Ulijifunza nini ulipo.......!!!!!!!!!!

Ulijifunza nini ulipo.......!!!!!!!!!!

sidhani, nimekuwa mguu ndani mguu nje, niliwah kumwambia ungefanya kitu flani ingekuwa mwisho wetu akanambia sio mbaya pia, nkaona hamna jipya

Kumbeeeeehhhhhhhh!!!!!!!!!!!
 
Faida na hasara za ku cheat inategemea na expectation zako kabla ya kuamua ku cheat kwa huyo uliechagua ku kwich kwich nae!

Faida ni pale atakapo fikia vigezo vya expectation! Hapa naongelea perfomance,caring..etc uki compare na ulie nae.

Hasara ni pale hajafikia expectation! Game ya kawaida tu or boring..hapo utakuwa guilty wa ku cheat! Utaona ni upuuz tu umefanya, upotevu wa muda na gharama bila faida yoyote!

So kuepuka ku suffer these consequences ni bora kutulia na ulienae!
analysis yako ni kwenye performance kwikwikwi , unaweza kupima performance kwa return on capital employed pia
 
Mkuu Eiyer kuna muda unajiona mkosaji sana wakati umefanya kitendo ambacho hukutarajia
Wakati unapojijua kuwa una mtu wako anayekuamini na unayemwamini na ghafla ukapitiwa na mpango wa kando ukachepuka kwenda nje ya muhusika unajiona kabisa mkosaji na unafeel kabisa kuwa umetenda kosa na umemtendea kosa yule uliye nae
Muhimu hapo si kurudia kosa tena na kwenda kwa mwingine ila ni kuacha hizo mambo
kweli kuna muda unanogewa na mpango wa kando mpaka unajihisi ni bora ubaki kule kule ila roho inakusuta haswa ukimfikiria yule uliye nae na namna atakavyoumia atakaposikia kuwa umemsaliti na kama unavyojua mpango wa kando huwa hawalazi dam wakikupata huwa wanaongeza utaalam na mbinu mbadala kuhakikisha kuwa unabaki huko huko
copy AshaDii

Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

Asante kwa mauzoefu na kulijua kosa mkuu!!!!
Tafadhali usikane.......lol!!!!!!

I hope ulisalimika ......LOLZZZZZ!!!!!!!!!!!!
 
Ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!

Asante kwa mauzoefu na kulijua kosa mkuu!!!!
Tafadhali usikane.......lol!!!!!!

I hope ulisalimika ......LOLZZZZZ!!!!!!!!!!!!
Mkuu Eiyer siwezi kukana maana kuanguka ni kwa kila mwanaume na inapofikia umeanguka usijitetee sijui shetani alinipitia au sijui nililewa au sijui nini wewe kubali na kubaliana na kosa kuwa umenaswa
na ukishakamatwa jiondoe usirudi tena kufukia mashimo uliyoyaacha maana unaweza kunogewa na kuamua kubaki huko huko
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Eiyer siwezi kukana maana kuanguka ni kwa kila mwanaume na inapofikia umeanguka usijitetee sijui shetani alinipitia au sijui nililewa au sijui nini wewe kubali na kubaliana na kosa kuwa umenaswa
na ukishakamatwa jiondoe usirudi tena kufukia mashimo uliyoyaacha maana unaweza kunogewa na kuamua kubaki huko huko
Kweli kabisa mkuu

Nikweli mpango wa kando hua ni balaa sana kwenye hilo eneo kwa sababu unajua kabisa unataka nafasi
Ni bora ukajiondoa mapema sana!
 
Kweli kabisa mkuu

Nikweli mpango wa kando hua ni balaa sana kwenye hilo eneo kwa sababu unajua kabisa unataka nafasi
Ni bora ukajiondoa mapema sana!

Ila kwa sasa mkuu mambo ni tofauti unajitahidi sana kujiepusha kutafuta mpango wa kando maana wa sasa utakuwa unafanya kila mbinu kukufanya kitegauchumi maana unajua by the way hapa sina cha kupoteza sipati ndoa wala sipati mtoto kwa huyu mume wa mtu
Ila mbinu zao ni nyingi sana na kila aina ya mbinu zinatumika kuhakikisha wanawakamata wanaume ambao wako macho juu na wana ndoa zao
Taasisi hii ina majaribu sana na usipokuwa makini kwa kwweli kuanguka ni rahisi sana maana vikwazo viko nje nje kuwanasa wale ambao wanaonekana hawana msimamo na hawajua kwa nini wameoa au wameao kwa sababu ya.... au wameao kwa shinikizo kabla ya muda wao au mimba imewafanya waoe
 
may be i am speaking out of tone ,but i am trying to imagine that, being in a marriage, cheating is inevitable. reason behind is i will loose appetite by s.exing with only one girl for the rest of my life . by saying so i mean for a husband to have a healthier marriage in one way or another he suppose to cheat for him to re-awake appetite to his wife .
so cheating has some advantages to husbands' side but not to wife's

Na ukishaoa urudi ku-comment hivi..
 
Ila kwa sasa mkuu mambo ni tofauti unajitahidi sana kujiepusha kutafuta mpango wa kando maana wa sasa utakuwa unafanya kila mbinu kukufanya kitegauchumi maana unajua by the way hapa sina cha kupoteza sipati ndoa wala sipati mtoto kwa huyu mume wa mtu
Ila mbinu zao ni nyingi sana na kila aina ya mbinu zinatumika kuhakikisha wanawakamata wanaume ambao wako macho juu na wana ndoa zao
Taasisi hii ina majaribu sana na usipokuwa makini kwa kwweli kuanguka ni rahisi sana maana vikwazo viko nje nje kuwanasa wale ambao wanaonekana hawana msimamo na hawajua kwa nini wameoa au wameao kwa sababu ya.... au wameao kwa shinikizo kabla ya muda wao au mimba imewafanya waoe

Mkuu,
Kwanza kujua umekosa ni moja kati ya hatua za kuelekea kwenye kulitatua tatizo
Sasa watu ni wagumu sana kulikubali kosa achilia mbali kulijadili,ndoa ni taasisi ngumu kwakuwa inahitaji mtu anaejitambua ili aifaidi na wengi wetu tunaoa/kuolewa kwasababu za kimazoea tu

Nyumba ninayoishi kuna mabint wawili wameolewa
Siku moja niliwauliza maana ya ndoa ni nini waliishia kunitolea macho tu na kudai hawajui,nikawauliza sasa kwanini wameolewa wakasema wameolewa kwasababu kuna kuolewa

Hebu fikiria unakuta huyo ndio mkeo,hajui hata sababu ya kuolewa atajua mahitaji ya mume kweli?
Si utaishia kwenye mpango wa kando tu?

Kwenye ndoa kama hiyo unajikuta wewe ndio unawaza kuhusiana na kipato cha familia
Unawaza kuhusiana na watoto
Unawaza kuhusiana na kumridhisha mke
Unawaza kuhusu kujiridhisha mwenyewe

Yaani ni full vituko na stress
SI BORA UACHE TU KUOA!!!!!!
 
Mkuu Eiyer huwezi tuu kuacha kuoa kwa kuwa eti kuna stress au kuna mambo lukuki yanakutegemea wewe
Ndio maana nikasema wengi wanaingia kwenye ndoa ni kaka hao mabinti hawajui ni kwa nini wako pale au ni kwa nini wameolewa na wapo wanaume pia ambao ukiwauliza kwa nini wameoa hawajui au wanaweza kukuletea sasa zile za shinikizo kutoka kwa wazazi au marafiki au kwa vile rika lake wote wameoa au kwa kuwa alimpa mimba binti fulani ikamlazimu amuoe japo hampendi au alikuwa hajafikia umri wake wa kufanya hivyo

Sawa mwanaume yako ni majukumu kufikiria hili na lile ila sawa nitayapa muda kufikiria ila niwe na mke ambaye haniongezei stress nyingine yaani licha ya kwamba nina stress zangu na mke nae asiwe another stress in my marriage life sio narudi home nakumbana na mwanamke amenuna kisa sijampigia simu au amenuna tuu bila sababu na ukiongea nae anakubetulia mdomo
Hapo atakuwa anaongeza stress juu ya stress na ndo hapo inaponilazimu kwenda kweney mpango wa kando ambako najua nitapokelewa kwa tabasamu pana japo naongeza gharama za matumizi ila afadhali kuondoa stress zangu
 
Last edited by a moderator:
nilichojifunza: faida yake ni hisia za kuridhishwa kama huyo mtu amemeet expectations zako. hasara zake ni kuwa na guilt kwasababu kiukweli the kitendo is immoral ingawa kujutia huko kwaweza kuwa kwa muda mfupi tu na hasa kama hukufumaniwa, uwezekano wa kurudia tena cheating ni mkubwa sana...I'm being honest...ila mdau na wewe ktk harakati zako za hivi ulijifunza nini?
 
analysis yako ni kwenye performance kwikwikwi , unaweza kupima performance kwa return on capital employed pia

Hahaha! Mkuu umeona perfomance tu kumbe? Caring hujaona? Naposema expectation means kuna vitu either vilikuwepo awali ama unataka ku experience vitu flan so unapodhan huyo unaetoka nae anaweza ku cover hiyo vaccum but ana shindwa ku meet expectation zako so ndo hasara hizo! Au akifikia ndo unalowea na kuhamia kabisa!
 
Mkuu Eiyer huwezi tuu kuacha kuoa kwa kuwa eti kuna stress au kuna mambo lukuki yanakutegemea wewe
Ndio maana nikasema wengi wanaingia kwenye ndoa ni kaka hao mabinti hawajui ni kwa nini wako pale au ni kwa nini wameolewa na wapo wanaume pia ambao ukiwauliza kwa nini wameoa hawajui au wanaweza kukuletea sasa zile za shinikizo kutoka kwa wazazi au marafiki au kwa vile rika lake wote wameoa au kwa kuwa alimpa mimba binti fulani ikamlazimu amuoe japo hampendi au alikuwa hajafikia umri wake wa kufanya hivyo

Sawa mwanaume yako ni majukumu kufikiria hili na lile ila sawa nitayapa muda kufikiria ila niwe na mke ambaye haniongezei stress nyingine yaani licha ya kwamba nina stress zangu na mke nae asiwe another stress in my marriage life sio narudi home nakumbana na mwanamke amenuna kisa sijampigia simu au amenuna tuu bila sababu na ukiongea nae anakubetulia mdomo
Hapo atakuwa anaongeza stress juu ya stress na ndo hapo inaponilazimu kwenda kweney mpango wa kando ambako najua nitapokelewa kwa tabasamu pana japo naongeza gharama za matumizi ila afadhali kuondoa stress zangu

Kwenye ndoa kila mmoja ana majukumu yake
Ukilijua hili na mkeo akalijua hili takuwa mmepunguza 60% ya matatizo ya kwenye ndoa!
 
Back
Top Bottom