Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,201
- 7,751
Sawa AhsanteNIlisoma stori ya maisha ya Tai wale "Balded Eagles" ilinivutia sana...
kiufupi tu ni kwamba Tai wanapitia uzoefu wa maisha yenye kuhitaji uvumilivu wa juu sana na si wepesi wa kukata tamaa
Nikiwa na miaka 30 ntaoasafi jipange uvute mwandani wa maisha sasa
Unajua vyombo ukiwa navyo vingi ghetto kwa bachelor kama mimi ningekuwa natumia tu vikichafuka vyote ndo naosha.
Ukiwa ndani ya systemNikiwa na miaka 30 ntaoa
Bwana ni mwema atafanyaUkiwa ndani ya system
Hata sijaangalia 😂[mention]Depal [/mention] ulizipata?
Huyo mbona ana chache? 🤣Sahani kibao kaka unaalika jumuiya nini?
hahah unazingua weweHata sijaangalia 😂
Nilimuuliza dereva wetu mmoja akaanza kunipa stories mob, nikapata uvivu
Kikubwa zaidi sipendi kuzurura mchana/ kwenye juahahah unazingua wewe
😂😂🤣🤣 karibia 20kwamba wewe unazaid ya hizo
Sindikiza na picha boss😂😂🤣🤣 karibia 20
Na niko tu mwenyewe
nikirudipo nyumbaniSindikiza na picha boss
Ila ukitaka kupunguza idadi ya vyombo vichafu ni kuviosha immediately unapomaliza kutumia chombo husikaUnajua vyombo ukiwa navyo vingi ghetto kwa bachelor kama mimi ningekuwa natumia tu vikichafuka vyote ndo naosha.
Kwangu naweza kujiwekea ako kautaratib ka kupika na kuosha lakin ntakafanya kwa wiki TUIla ukitaka kupunguza idadi ya vyombo vichafu ni kuviosha immediately unapomaliza kutumia chombo husika
Sahani kibao kaka unaalika jumuiya nini?


Nimecheka...Mimi sahani ninazo mbilinikirudipo nyumbani