Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Mkuu picha niliweka juu huko...pita vzr kweny uzi...au jion nikirud naweza fanya ustarabu tena..

Kuhusu kununua vitu online na jinsi utavyo weza piga hela..iko hivi

Wenzetu vitu kule ni bei chee sana..hasa masoko ya china...sana sana AliExpres...

Kitu unachotakiwa kufanya ni kufungua account huko kisha kujaza details zako za msingi na address yako ili kupokea mizigo yako..

Baada ya hapo utaingia sokoni sasa na kutafuta bidhaa ambazo ww unahis bongo zinasoko...utaweka order zako hapo na utalipia kisha shipping itafanyika..

Sasa uzuri wa haya masoko licha yakua na bei ndogo za bidhaa pia kuna misimu ya offa..yani hapa ndo unajibebea kapu zima...mfano kuna offa kama black friday,11.11 , anniversary sales na zingine kibao..misimu hii yani vitu vinashuka bei sana...
Kwaiyo kitu huwa nafanya nasubirig hizi offa zije kisha nanunua items kibao hata kama sina mteja...vikifka bongo ndo naanza kuvipush..yani havikai watu wanavigombania..

Nimeanza kufanya hii biashara in a small scale ili kugain experience yakutosha kwanza..lakin nawaza kuifanya kwa ukubwa hapo badae kidogo...

Lakin pia ukiacha zile offa za misimu nilizozitaja pia kuna coupon zipo..zinatolewa free..ukiwa mjanja unakusanya tu coupon kisha wakat wa manunuzi zile coupon zinaleta discount...na pia kuna kitu kinaitwa promocode..hizi ni code flani nazo huwa zinatolewa...nazo ukizijaza sehem ya promocode wakat wa manunuzi huwa zinakupa punguzo la bei hivyo inakufanya upate bidhaa kwa bei rahis sana..

Kwaiyo faida inapatika nzuri tu...mfano bongo simu za xiaomi mfano redmi note 8 zlikua zinauzwa 550..wakati kipind nanunua mm online zilkua 350 tu...so mim nikawa nauza kwa 450 bdala ya 550 bei ya bongo..so faida yangu 100k sitaki tamaa..hapo unakuta nimenunua simu tatu au mbili tu kibingwa..

Lakin kuna watu pia huwa nawaagizia..so wao wananilipa tu hela ya kuagiza...sikosi 20 au 30 depends na kitu anachoagiza...na hapo hapo mtu ninapo muagizia nakua mjanja natafuta coupon, promocode na seller mwenye bei nzuri basi napata chajuu tena..

All in All nimeua

Kama utapenda kujifunza jinsi ya kufanya manunuzi kwa njia ya mtandao basi nitaweka link ya group la telegram lenye kutoa hayo mafunzo mpaka naww uweze kua gwiji wa Manunuzi ili kusudi ujikwamue na maisha ya gheto....

The funny thing saizi karbia item kibao sinunui tena kariakoo...yani mm mpaka usb nanunua china....nina vitu wana wakija..huwa wanshangaa nimevipata wapi..basi nawambia nipeni hela hiyo mnivue..basi wananipa kweli naagiza vingine ...

Life is funny my brothers

NB kam kuna mtu atapenda kufunza basi aseme nami bila hiyana nitawapa link ya mafunzo..ipo telegram..bure kbisa
Naomba link Brother
 
Sasa Rasmi na mimi nimefanikiwa kupanga chumba kwakuanzia only 40 pande za ilala shukran sana Wakuu kwa hizi experience mtu unajua unaanzia wapi
ila bado godoro iko chini Mungu akijaalia soon tu kitanda nawekaView attachment 2019108
IMG_20211121_195225.jpg
 
Kwanza nitoe shukrani sana kwa mkuu Walec kwa kufikiria kuanzisha uzi huu ambao umekuwa ni motivational kwa vijana wengi tena saanaa hakika hii ni akili kubwa hongera na pia nikushkuru maana hata mimi ni mmojawapo wa wale walionufaika na uzi huu matata sana .Hakika uzi huu utaishi milele 'na milele mkuu,

Huu uzi umekuwa inspirational kwangu 'na umenifanya nikasepa hom 'na kuanza maisha mapya tena kwa haraka saana bilabila kutizama nyuma kikubwa kilicho nipelekea kufanya maamuzi magumu ilikuwa n mishe za foleni kufungua mahotpot kila siku halafu mshua naye anakupa makavu kiaina japo hakwambiii ila utajiongeza tu mwenyewe
Namshukuru mungu nilianza japo kigumu sometime unahustle hadi kijiakili cha kurudisha mpira kwa kipa kinakuja lakini ukifkiria ushajikusanya mazaga kibao ukirudi itakuwa shangwe kwa wanga mtaani 'na hapo ndipo unapozidisha hustle ili uendeleze jahazi ulilolianza 'na kuepuka aibu .
Ila ukweli ni kwamba sasa nina amani tena sanaa 'na akili pia imekuwa ninawaza mbaali sanaa tofauti 'na nyumbani .
Ikumbukwe kwamba nyumbani nimeaacha room mbili za wazi lengo sio kukimbia ila lengo ni KUJITAMBUA KAMA MTOTO WA KIUME NA BABA WA FAMILIA FULANI BAADAYE maana ukizoea nyumbani kinachofuata ni kuja kugombania mali za urithi 'na wadogo zako
Ushauri: vijana tusiogope kuanza 'na kuhamia ghetto maisha ya gheto sio sawa 'na nyumban kila kitu free akili inalemaa
 
Back
Top Bottom