Superpower
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 826
- 921
Mwenye workshop au?Upo mtwango, unamfahamu mwanba mmoja anaitwa hilali mgingo!???
Mwenye workshop au?Upo mtwango, unamfahamu mwanba mmoja anaitwa hilali mgingo!???


Hata Mimi makambako huwa nakuja Sana hukoKumbe tuko shazi aisee hapo mtwango huwa napita nikielekea njombe town
Safi sana.Wakuu nina mengi ya kusimulia jamvini ttzo mwandiko mbovu,, nitaeleza Kwa kufupisha,,,,
Ukiamini Mungu na kuishi kwa Imani huku ukijituma Kwa nguv zote baraka utaziona.
Nilipo yaanza maisha rasimi baada ya kumaliza masomo yangu, safari yangu ilianzia Dodoma, sina ndugu nilifikia Kwa Wana walionitangulia kumaliza nashkuru walinipokea vzr tukaishi japokuwa baadhi ya changamoto nilipitia zisizo na maumivu kwani nilikua napata wakt mgumu pale mwana akija demu wake kitu ambacho kilitia uchachu wa kufight nikapange kwangu.
Nilitoka mbali na home wazaz wakiwa hawataki ila vile nilkua nishajiapia baada ya kumaliza chuo lazima nitoke mbali na home Kwa ajili ya kutafuta maisha,, nilifanya kama nilivyojipangia tangu nasoma,, wakati nakalibia kumaliza chuo miezi ya mwishoni mpenz wangu alibeba ujauzito wangu ikawa mkazo wa me kuwa mbali.
Mama mtu akabless me kutoka Kwa ajili ya kutafuta ili tuje tuishi wote. Nimeseto Kwa Wana Kwa miez 4 muda huo najitafuta katika ofsi flan hapa dodoma.
Mpka Sasa naandika ushuhuda huu nipo kwangu nilipo panga naishi na Mke wangu pamoja na mtoto wetu, life liko good kiasi Kila hitaji tunapata, kwa uweza wa M/Mungu mwakani tunahamia kwetu.
Nilicho jifunza kwenye maisha usiogope mtangulize Mungu katika kila jambo lako fanya kazi Kwa bidii mmbo yanajipa yenyewe,,,, zingatio Kwa sisi vijana wanawake Wana nguvu kubwa sana haswa ukimpata ambaye anajielewa na aliyetayari kufanya maisha katika kila hali.
Vilivyo Anza mpaka now,,, vijana tusikate tamaa Mungu sio wa kabila moja. View attachment 2389183View attachment 2389186View attachment 2389196View attachment 2389197View attachment 2389199View attachment 2389204
Umepika tambi za aina ganiOooooi mazee ghetto raha sana nimepika kitu cha tambi hcho mpaka nikasema ihhiiiiiiiii Sijui kama nitaoa anyway kwakuwa ni usiku ila nahisi namaliza sufulia![]()


Vipi Mkuu, umefanikisha hili?Ulikosea sana kurudi nyumbani.
Mimi bado nipo chuoni Mwaka wa mwisho ila ninaishi getto, nitanunua kila kitu kadri ya uwezo, ili nikimaliza chuo nisirudi home.
Tambi za kawaida nikachanganya nyama na mayaiUmepika tambi za aina gani![]()

Hizo unyama sana,ungechanganya na sausage ungetisha zaidiTambi za kawaida nikachanganya nyama na mayai![]()


Hizo unyama sana,ungechanganya na sausage ungetisha zaidi![]()


kumbe kuna ufundi mwingine wa kuweka na sausage,Ngoja nirudie diko hloNdio mkuu ongeza maunyama hayokumbe kuna ufundi mwingine wa kuweka na sausage,Ngoja nirudie diko hlo


Nakubali mzee vp ushahamia maghetoNdio mkuu ongeza maunyama hayo![]()
Ndani ya wiki mbili au tatu ntakua nipo maghetoni inshallahNakubali mzee vp ushahamia magheto
Safi sana Mwenyezi afanye wepesiiNdani ya wiki mbili au tatu ntakua nipo maghetoni inshallah
Shukran mkuuSafi sana Mwenyezi afanye wepesii
Mkuu apo uzipikie na rosti afu soseji unazikata vipande vidogo vidogo na Coca-Cola ya baridiHizo unyama sana,ungechanganya na sausage ungetisha zaidi![]()
Halafu pembeni unapulizwa na upepo wa feni mwanana kabisaMkuu apo uzipikie na rosti afu soseji unazikata vipande vidogo vidogo na Coca-Cola ya baridi

Yeah, ni jamaa yangu sanaMwenye workshop au?
PUNYETROOOOOO. ADUI WA. VIJANA TUNAOKAA GHETTO. ....

nilipiga tatu mfululizo nikajikuta naamka naumwa homa