Uli 'deal' vipi na break up. It pains me

Uli 'deal' vipi na break up. It pains me

Kuna mbinu za kumrudisha ila lazima awe na roho ngumu sana. Kwanza unamchunia hata miezi minne hadi sita. Hapo katikati lazima atakuwa anakutafuta (kama anakupenda lakini) akiwa anakutafuta jifanye huna mzuka naye tena ila usimkatishe tamaa sana.
Umeua mwanangu,sema kwa huyu jamaa nnavomuona uzungu mwingi sana titanic hatoweza hii
Acha aumie
 
Hii ya kuchunia ndio mbaya atampoteza mazima you love someone mwambie kuchuniana ni zaidi ya ujinga na inaua, bond, affection na kumfanya na yeye akutoe moyoni na kutafta mtu mpya. Mie Kuna mtu alifanya hivo sikuhizi namchukia na akinitafta naona kero.
So kuchuniana ni lack of maturity communication is key
We unamtetea tu mwanamke mwenzio
Hata huyo ulimchukia sababu ilikuuma kuona hakushobokei tena as u expected
 
Dunia sio FAIR.
Dunia haijawahi kuwa FAIR.

Ukielewa hili nothing will changanyaling and complicate you.

Ishi maisha yako kwa pesa zako, hivi vyengine ni vya ziada tu.

#YNWA
Hata mimi nilijifariji hivo hivo ila mwisho wa siku Sasa, waswahili husema usitukane mamba kabla ya kuvuka mto
 
Nyie mnaeleweka basi. Mwingine ukionyesha kumjali na kumpigia pigia simu ndio kabisa anakuona zoba, ndio atazidisha kukufanyia vituko ila ukiuchuna utamuona anaanza kurudi.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pole mkuu, kama unampenda sana na unadhani huna mwingine wa kuziba pengo lake pambana umrudishe. Hakuna kitu kisichowezekana chini ya jua.

Kwa sasa tulia kama mwezi bila kumtafuta ila kama akikutafuta ndani ya mwezi usisite kurespond positively. Mwezi ukiisha mtafute, nadhani kama anakupenda lazima arespond positively.

Ukimrudisha mwonyeshe why she should choose you over other guys out there.
Ushauri mzuri murua Sana huu

Lakini Kaka konda msafi kwanini asichague kumuacha aende zake!

Make Mambo yamebadirika Sana karne hii.
 
Kumrudisha labda kwa kumroga ila kupambana kwa kawaida atazidi kujichoresha

Maana wanawake ni kama vivuli ukimfuata anakukimbia ukikimbia anakufuata
Huwaga simwamini mwanamke aliefikia stage hii
Solution Ni kumpa mkono wa kwaheri
Kama kimyakimya style ikishindikana
 
Ushauri mzuri murua Sana huu

Lakini Kaka konda msafi kwanini asichague kumuacha aende zake!

Make Mambo yamebadirika Sana karne hii.
Iko hivi mwanamke kama sio mke wa mtu na unamhitaji lazima umpate. Ukijipanga vizuri tu hawezi kuchomoa, tena kama ulishamla kazi ndio rahisi zaidi, ni swala la muda tu analainika. Mwanamke hawezi kukushinda kumrudisha hasa hawa dada zetu wa kibongo. Nimempa huo ushauri kwa sababu anaonekana anampenda na uwezo wa kumwacha hana.
 
Cha kwanza accept kwamba lazima upitie kipindi kigumu,kisha keep yourself busy na ishu zako,sio kidogo tu unazoom picha zake au mlizopiga wapi sijui.

Cha mwisho ambacho kitakufanya u moove one faster,kumbuka tu kwamba yeye hana shida na wewe so shez not in ua side.
 
Brother nakuelewa nipo kwenye same situation [emoji22]

Breakups na demu uliemzoea very painful bro
Mi nachoona ngumu nikama uyo mtu mnaonana mara kwa mara let say mnaish sehemu moja ,kias asubuh unamwona mchana ali kazalika jion ila kama kunakaumbali flan iv.. apo huwa sipat shida
 
Back
Top Bottom