane mpango wa kando haukwepeki,embu nikuulize hivi wewe kila siku unakulaga maharage tu nyumbani kwako? mmmmh sidhani lazima ule dagaa siku nyingine nyama,mboga za majani au sio hata omba omba wenyewe wanakula baga siku hizi.
 
Yeah!!!! Men will always be men...Mkuki kwa nguruwe siyo.... kwa binadamu maumivu makali.



may be i am speaking out of tone ,but i am trying to imagine that, being in a marriage, cheating is inevitable. reason behind is i will loose appetite by s.exing with only one girl for the rest of my life . by saying so i mean for a husband to have a healthier marriage in one way or another he suppose to cheat for him to re-awake appetite to his wife . so cheating has some advantages to husbands' side but not to wife's
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kunithibitishia hili?
Eiyer bana . . .
Sasa nikishakuthibitishia ndo inakuweje?

BTW,
Sihitaji kukuthibitishia wala kukushawishi kwa namna yeyote.
Ni wewe mwenyewe . . . . aidha uchague kuamini au kutokuamini.
Kwani hakuna kitakachobadilika!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer bana . . .
Sasa nikishakuthibitishia ndo inakuweje?

BTW,
Sihitaji kukuthibitishia wala kukushawishi kwa namna yeyote.
Ni wewe mwenyewe . . . . aidha uchague kuamini au kutokuamini.
Kwani hakuna kitakachobadilika!

Cha kubadilika kipo sana tu
Labda iwe hutaki tu!!!!
 
Back
Top Bottom