Kwanza nitoe shukrani sana kwa mkuu Walec kwa kufikiria kuanzisha uzi huu ambao umekuwa ni motivational kwa vijana wengi tena saanaa hakika hii ni akili kubwa hongera na pia nikushkuru maana hata mimi ni mmojawapo wa wale walionufaika na uzi huu matata sana .Hakika uzi huu utaishi milele 'na milele mkuu,
Huu uzi umekuwa inspirational kwangu 'na umenifanya nikasepa hom 'na kuanza maisha mapya tena kwa haraka saana bilabila kutizama nyuma kikubwa kilicho nipelekea kufanya maamuzi magumu ilikuwa n mishe za foleni kufungua mahotpot kila siku halafu mshua naye anakupa makavu kiaina japo hakwambiii ila utajiongeza tu mwenyewe
Namshukuru mungu nilianza japo kigumu sometime unahustle hadi kijiakili cha kurudisha mpira kwa kipa kinakuja lakini ukifkiria ushajikusanya mazaga kibao ukirudi itakuwa shangwe kwa wanga mtaani 'na hapo ndipo unapozidisha hustle ili uendeleze jahazi ulilolianza 'na kuepuka aibu .
Ila ukweli ni kwamba sasa nina amani tena sanaa 'na akili pia imekuwa ninawaza mbaali sanaa tofauti 'na nyumbani .
Ikumbukwe kwamba nyumbani nimeaacha room mbili za wazi lengo sio kukimbia ila lengo ni KUJITAMBUA KAMA MTOTO WA KIUME NA BABA WA FAMILIA FULANI BAADAYE maana ukizoea nyumbani kinachofuata ni kuja kugombania mali za urithi 'na wadogo zako
Ushauri: vijana tusiogope kuanza 'na kuhamia ghetto maisha ya gheto sio sawa 'na nyumban kila kitu free akili inalemaa
Hongera sana man... Me bado carpet tu then nitashare na vijana wengine... Sema usisahau sabufa na feni mkuu pambania san hizo mambo.Sasa Rasmi na mimi nimefanikiwa kupanga chumba kwakuanzia only 40 pande za ilala shukran sana Wakuu kwa hizi experience mtu unajua unaanzia wapi
ila bado godoro iko chini Mungu akijaalia soon tu kitanda nawekaView attachment 2019108View attachment 2019109
Hakika mkuu umri haukusubiri usiposhtuka utazeeka nyumbaniSoooooo inspirational
Hakika mkuu umri haukusubiri usiposhtuka utazeeka nyumbani
Safii sana!!Sasa Rasmi na mimi nimefanikiwa kupanga chumba kwakuanzia only 40 pande za ilala shukran sana Wakuu kwa hizi experience mtu unajua unaanzia wapi
ila bado godoro iko chini Mungu akijaalia soon tu kitanda nawekaView attachment 2019108View attachment 2019109
Muhimu sanaWapwa leo nna ji bless kidogo [emoji23][emoji23]View attachment 2024422
Bos ilo geto manzi hachomoki naaapia[emoji2][emoji2] si wengine geto ni pc tu ndo tv na radio zetu[emoji23]Gheto kama ghetoView attachment 2030223
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaanzaje kwa mfanoBos ilo geto manzi hachomoki naaapia[emoji2][emoji2] si wengine geto ni pc tu ndo tv na radio zetu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]au una totoz tayar ushalifungia ndani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] anaanzaje kwa mfano
Hapana mzee mimi ni mwenyekiti wa mabachela apa mjini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]au una totoz tayar ushalifungia ndani?
[emoji23][emoji23][emoji23]nyie ndo wa one night standHapana mzee mimi ni mwenyekiti wa mabachela apa mjini [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mimi ndo wale wanaokufa na utamu wao [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]nyie ndo wa one night stand
Hongera sana ni mwanzo mzuriSasa Rasmi na mimi nimefanikiwa kupanga chumba kwakuanzia only 40 pande za ilala shukran sana Wakuu kwa hizi experience mtu unajua unaanzia wapi
ila bado godoro iko chini Mungu akijaalia soon tu kitanda nawekaView attachment 2019108View attachment 2019109
Gheto bila sabufa ni stoo[emoji1787][emoji1787]Hongera sana man... Me bado carpet tu then nitashare na vijana wengine... Sema usisahau sabufa na feni mkuu pambania san hizo mambo.
Ngoja kipate shoti sikuVitanda vya chuma raha sana coz vpo stable katika kila purukushani zozote.
Ka una kitanda cha chuma gonga like .
Safii sana! Mdogo wangu mwili haujengwi na matofali.Wapwa leo nna ji bless kidogo [emoji23][emoji23]View attachment 2024422