humility21
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 448
- 622
Hivi kwasababu gani inakuwaga hivi?Boss wanarudi wenyewe hata kama wao ndio walitangaza kukuacha. Trust me.
Hivi kwasababu gani inakuwaga hivi?Boss wanarudi wenyewe hata kama wao ndio walitangaza kukuacha. Trust me.
Mie nadhani kuna sababu mbili za muhimu. 1.ni kwa sababu kule wanakokimbilia kunakuwa ni kwa hovyo wakilinganisha na walikotoka. 2.na wao wana moyo wa kupenda. Mtu ukimpenda kuna siku utamkumbuka tu, hivyo kumbukumbu na mazuri uliyomfanyia yanamrudisha.Hivi kwasababu gani inakuwaga hivi?
Kweli kabisa mkuu.Mie nadhani kuna sababu mbili za muhimu. 1.ni kwa sababu kule wanakokimbilia kunakuwa ni kwa hovyo wakilinganisha na walikotoka. 2.na wao wana moyo wa kupenda. Mtu ukimpenda kuna siku utamkumbuka tu, hivyo kumbukumbu na mazuri uliyomfanyia yanamrudisha.