KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 4,104
- 5,035
Back in the days yaah😅Do you practice number 3 after a break up? 😎
Back in the days yaah😅Do you practice number 3 after a break up? 😎
Back in the days yaah😅
No wayyy😂😂😂😂 halafu kichwani unamuwaza mliyeachana naye wakati unanyetuka? 😜😜
Dunia sio FAIR.Hata mimi nilikuwaga nawaona wanaounizwa ni dhaifu yakivonikuta, waswahili husema ndege mjanja hunaswa na Tundu mbovu, tangu hapo nikajifunza kitu
Huu ndiyo ukweli ambao wengi wanashindwa kuusema wanadhani hivi viumbe vinatumiaga akili ya kawaida kutafakari kama sisi! Huyo mwanamke hawezi kurudi nyuma sasa hivi ni mpaka akapate pigo zito huko anakoenda ndiyo atakapozinduka na kuona kumbe alikua hayuko sahihi..Mkuu kumrudisha dem alieamua maamuzi yake ni ngumu sana mpk akatendwe uko
PointMkuu kumrudisha dem alieamua maamuzi yake ni ngumu sana mpk akatendwe uko
Katafute hela… lots of it. This is the best way to deal with your break upShida ni namna ya kupambana na break up.
Nyie mnaeleweka basi. Mwingine ukionyesha kumjali na kumpigia pigia simu ndio kabisa anakuona zoba, ndio atazidisha kukufanyia vituko ila ukiuchuna utamuona anaanza kurudi.Hii ya kuchunia ndio mbaya atampoteza mazima you love someone mwambie kuchuniana ni zaidi ya ujinga na inaua, bond, affection na kumfanya na yeye akutoe moyoni na kutafta mtu mpya. Mie Kuna mtu alifanya hivo sikuhizi namchukia na akinitafta naona kero.
So kuchuniana ni lack of maturity communication is key
Shida hawafanani!!!Pace yourself dogo wanawake wazuri wamejaa kibao.
Ndio mnatumia hiyo point kutuumiza wanaume eehShida hawafanani!!!
Yaan, ni vilio everydayWanaume humu ndo tunaongoza kulia kwenye mapenzi kuliko wanawake
Kuna mbinu za kumrudisha ila lazima awe na roho ngumu sana. Kwanza unamchunia hata miezi minne hadi sita. Hapo katikati lazima atakuwa anakutafuta (kama anakupenda lakini) akiwa anakutafuta jifanye huna mzuka naye tena ila usimkatishe tamaa sana.
Just act as you do not mind what she has done to you but you are not ready to take her back as easy as that. Akishahangaika sana kukutafuta then unampa masharti ya kumla mara mbili hadi tatu kwa wiki. Akishindwa kuyatekeleza hayo masharti hakuna kupokea simu zake wala kujibu text zake.
Yaani wewe unakuwa short and clear that if you want us back again lazima nikule kadri ninavyotaka. So kama anakupenda hilo ataliona sharti rahisi sana. Then you take it from there.
Mamwanamke yamejaa tele,wewe unalilia kamoja as if huwa kanakunya noti za dollar Mia Mia.
Boss wanarudi wenyewe hata kama wao ndio walitangaza kukuacha. Trust me.Yeye ndo katangaza kukuacha akutafute wa nn sasa mzee? Huna experience ya kuachwa na unaempenda wewe
Boss wanarudi wenyewe hata kama wao ndio walitangaza kukuacha. Trust me.